Wazo: Anayepokea simu naye anatakiwa kuwa na salio

Wazo: Anayepokea simu naye anatakiwa kuwa na salio

Napeleka wazo kwa mama kuwa
Inatakiwa anayepokea simu naye anatakiwa awe na salio ili kuweza kupokea.
Tutaboresha uchumi.
😅

Kinyume na watu wengi wanavyofikiri; kodi zikiwa nyingi zinadumaza uchumi badala ya kukuza uchumi.
Mfano; tunatamani kuwepo na kina Bakresa/Mengi wengine pengine wafike hata 150; Namaanisha watu wakitajirika wakafungua miradi kama kina Bahresa, Mengi, Mo nk wana ajiri watu wengi na kodi nyingi sana inakusanywa kupitia wafanyakazi na biashara zao. Ila Watu wakibanwa sana, hawapati uwezo wa kukua na kuwekeza mwisho wake hakuna ajira lakini pia Kodi haiongezeki kwa wingi....

Mfano: Nchi kama Marekani ambayo ndio inaongoza duniani kwa kukusanya kodi nyingi na kuwa na Matajiri wengi VAT kwao ni 11% tu
 
Nafikiri kwamba wewe ni kijana mdogo sana. Miaka ya tisini ya Kati, nikiwa natumia simu ya Siemens C35 na line ya Tritel, kama huna Salio hiwezi kupokea simu. Maisha ni kusonga mbele sio kurudi nyuma, kurudi nyuma kimaisha ni kukosa ubunifu

Huyu kijana anataka kuturudisha nyuma.
Nilikuwa nataka nimjibu kama ulivyomjibu
Inaelekea ni gen Z.
Kijana mtoa Post hivyo ndivyo ilivyokuwa huko nyuma ikaja kuondolewa.
Kwa hiyo ushahuri wako sio jambo jipya hivyo badili hoja useme kwamba unashauri utaratibu wa zamani wa ili upokee simu lazima anayepigiwa awe na salio au hata anayepigiwa naye awe anachajiwa muda atakaokuwa anaongea na aliyempigia
 
Napeleka wazo kwa mama kuwa
Inatakiwa anayepokea simu naye anatakiwa awe na salio ili kuweza kupokea.
Tutaboresha uchumi.
😅
Hilo linamhusu mama yupi sasa? Mzazi wako, mamantilie au kuna mama mwingine anahusika?
 
Napeleka wazo kwa mama kuwa
Inatakiwa anayepokea simu naye anatakiwa awe na salio ili kuweza kupokea.
Tutaboresha uchumi.
😅
Mawazo Mgando haya. Hata hizo nchi kama Germany, USA, Japan na china ZENYE uchumi bora Duniani, haziwezi kufanya undezi kama huo, ndio ije iwe kwa nchi toka Ulimwengu wa tatu!?

Aina hii ya kufikiria, I mean mawazo yako hayana tija kwenye kujenga Nchi kiuchumi. Rudi shule ukafundishwe namna sahihi ya kufiriki na kuja na mawazo yenye michango chanya. Ila sio kwa hilo uliloweka hapa.
 
Back
Top Bottom