CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Enzi za nyuma mbona tulikuwa tunakutana live na still watu na ID zao fake? Ujue mambo yaliharibika enzi za Magu, ila wakati wa JK nakumbuka kama Arusha tulikuwa tunakutana sana na fake ID za watu na ikapelekea kujuana sana, sema wakati wa Jiwe watu walibadili zile ID kabisa make hali ilikuwa mbayaSidhani Kama watakutana kwa majina fake maana hicho kitakuwa kitu serious!huku JF kitaendelea na majina fake kwenye project majina halisi
Jikite kwenye Maada mkuu,Mshana kama umeacha hii maneno urafiki na mm umeisha aisee sikufaham haunifaham nlikuwa nakukubali sana na kukuamini saana. Haijapita siku sijatembelea thread yako
Hivi hatuwezi kukutana na kutengeneza kitu cha pamoja? Maana penye wengi pana mengi
Nawasilisha
Ninazo kama Tatu, moja nilii copy kwenye mitandao ya India, ni nzuri sana shida sasa kuanika humu ni hapana, Hio ya kuuza mazao zipo sana now dayKuna project mbili ambazo tunaweza kuzifanya zikaleta tija kwenye jamii:
1. VIDEO LECTURES( O-LEVEL & A-LEVEL PAST PAPERS, NOTES AND ASSIGNMENTS)
2. MARKETPLACE-AGRICULTURE( MKULIMA ANAUZA MAZAO YAO ONLINE, MAWAKALA WANAPOST BEI YA MAZAO KILA MKOA, WATALAAM WANATOA HUDUMA YA ELIMU KUHUSU KILIMO NA UFUGAJI WANACHAMA WANALIPIA).
KAMA WATATOKEA WATU SERIOUS TUKACHAGUA PROJECT MOJA YA KUFANYA MJE PM FOR MEETING AND AGREEMENT.
Jana nimeona TBC1 wanaonesha bei ya mazao nchi nzima, ni kitu poa sana hili wazo nilikuwaga nalo toka zaman sana na nilishatengenezaga system yake niliita masoko. Hii system ilikuwa inaonesha masoko yote nchi nzima kuhusu nafaka na bei zake.
Kwa maboresho zaidi ibad iwe na mawakala nchi nzima wawe wanapakia bei ya mazao na mifugo, kuwe na wataalam wanaotoa elimu ya kulipia kwa wakulima na wafugaji pia wakulima wawe wanaweza kuuza mazao au mifugo online.
Marketplace iwe ina escrow ndani yake ili wamiliki wa mfumo wapate commission kwa kila mauzo yanayofanyika ...
APP IWE NA FEATURE HIZI
1. P2P MARKETPLACE WITH ESCROW SYSTEM(VERIFIED MERCHANT ONLY CAN POST ADS)
2. SUBSCRIPTION CONTENTS( 30DAYS ONLY)
3. MARKET PRICE( AGENT POST PRICE FOR EACH COMMODITIES)
Hivi hatuwezi kukutana na kutengeneza kitu cha pamoja? Maana penye wengi pana mengi
Nawasilisha
Acha kukatisha watu tamaa,kila mtu mwizi wa mawazo ya mwenzake.nilishalia sana na hayo.
usijisumbue humu
Ninazo kama Tatu, moja nilii copy kwenye mitandao ya India, ni nzuri sana shida sasa kuanika humu ni hapana, Hio ya kuuza mazao zipo sana now day
[emoji1545][emoji1545][emoji1545] nitatoa majumuisho mwisho wa mweziNi wazo jema kuungana na kujadili jinsi ya kubuni na kutekeleza mawazo chanya, na isiwe wana it tu.
Tunaweza fanya mambo mengi, maana humu Kuna watu wenye ujuzi, mawazo na nguvu ya utekelezaji.
Vitu Kama kilimo(morogoro,mbeya au njombe),viwanda vidogo -hata kwa mtaji wa 3m tunafanya, ununuaji na uuzaji wa mazao- ndani na nje ya nchi. Mshana Jr, CHASHA FARMING
Count me in, kwani Kuna baadhi ya vitu vinaweza kututoa sehemu moja kwenda nyingine, iwe kiuchumi au hata kimawazo. Kikubwa nia,umoja na utimamu katika Jambo lenyewe.[emoji1545][emoji1545][emoji1545] nitatoa majumuisho mwisho wa mwezi
Idea ya online school ninayo sema budget na vifaa kikwazo[emoji818][emoji1545][emoji817] Nitakucheki
Sangomaa kula matko
SafKuna project mbili ambazo tunaweza kuzifanya zikaleta tija kwenye jamii:
1. VIDEO LECTURES( O-LEVEL & A-LEVEL PAST PAPERS, NOTES AND ASSIGNMENTS)
2. MARKETPLACE-AGRICULTURE( MKULIMA ANAUZA MAZAO YAO ONLINE, MAWAKALA WANAPOST BEI YA MAZAO KILA MKOA, WATALAAM WANATOA HUDUMA YA ELIMU KUHUSU KILIMO NA UFUGAJI WANACHAMA WANALIPIA).
KAMA WATATOKEA WATU SERIOUS TUKACHAGUA PROJECT MOJA YA KUFANYA MJE PM FOR MEETING AND AGREEMENT.
Jana nimeona TBC1 wanaonesha bei ya mazao nchi nzima, ni kitu poa sana hili wazo nilikuwaga nalo toka zaman sana na nilishatengenezaga system yake niliita masoko. Hii system ilikuwa inaonesha masoko yote nchi nzima kuhusu nafaka na bei zake.
Kwa maboresho zaidi ibad iwe na mawakala nchi nzima wawe wanapakia bei ya mazao na mifugo, kuwe na wataalam wanaotoa elimu ya kulipia kwa wakulima na wafugaji pia wakulima wawe wanaweza kuuza mazao au mifugo online.
Marketplace iwe ina escrow ndani yake ili wamiliki wa mfumo wapate commission kwa kila mauzo yanayofanyika ...
APP IWE NA FEATURE HIZI
1. P2P MARKETPLACE WITH ESCROW SYSTEM(VERIFIED MERCHANT ONLY CAN POST ADS)
2. SUBSCRIPTION CONTENTS( 30DAYS ONLY)
3. MARKET PRICE( AGENT POST PRICE FOR EACH COMMODITIES)
Aisee HIV hatuwez kutengeneza kitu kama Alibaba ya kariakoo na wenye maduka wanapata direct connection na wateja na wasafirishajimkuu kwa uzoefu wako wa kariakoo i think we can create something big!