Wazo Dokezi: Upigaji wa Uchaguzi Mkuu Utaanza "Soon"...

Mzee mwanakijiji umerudi?
Amerudi Magufuli si hayupo msukuma mwenziwe,alikuwa Mkapa Mmakonde alikuwepo Kikwete ndio usiseme Magufuli mtakatifu kwake na ccm ilikuwa nzuri sasa huyu mzenji tena muislaam asirudi vipi?? Kazi kwelikweli waafrika, America haijambadirisha.
 
Ulitaka wapinzani wafanya nini ili kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi? Je,jukumu hilo nila umma wote au kundi la wachache.

Vipi wale wanao jifanya Wazalendo (DP) wamefika wapi au wamezidiwa akili na wanasiasa.
"Wale conservative waliopo st.peters wanaotaka Hali iendelee kubaki hivi hivi yaani kuwalinda wakubwa kwa kitabu kilichopo,watakaushwa kimya kimya"Tumia akili thread ya operation imesitishwa the state wamesema apewe muda!!Kasome mchango wa Tumia akili namba 129 kwenye uzi,utaona kwanini Kuna baadhi ya watu hatunao na wengine ni majasusi wabobezi na wengine tumewazika na wengine Kuna tetesi zinawahusu kwa sana!!

WE huoni hilo likitokea japo kiustadi sana!!?
 
Mpaka sasa wahafidhina wanaonekana kuwa wenye nguvu na weredi wa hali ya juu,ndio maana hakuna mabadiliko yoyote zaidi ya maigizo ya kijinga tu.

Apewe muda na wakati huo huo hao wahafidhina ndo wamempa hiyo nguvu,hawezi pingana na ma-boss wake.

Ngoja tuone mchakamchaka wa 2025.
 
Tukisema siasa ni ajira/ uwekezaji /biashara kuna wanaopinga
 
Wahafidhina wanaondokewa ma watu muhimu,wengine wataugua na kupoteza kumbukumbu!!

Hai vijana machachari wenye ndoto kubwa kubwa wanaondokewa na watu muhimu (kuuguliwa pia) ambao na Wana sauti kwenye vikao vizito vya ushauri!!

Jamaa wameanza na mizizi halafu matawi yatakufa naturally!!!

Bado wawili TU wakiugua au mmoja akaenda bas hakuna hao madogo kufurukuta tena,na huyu alieshika strong hold hawezi toboa chujio la mwakani,Kuna team tatu zitasukwa zivurugane Ili kumpitisha mkusudiwa fulani lakini atapita mwingine na kusudi la Mungu litasimama vema!
 

Yaani hapo wanataka kumtupia zigo lote Mwendazake as if wao hawakuhusika. Yaani Maza wanataka kumtoa kabisa wakati yeye binafsi alitamka hadharani kuwa hata kama tutachagua upinzani CCM ndiyo itakayoshinda ....!!
 
Huwezi tegemea jambo jipya kwenye mfumo ule ule ni kupoteza muda,yaani bado hao DP wanataka kutumia chama kile kile kutaka kuleta mageuzi ndani ya taifa hili,ambapo wameshindwa miaka 60s ya uhuru kufanya lolote huu ni uwendawazimu wa mchana kweupe.

Ndio maana nasema hakuna mwenye akili timamu anaweza amini hizo story,yaani utumie watu walewale kutatua matatizo yaliyo sababishwa na hao hao,hakuna watu smart uko zaidi ya kujaa sifa.

Huwezi niambie katika nyama vyote,hakuna watu ambao wanaweza kuleta mageuzi isipokuwa watoke huko huko kuliko jaa wezi na wapenda madaraka.
 
Ni mjinga tu anaweza kuamini huu UONGO
akina Thomaso kama wew ili waamini si mpaka waguse πŸ’

sasa wakati huo utakapoona, utakapo jua, na kuamini kwamba uchaguzi ulikua huru na haki, lakini pia ni the most cridible elections in the world, uchaguzi wenyewe utakua umekwisha πŸ’
 
..utakapo jua, na kuamini kwamba uchaguzi ulikua huru na haki, lakini pia ni the most cridible elections in the world, uchaguzi wenyewe..
Hahaha..
Yaani ccm hiyo hiyo na tume yake binafsi ya uchaguzi waendeshe "the most credible election in the world.."?
Naona una kipaji cha comedy broo!
 
Hahaha..
Yaani ccm hiyo hiyo na tume yake binafsi ya uchaguzi waendeshe "the most credible election in the world.."?
Naona una kipaji cha comedy broo!
kama kushinda uchaguzi halali kwa kishindo ni comedy,
hiyo tutaifanya kwa bidii sana katika kila aina ya uchaguzi ili kukuchekesha zaidi πŸ’
 
Acha majungu we mzee, alipokuwa yule Dikteta mlikuwa kimya mkampongeza. Zile Fedha za plea bargain alikuwa anaweka akaunti gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…