inauma lakini ndiyo ukweli.Hatuna serikali tuna magenge ya wahuni tu ndio wanaongoza Nchi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inauma lakini ndiyo ukweli.Hatuna serikali tuna magenge ya wahuni tu ndio wanaongoza Nchi!!
Ukweli Uongo au Ukweli Ukweli?Siwezi kuacha kusema ukweli
Anaitwa jingaletu...Ulichoandika siyo Kiingereza bali ni Chongereza!
Jingalenu nyie wana CCM!Anaitwa jingaletu...
Samahani Mkuu. Je umeshawahi kuzaa???yani namaanisha una familia??? Pia je una wazazi ndugu jamaa na marafiki???Tatizo gaidi akitetewa na magaidi wenzake inaleta shida
USSR
Labda wewe ndio liccm mi sijawahi tumia hiyo kitu usinitusi tafadhali 😀Jingalenu nyie wana CCM!
Mama ndio aliyeharibu....Tuseme ukweli tu...
Hadi pale serikali itakuwa na mfumo na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza a kuleta mashtaka yenye kuweza kusimama mahakamani ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda. #kesi ya Mbowe ifutwe, #serikali ile hasara.
Watu watacheka lakini wataheshimu..
Tuseme ukweli tu...
Hadi pale serikali itakuwa na mfumo na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza a kuleta mashtaka yenye kuweza kusimama mahakamani ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda. #kesi ya Mbowe ifutwe, #serikali ile hasara.
Watu watacheka lakini wataheshimu..
Paschal, kwa sasa polisi wetu wanategemea mbinu moja kubwa kupata taarifa kutoka kwa waharifu:TORTURE. Ndiyo maana wanakaa na waharifu muda mrefu vituoni kinyume na sheria bila kuwafikisha mahakamani.Mkuu Mzee mwenzangu Mzee Mwanakijiji, kwanza asante kwa kuileta hoja hii fikirishi. Pili naunga mkono hoja, ila naomba kuuliza maswali machache.
Asante.
- Neno "hadi pale serikali itakuwa na mfumo", does this mean kwa sasa serikali yetu haina mfumo?.
- Neno " Hadi pale serikali yetu itakapokuwa na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza na kuleta mashitaka yanayoweza kusimama mahakamani ", does this means kwa sasa serikali haina hivyo vyombo vizuri vinavyoweza kufanya uchunguzi, kupeleleza na kusimama mahakamani hatuna?.
- Huu ushauri wako " ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda" jee ni ushauri wako, au umemuiga Mama Sa100?.
P
Correct your language pleasekesi ifutwe kwa saabu ya kelele za mtandaoni?
I we running the Government kwa kelele za mtandaoni?
Mkuu mbona kama unalazimisha vile?Kesi ya Mbowe haiwezi kufutwa kamwe.Mpaka sasa Jamhuri ina ushaidi mzito (in Sirro voice) dhidi ya Mbowe na genge lake la ugaidi.
Jamhuri ina mashaidi 24 ,shangazi kaja na Jaji Mkakati.
Jaji Mustafa tumemwondoa kwasababu kapoteza mwelekeo Mbowe lazima afungwe makomando lazima tuwafunge.
Hujui hata maana ya ugaidi na gaidi... tuache bhana. Nenda kajadiliane na wehu wenzio wa lumumbaTatizo gaidi akitetewa na magaidi wenzake inaleta shida
USSR
Samia hassan suluhu atadharaulika sanaTuseme ukweli tu...
Hadi pale serikali itakuwa na mfumo na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza a kuleta mashtaka yenye kuweza kusimama mahakamani ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda. #kesi ya Mbowe ifutwe, #serikali ile hasara.
Watu watacheka lakini wataheshimu..
Hilo haiwezekani. Sirro aliteuliwa kwa ajili ya kuuwa na kutesa watu.Nanwombea IGP Siro Mungu ampe Hekima na busara awe anaingea maneno yenye hekima hii ni Dunia Kuna Leo na kesho.Amina.
Sent using Jamii Forums mobile app
R.I.P bwana HAMZASiwezi kuacha kusema ukweli