Nina mdogo wangu ni mhanga wa ajira, amemaliza chuo tangu 2015, sasa amezichanga changa kwenye kilimo mpaka amefikisha million 10, sasa anaona aachane na kilimo afanye biashara. Ameniomba nimsaidie kumchagulia wazo bora kati ya haya ;
1.Kununua gari dogo aina succeed kwa ajili ya daladala, anasema eneo alilopo wanalaza 30 ~50 kwa siku.
2.Biashara ya nafaka kama mchele, maharage, soya, mahindi n.k, Awe ananunua toka eneo ambalo bei ipo chini anauza sehemu nyingine ambayo bei ipo juu.
3. Afungue duka la reja reja au vifaa vya pikipiki kwa gharama ya shilingi million 5 halafu tano nyingine anunue gari dogo kwa ajili ya uber/taxify.
4.Afanye biashara ya mbao toka vijijini kupeleka mjini kwenye mahitaji mengi.
Je, wazo gani ni bora kati ya hayo.
1.Kununua gari dogo aina succeed kwa ajili ya daladala, anasema eneo alilopo wanalaza 30 ~50 kwa siku.
2.Biashara ya nafaka kama mchele, maharage, soya, mahindi n.k, Awe ananunua toka eneo ambalo bei ipo chini anauza sehemu nyingine ambayo bei ipo juu.
3. Afungue duka la reja reja au vifaa vya pikipiki kwa gharama ya shilingi million 5 halafu tano nyingine anunue gari dogo kwa ajili ya uber/taxify.
4.Afanye biashara ya mbao toka vijijini kupeleka mjini kwenye mahitaji mengi.
Je, wazo gani ni bora kati ya hayo.