Wazo Kebehi: Wangetaka Kutuua Wangetuacha na HIV/UKIMWI...

Wazo Kebehi: Wangetaka Kutuua Wangetuacha na HIV/UKIMWI...

Kuna watu akili zao wanazijua wenyewe.

Madawa mengi ya Cancer, Kifua kikuu na chanjo zote zinatoka hukp. Hizo ndiyo njia rahisi kudhuru watu .... lakini watu wanakubali ili wapone. Kwenye chakula wanajifanya wazalendo wakati watoto wa watu wanakufa na njaa ... inaelekea kuna watu hawajui hali ya utapia mlo kwa watoto wa Tanzania. The statistics are not good.

For the first time nimemdharau Bashe kwa kupoliticize hii issue.
Bashe amefuata upepo yaani nini watu wanasema ndo amefuata ila kiukweli Watu weupe hawana mpango wa kutumaliza kama tunavyofikiria ili kubalance Dunia. Na kama wakitaka hivyo mbona simple wanatengeneza kirusi hatari wanakitupa Afrika chap tu tumeisha maana 90% ya maisha yetu tunawategemea wai.

Magari
Vifaa vya ujenzi
Madawa
Pesa
Mawasiliano
Umeme vyote ni wao .
 
Kuna watu wanatembea kwa afya na wameishi maisha marefu sababu ya Wamarekani. Wapo ambao kila mwezi au wiki kadhaa wanaenda kuchukua dawa za ARVs ili kujiongezea Kinga mwilini na kupiga vita magonjwa ambukizi mbalimbali.

Madawa na tiba hizi zimetoka kwa msaada wa watu wa Marekani (na mimi mmojawapo). Ingekuwa wanataka kutupunguza kwa haraka hakuna pazuri kama pale tupapendapo!! Jinsi masikini wetu wanavyopenda kula na kulana, kulala na kulaliana, kutafuna na kutafuniana; maelfu kama siyo mamilioni ya maskini Hawa wangekuwa wamepumzika ahera madukani siku nyingi.

Tuache ufyatu!! Waacheni wazazi au jamii wanaotaka watoto wao wale chakula cha msaada. Tulikula sisi miaka ya themanini na tunashukuru. Wazazi au jamii wasiotaka kula wasilazimishwe. Wazazi wawakataze watoto kula chakula Nicholas. Lakini kuwanyima watoto na wazazi wengine wasio na tatizo na vyakula hivi ni ufyatu . Tukifika mahali kweli tu tunajitegemea kwa chakula tunaweza kukataa kwa sababu ya kutokujiabisha. Sasa hivi msemo wa wahenga "mwenye njaa hana haramu" una ukweli wake.

Nashauri serikali iache hamaki, itulie na kufikiria tena a more balanced approach. Tusiwe wote hamnazo.
Hata wangeuacha tusingekufa! Amini nakwambia.

Ukimwi ukiwa hauna tiba unaogopeka na kuchukuliwa manani kuliko kukiwa na vidonge!!

Hamna ugonjwa unaoweza kumaliza jamii ya watu fulan
 
Kuna watu wanatembea kwa afya na wameishi maisha marefu sababu ya Wamarekani. Wapo ambao kila mwezi au wiki kadhaa wanaenda kuchukua dawa za ARVs ili kujiongezea Kinga mwilini na kupiga vita magonjwa ambukizi mbalimbali.

Madawa na tiba hizi zimetoka kwa msaada wa watu wa Marekani (na mimi mmojawapo). Ingekuwa wanataka kutupunguza kwa haraka hakuna pazuri kama pale tupapendapo!! Jinsi masikini wetu wanavyopenda kula na kulana, kulala na kulaliana, kutafuna na kutafuniana; maelfu kama siyo mamilioni ya maskini Hawa wangekuwa wamepumzika ahera madukani siku nyingi.

Tuache ufyatu!! Waacheni wazazi au jamii wanaotaka watoto wao wale chakula cha msaada. Tulikula sisi miaka ya themanini na tunashukuru. Wazazi au jamii wasiotaka kula wasilazimishwe. Wazazi wawakataze watoto kula chakula Nicholas. Lakini kuwanyima watoto na wazazi wengine wasio na tatizo na vyakula hivi ni ufyatu . Tukifika mahali kweli tu tunajitegemea kwa chakula tunaweza kukataa kwa sababu ya kutokujiabisha. Sasa hivi msemo wa wahenga "mwenye njaa hana haramu" una ukweli wake.

Nashauri serikali iache hamaki, itulie na kufikiria tena a more balanced approach. Tusiwe wote hamnazo.
Wamewaacha na Corona mbona hamjafa?? Kua na akili hata kidogo!!

Lazima uelewe kitu kinachoitwa ADAPTABILITY.
Kwamba viumbe wote duniani wametengenezwa kuadapt na tatizo au ugonjwa bila hvo dunia yote tungekua tumekufa.

Kuna magonjwa mengi ambayo hayana tiba au imechukua karne kupata tiba na bado watu hawajaisha.
Mfano Ulaya walishapataga magonjwa ya mlipuko na pandemiki kama ilivo korona inaua watu wengi lakin wapo wanao adabt au wanazaa watoto ambao ni immune kwene ugonjwa huo.

HIV hata wastopishe dawa haiwezi maliza dunia Watu wengi watakufa mwanzo lakin watakuja ku adapt na kuishi nao.
Kifupi ugonjwa unaenda unapungua had unaisha wenyewe!!…

Hii dunia ina miaka milion nyingi na yashatokea magonjwa zaidi ya ebora mengine yana ua watu wengi na kupotea au na kupata ufumbuzi
Plus Gonjwa moja haliwez ua kila jamii kuna jamiii ambazo miili yako inakinga dhidi ya ugonjwa huo

mfano mzuri Corona wazungu walijua Africa tungekufa kama kuku cha ajabu Walaaaa
wamekufa wenye afya mgogoro tena malaria inaweza kua imeua kuliko hata korona kwa Africa
 
Back
Top Bottom