Wazo la biashara kwa 100m

Wazo la biashara kwa 100m

Mkuu nimependa sana hiyi kitu, mkuu kwa hesabu za haraka inabidi uwe na kiasi gani cha kuanzia na vipi kuhusu wataalamu nitawapata kwa njia ipi?
Wataalam sio shida ni kitu kinafundishika haraka nadhani 50M inaweza,kutosha kuanzia
 
Ngoja nikushauli ujinga ukiona umekosa cha kufanya anzisha mirad ya mashine za kusaga tafuta sehem nzuri iwe kukodi chumba au kujenga kibanda ukifanikiwa kuweka sehem 4 unauhakika wa kulaza kima cha chini laki 6 kwa kila wiki hadi uzeeni kwako na hiyo ni faida tu haina makato wala ushuru

Ukiona hiyo ishu ni pusi njoo tufanye biashara ya makaa ya mawe ruvuma to mwanza au mtwara to kenya toka kukod gar kuyanunua, vibari mpaka kuyapeleka sehem husika itakugharim m2 faida yake ni kama laki nne hivi yaani we ni kupakia mzigo sokoni kutokana na speed yako na mtaji kama unauwezo wa kufikisha sokoni gar tano zenye ujazo wa tan30 basi fanya laki nne mara tano hiyo ni faida kwa siku uliyopeleka soko uhakika kama hujaelewa nitafafanua
Mwanza yanatumika kwenye nini hayo makaa ya mawe.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo Kigoma nunua tangawizi mbichi kuanzia mwezi wa sita kwa Tshs 400 kwa kilo, kata kwa ajili ya kukausha mpaka mwezi wa Tisa then utaamua uuze kwa kati ya 1500/= mpaka2300/= kwa kilo au subiri mwezi wa pili uuze 3500/= kwa kilo.Huhitaji kusafirisha,leseni wala ushuru wa aina yoyote bali lorry linakufata popote ulipostore mzigo wako. Tangawizi kavu inatafutwa nyumba kwa nyumba na matajiri toka Burundi,Kenya,Rwanda na wenyeji pia wanojua masoko zaidi ndani na nje ya nchi. Wekeza hata million 40 tu utanishukuru badae utakapopata zaidi ya million mia moja ndani ya muda mfupi.Naongea kwa uzoefu mkubwa sana nikiwa eneo husika mpaka sasa na Mali bado inatafutwa kwa kasi ya ajabu sana mpaka Leo.Gharama ni turubai za kuanikia na pesa ya kuwalipa wakataj 4000/= kwa gunia la debe kumi ambalo linabeba zaidi ya kilo 150.mzigo unaletewa popote unapofanyia shughuli zako kwa gharama ya mkulima wewe kazi yako ni kusoma mzani tu. Kipindi hicho tangawizi ni ya kutosha hata ukihitaji tani 100000 unapata ndani ya siku chache tu.
Watu wanapiga pesa si kawaida huku. Fanya research then ukiridhika uamzi ni juu yako.
Ngoja kwanza bro....
 
Mil 100 huna hata wazo la biashara?
Kikwetu tunasemaga Sokapo Apa.
 
Wadau wanaoamini katika ubia natafuta wazo la biashara na uwekezaji usiozid milion 100.
Nina parameters zangu
1. Mwenye wazo awe shareholder wa biashara yenyewe hata kama hana mtaji wa pesa. Akili ni mtaji mkubwa
2. Biashara iwe ya uzalishaji wa product flani na sio biashara ya kununua na kuuza
3. Uzalishaji uwe dsm hata kama malighafi inatoka popote
4. Bidhaa iwe na faida inayodhirika na sio faida mtambuka. Kuwepo na uhitaji kidogo wa kusimamiana na auditing rahisi
5. Isiwe bidhaa ya msimu wala inayoleta faida kimagumashi. Isilete mgogoro na TRA.
Wazo zuri tutaanza kikao mara moja.
Mkuu wangu, Tafadhali Njoo inbox tupeane mambo machache. Nina wazo la manufacturing industry nahisi linaweza likakufaa. Faida ni Baada ya kuuza product miezi miwili ya kwanza. Raw material ni kuemport from china, Soko ni Nchi za Africa Mashariki
 
Mkuu wangu, Tafadhali Njoo inbox tupeane mambo machache. Nina wazo la manufacturing industry nahisi linaweza likakufaa. Faida ni Baada ya kuuza product miezi miwili ya kwanza. Raw material ni kuemport from china, Soko ni Nchi za Africa Mashariki
Karibu
 
Wadau wanaoamini katika ubia natafuta wazo la biashara na uwekezaji usiozid milion 100.
Nina parameters zangu
1. Mwenye wazo awe shareholder wa biashara yenyewe hata kama hana mtaji wa pesa. Akili ni mtaji mkubwa
2. Biashara iwe ya uzalishaji wa product flani na sio biashara ya kununua na kuuza
3. Uzalishaji uwe dsm hata kama malighafi inatoka popote
4. Bidhaa iwe na faida inayodhirika na sio faida mtambuka. Kuwepo na uhitaji kidogo wa kusimamiana na auditing rahisi
5. Isiwe bidhaa ya msimu wala inayoleta faida kimagumashi. Isilete mgogoro na TRA.
Wazo zuri tutaanza kikao mara moja.

Kabla ya kuja inbox au unaweza ukaja inbox kama ukiwa interested. Fanya yafuatayo.

1. Sajiri kampuni
2. Ardhi


Kutoka kwenye Idea Yangu, Mahitaji ni 30m kama capital investment(Machine and Other uquipment) imported from italy and Germany

Production and Operating Cost = 40m kwa mwezi.


Profit ni kama 50m kwa mwezi wa kwanza.

Ni Biashara Nzuri, Soko lipo la kutosha.


Hasara zinazoweza kujitokeza.
1. Moto
2. Wezi
3. Watu wenye roho mbaya
4. Fitina Kutoka viwanda Vya nje
 
Wadau wanaoamini katika ubia natafuta wazo la biashara na uwekezaji usiozid milion 100.
Nina parameters zangu
1. Mwenye wazo awe shareholder wa biashara yenyewe hata kama hana mtaji wa pesa. Akili ni mtaji mkubwa
2. Biashara iwe ya uzalishaji wa product flani na sio biashara ya kununua na kuuza
3. Uzalishaji uwe dsm hata kama malighafi inatoka popote
4. Bidhaa iwe na faida inayodhirika na sio faida mtambuka. Kuwepo na uhitaji kidogo wa kusimamiana na auditing rahisi
5. Isiwe bidhaa ya msimu wala inayoleta faida kimagumashi. Isilete mgogoro na TRA.
Wazo zuri tutaanza kikao mara moja.
Mimi nakushauri ujiunge na mfuko wa utt wa liquid fund au ukwasii au ununue government bond fund utajutia ndugu yangu seriously
 
Vip bado unapokea wazo? Nina wazo la bidhaa ya kuzalisha, soko lipo. Naweza wasilisha?
 
Kabla ya kuja inbox au unaweza ukaja inbox kama ukiwa interested. Fanya yafuatayo.

1. Sajiri kampuni
2. Ardhi


Kutoka kwenye Idea Yangu, Mahitaji ni 30m kama capital investment(Machine and Other uquipment) imported from italy and Germany

Production and Operating Cost = 40m kwa mwezi.


Profit ni kama 50m kwa mwezi wa kwanza.

Ni Biashara Nzuri, Soko lipo la kutosha.


Hasara zinazoweza kujitokeza.
1. Moto
2. Wezi
3. Watu wenye roho mbaya
4. Fitina Kutoka viwanda Vya nje
Mmh[emoji848][emoji848]
 
Vip bado unapokea wazo? Nina wazo la bidhaa ya kuzalisha, soko lipo. Naweza wasilisha?
Nakushauri uwasilishe.. watu wenye fedha bila wazo zuri la Biashara huwa wapo wengi tu.
Hata kama mtoa mada alishapata, waweza pata mwingine kama wazo ni zuri
 
Wadau wanaoamini katika ubia natafuta wazo la biashara na uwekezaji usiozid milion 100.
Nina parameters zangu
1. Mwenye wazo awe shareholder wa biashara yenyewe hata kama hana mtaji wa pesa. Akili ni mtaji mkubwa
2. Biashara iwe ya uzalishaji wa product flani na sio biashara ya kununua na kuuza
3. Uzalishaji uwe dsm hata kama malighafi inatoka popote
4. Bidhaa iwe na faida inayodhirika na sio faida mtambuka. Kuwepo na uhitaji kidogo wa kusimamiana na auditing rahisi
5. Isiwe bidhaa ya msimu wala inayoleta faida kimagumashi. Isilete mgogoro na TRA.
Wazo zuri tutaanza kikao mara moja.
huna hiyo pesa, unajaza saver tu humu
 
Wadau wanaoamini katika ubia natafuta wazo la biashara na uwekezaji usiozid milion 100.
Nina parameters zangu
1. Mwenye wazo awe shareholder wa biashara yenyewe hata kama hana mtaji wa pesa. Akili ni mtaji mkubwa
2. Biashara iwe ya uzalishaji wa product flani na sio biashara ya kununua na kuuza
3. Uzalishaji uwe dsm hata kama malighafi inatoka popote
4. Bidhaa iwe na faida inayodhirika na sio faida mtambuka. Kuwepo na uhitaji kidogo wa kusimamiana na auditing rahisi
5. Isiwe bidhaa ya msimu wala inayoleta faida kimagumashi. Isilete mgogoro na TRA.
Wazo zuri tutaanza kikao mara moja.
Mkuu njoo DM, me Nina wazo ni investment ya uhakika na unapewa na bima, million 50 yako utakuja kutoa ushuhuda badae, sio biashara ya kuuza na kununua , we unawekeza, haihitaji mda wako mwingi,
 
Nunua machine maalum kwa ajili ya kutengengeza vyakula vya mifugo na ndege kama kuku bata nk , utafanya packing na kuwa na brand name maalum ya biashara yako na aina ya vyakula unavyouza ,.. hii ni biashara viable sana. ukiwa umevutiwa nayo nikuandalie BUSINESS PLAN pamoja na PROJECTION CASH FLOW ya miaka 5 ijayo.
Imekaa vizur hii
 
Back
Top Bottom