Wazo la kufungua barabara ya Makambako to Mlimba

Wazo la kufungua barabara ya Makambako to Mlimba

Mk boy

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2020
Posts
3,024
Reaction score
2,047
Ni Muda mwafaka tanroad kuifungua Barabara ya makambako hadi mlimba kuungana na iliyotoka Ifakara kwa ni wananchi wengi kipande hichi wamekuwa wakitumia treni kama ndo usafiri wao na kwanini wafungue hii Barabara kwanza ni Barabara itakayo kuwa na km chache kama 160 ukilinganisha na ya lupembe km 224 mbili itasaidia kuwaunganisha wakazi wa ifakara mlimba nk na mikoa ya nyanda za juu kUsini iringa, Njombe ,ruvuma,mbeya ,songwe ,rukwa nk tatu itakuwa ndo njia mbadala ya kwenda dsm itapunguza msongamano tazam road ,

Itawarahisishia kutanuka kwa soko la mazao yao wananchi wa mlimba na mwisho naona juhudi zimeanza kuonekana ya kupanganfa kukifungua kipande Cha uchindile hadi mlimba na ndo kipande kilicho kuwa kimesalia hongereni tarura kwa maono hayo👇♨️♨️♨️♨️👇

Nao wakurugenzi wa halmashauri za mkoa huo akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mlimba Mhandisi Stephano Kaliwa wamekiri uboreshaji wa miundombinu katika halmshauri zao huku akimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassa kupitia TARURAna kwamba Halmashauri ya mlimba inatarajia kuchonga barabara ya Mlimba - Uchindile yenye km 80 ambayo itawasaidia kuondokana na adha ya kuzunguka
sddefault(1).jpg
1713921158070.jpg
FB_IMG_16767646396166325.jpg
WhatsApp Image 2024-03-20 at 6.43.13 PM.jpeg
 
Ni Muda mwafaka tanroad kuifungua Barabara ya makambako hadi mlimba kuungana na iliyotoka Ifakara kwa ni wananchi wengi kipande hichi wamekuwa wakitumia treni kama ndo usafiri wao na kwanini wafungue hii Barabara kwanza ni Barabara itakayo kuwa na km chache kama 160 ukilinganisha na ya lupembe km 224 mbili itasaidia kuwaunganisha wakazi wa ifakara mlimba nk na mikoa ya nyanda za juu kUsini iringa, Njombe ,ruvuma,mbeya ,songwe ,rukwa nk tatu itakuwa ndo njia mbadala ya kwenda dsm itapunguza msongamano tazam road ,

Itawarahisishia kutanuka kwa soko la mazao yao wananchi wa mlimba na mwisho naona juhudi zimeanza kuonekana ya kupanganfa kukifungua kipande Cha uchindile hadi mlimba na ndo kipande kilicho kuwa kimesalia hongereni tarura kwa maono hayo👇♨️♨️♨️♨️👇

Nao wakurugenzi wa halmashauri za mkoa huo akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mlimba Mhandisi Stephano Kaliwa wamekiri uboreshaji wa miundombinu katika halmshauri zao huku akimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassa kupitia TARURAna kwamba Halmashauri ya mlimba inatarajia kuchonga barabara ya Mlimba - Uchindile yenye km 80 ambayo itawasaidia kuondokana na adha ya kuzunguka View attachment 2972329View attachment 2972330View attachment 2972331View attachment 2972332
Hivi hilo daraja kwenye picha, bado kuna mamba kwenye huo mto?
Pale kitete mpaka mgororo hali yake kiuchumi ikoje sasa?
Handaki 14 je?
 
Hivi hilo daraja kwenye picha, bado kuna mamba kwenye huo mto?
Pale kitete mpaka mgororo hali yake kiuchumi ikoje sasa?
Handaki 14 je?
Mamba wamo ishu ya uchumi wakifungua hizi Barabara na kuboresha reli ya tazara uchumi utaimarika kumbuka saiz reli tazara imepata kashikashi na mvua ko wamesitisha safari hadi marekebisho yakamilike Barabara za tope hazipitiki
 
Hiyo barabara ikijengwa itagharimu kiasi kikubwa sana kuna mito zaidi ya ishirini mpaka kufika mgololo bora wajenge ile ya mlimba njombe kupitia lupembe
Itaghalimu vip madaraja si wanajenga na kumbuka tayari tarura wamesha liona Hilo na kuanza kulifanyia kazi na ya lupembe ipo kwenye mpango kumbuka Kuna kata za uchindile ni za mlimba wanategemea treni tu kwenda mlimba makao makuu ya wilaya
 
Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kwa kushirikiana na majeshi mengine wamewaokoa abiria zaidi ya 500 waliokuwa wamekwama kwa zaidi ya saa 12 wakitumia usafiri wa Garimoshi 'treni' kwenye Reli ya Tazara kutoka Makambako kuelekea Dar es Salaam baada ya kukwama katika Kijiji cha Lumumwe Halmashauri ya Mlimba Wilayani Kilombero Mkoa Morogoro

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya alifika katika eneo la tukio ambapo amesema zoezi hilo la uokozi lilianza aprili 02 majira mchana hadi usiku wa kuamkia aprili 03

Chanzo cha abiria hao kukwama ni baada ya Reli kuharibika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kufukiwa na mchanga na tope

DC Kyobya amesema abiria hao kwa sasa wamepelekwa stesheni ya Mlimba kwa ajili ya kuanza safari kuelekea Dar na kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutuma kikosi hicho cha Jeshi la Wananchi ( JWTZ )kuja kuokoa abiria hao

Tayari mamlaka husika imeanza jitihada za kutengeneza reli hiyo sehemu zote zilizoleta changamoto
1713931760594.jpg
1713931751930.jpg
 
Itaghalimu vip madaraja si wanajenga na kumbuka tayari tarura wamesha liona Hilo na kuanza kulifanyia kazi na ya lupembe ipo kwenye mpango kumbuka Kuna kata za uchindile ni za mlimba wanategemea treni tu kwenda mlimba makao makuu ya wilaya
kuna mkandarasi toka mwaka juzi amepewa kazi ya kujenga madaraja imekuja mvua madaraja yote yaliyojengwa yamesombwa na maji,Hiyo barabara nikupoteza fedha za wananchi tazara inatosha
 
kuna mkandarasi toka mwaka juzi amepewa kazi ya kujenga madaraja imekuja mvua madaraja yote yaliyojengwa yamesombwa na maji,Hiyo barabara nikupoteza fedha za wananchi tazara inatosha
Hiyo ni athari ya mikoa mingi ndo maana wamepewa fedha za dharura ili kurekebisha.mbona na daraja za treni zimesombwa
1713931760594.jpg
 
Hii nadhani ndiyo itakayojengwa sababu lupembe ni eneo muhimu kiuchumi kwa mkoa wa njombe na lianhitaji kufunguliwa mapema mno
Kumbuka tumeongelea distance na ukumbuke hii inapita mgololo ambako tayari Kuna kiwanda kikubwa pia ndo Barabara itakayo kuwa fupi kuliko hiyo
 
kuna mkandarasi toka mwaka juzi amepewa kazi ya kujenga madaraja imekuja mvua madaraja yote yaliyojengwa yamesombwa na maji,Hiyo barabara nikupoteza fedha za wananchi tazara inatosha

Bajeti ya TARURA Mkoani Morogoro yapaa Hadi TSH. bilioni 61.​

thumb_1859_800x420_0_0_auto.jpg
Posted On: November 3rd, 2023
Bajeti ya TARURA Mkoani Morogoro yapaa hadi Tsh. bilioni 61.

IMG_20231103_144436_121.jpg


Meneja wa Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini Tanzania (TARURA) Mkoa wa Morogoro Mhandisi Emmanuel Ndyamukama ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwaongezea fedha za utekelezaji wa miundombinu ya barabara Mkoani humo kutoka shilingi bilioni 7 hadi kufikia shilingi bilioni 61.

IMG-20231103-WA0247.jpg


Mhandisi Ndyamukama ameyasema hayo Novemba 2, mwaka huu wakati wa mkutano wa Mkuu wa Mkoa pamoja na Msemaji Mkuu wa Serikali na Waandishi wa Habari ikiwa ni Kampeni ya kutangaza Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita yaliyofanyika mkoani humo, mkutano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo.

IMG_20231103_144436_203.jpg


Mhandisi Ndyamkama amesema wakati Serikali ya Awamu ya Sita inaingia Madarakani imekuta bajeti ya TARURA Mkoani humo ikiwa ni shilingi bilioni 7. 9 kwa mwaka, lakini kwa kipindi cha miaka miwili na nusu ya Serikali ya Dkt. Samia Suluhu Hassan bajeti hiyo imeongezeka hadi kufikia shilingi bilioni 61.45.

IMG-20231102-WA0255.jpg


“...wakati Serikali ya Awamu ya Sita inaingia Madarakani tulikuwa tunapata mgao wa fedha shilingi bilioni 7. 9 kwa mwaka, lakini alivyoingia tu mpaka sasa hivi tumeweza kupata jumla ya shilingi bilioni 61.45...kwahiyo hii ni kazi kubwa ambayo Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameifanya...” amesema Mhandisi Ndyamukama.

IMG-20231102-WA0258.jpg


Aidha, ameongeza kuwa fedha hizo zimesaidia kufungua barabara mpya zenye jumla ya km 190 ambazo zimeelekezwa kwenye huduma za jamii zikiwemo shule, hospitali, masoko, maeneo ya utalii, maeneo ya kuabudia na maeneo ya uzalishaji hususan kilimo.

IMG_20231103_144436_903.jpg


Sambamba na hayo, Meneja wa TARURA amesema fedha hizo zimeongeza mtandao wa barabara za lami kutoka km 87.63 hadi km 99. 15, changarawe km 987.24 hadi km 1456.75, barabara za kiwango cha zege km 5.6, Madaraja mawaili likiwemo daraja la Berega lenye urefu wa mita 140 amabalo limegharimu shilingi bilioni 7.9 na daraja la Luhembe lenye mita 40 amabapo gharama yake ni shilingi bilioni 1. 2.

IMG_20231103_144437_078.jpg


Nao wakurugenzi wa halmashauri za mkoa huo akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mlimba Mhandisi Stephano Kaliwa wamekiri uboreshaji wa miundombinu katika halmshauri zao huku akimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassa kupitia TARURAna kwamba Halmashauri ya mlimba inatarajia kuchonga barabara ya Mlimba - Uchindile yenye km 80 ambayo itawasaidia kuondokana na adha ya kuzunguka kwenda Mafinga Wilyani Mufindi Mkoani Iringa kufuata huduma za Afya.
 
Hii nadhani ndiyo itakayojengwa sababu lupembe ni eneo muhimu kiuchumi kwa mkoa wa njombe na lianhitaji kufunguliwa mapema mno
Ni sahihi nayo itajengwa kumbuka na hii inahitaji kufunguka mfano wananchi wa uchindile wanapataje huduma kwenye halmashauri yao maana treni linaenda kwa ratiba na wakiifungua hii nayo itaifungua uchumi mfano hichi ni kipande Cha makambako mgololo hapo Kuna gari zinaenda zambia
1713935867897.jpg
1713935857669.jpg
 
Tayari kipande Cha makambako hadi mgololo wapo kwenye upembuzi kwaaji ya kuweka lami soma maelezo hapo utaona 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇Mufindi ya Samia inasonga Mbele tunakuombea kheri Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan unapoanza safari yako Nchini Uturuki, Sisi wana Mufindi tunakupenda na hakika Mfupa ulioshindikana na wengine kwa Miaka 60, umeanza kuutafuna kwa kasi.
Leo nitataja mambo 5 tu:

1. MAJI: Kati ya Vijiji 71 Mwaka 2021 ni Vijiji 5 vilikuwa na maji, Leo Miradi ya Maji imepelekwa kwenye Vijiji zaidi ya 50.

2. Barabara za lami: Mpaka Mwaka 2021 Wananchi walifika mahala wakachoka na ahadi za lami, lakini leo hii:
•Nyololo-Mtwango Km 40.4 Mkandarasi yuko site,
•Sawala-Luhunga mkandarasi amemaliza Km 30 na anamalizia 10,
•Igowole inapata lami Mtaani km 1.2,
•Barabara ya Mafinga Mgololo Mkataba umesainiwa tunasubiri kazi ianze muda wowote taratibu zikikamilika. •Usanifu wa kina umeanza kwa barabara ya Makambako- Mgololo

3. Elimu: Ujenzi Chuo VETA unaendelea, Ujenzi shule mpya 3 za Sekondari na za Msingi zaidi ya 20.

4. Kilimo&Mifugo:
•Tunakushukuru kwa kututua mzigo wa bei za Mbolea toka 130,000 mpaka 70,000 kupitia ruzuku,
•Ujenzi kiwanda cha parachichi Nyololo,
•Ugawaji Vifaranga vya Samaki katika Mabwawa ya Nzivi, Ngwazi na Kihanga etc
•Animal Gift, Mradi wa wadau wa ugawaji wanyama hai kwa wananchi( Takribani Ng'ombe 600, Nguruwe na Kuku zaidi ya 4,000) Ili kufikia agenda yetu ya One Family one cattle.

5. Afya: Asante kwa Vituo vya Afya Mgololo, Mninga, Mtwango na Itandula,
•ukamilikaji Hospitali ya Wilaya Mufindi
 
Tayari kipande Cha makambako hadi mgololo wapo kwenye upembuzi kwaaji ya kuweka lami soma maelezo hapo utaona 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇Mufindi ya Samia inasonga Mbele tunakuombea kheri Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan unapoanza safari yako Nchini Uturuki, Sisi wana Mufindi tunakupenda na hakika Mfupa ulioshindikana na wengine kwa Miaka 60, umeanza kuutafuna kwa kasi.
Leo nitataja mambo 5 tu:

1. MAJI: Kati ya Vijiji 71 Mwaka 2021 ni Vijiji 5 vilikuwa na maji, Leo Miradi ya Maji imepelekwa kwenye Vijiji zaidi ya 50.

2. Barabara za lami: Mpaka Mwaka 2021 Wananchi walifika mahala wakachoka na ahadi za lami, lakini leo hii:
•Nyololo-Mtwango Km 40.4 Mkandarasi yuko site,
•Sawala-Luhunga mkandarasi amemaliza Km 30 na anamalizia 10,
•Igowole inapata lami Mtaani km 1.2,
•Barabara ya Mafinga Mgololo Mkataba umesainiwa tunasubiri kazi ianze muda wowote taratibu zikikamilika. •Usanifu wa kina umeanza kwa barabara ya Makambako- Mgololo

3. Elimu: Ujenzi Chuo VETA unaendelea, Ujenzi shule mpya 3 za Sekondari na za Msingi zaidi ya 20.

4. Kilimo&Mifugo:
•Tunakushukuru kwa kututua mzigo wa bei za Mbolea toka 130,000 mpaka 70,000 kupitia ruzuku,
•Ujenzi kiwanda cha parachichi Nyololo,
•Ugawaji Vifaranga vya Samaki katika Mabwawa ya Nzivi, Ngwazi na Kihanga etc
•Animal Gift, Mradi wa wadau wa ugawaji wanyama hai kwa wananchi( Takribani Ng'ombe 600, Nguruwe na Kuku zaidi ya 4,000) Ili kufikia agenda yetu ya One Family one cattle.

5. Afya: Asante kwa Vituo vya Afya Mgololo, Mninga, Mtwango na Itandula,
•ukamilikaji Hospitali ya Wilaya Mufindi
Watu wa Mufindi wangekuona unamsifia Mama kiasi hiki, huku wengi wao wakiwa wananung'unika kutokana na ubovu uliokithiri wa barabara kwenye hiyo Wilaya kwa miaka nenda; aisee nahisi wangeweza hata kukupiga makofi.

Eti unasema barabara ya Nyololo Mtwango Kilomita 40.4 kwa kiwango cha lami, mkandarasi yupo site!! Site ya wapi hiyo!! Mimi kila mwezi huwa ninapita hiyo barabara, na imejaa matope. Kama ni lami imepigwa mita 200 tu kutoka barabara kuu ya Tanzam!

Halafu unasema Igowole imepewa lami ya kilomita 1.2 ya mtaani! Sasa km 1.2 ina tija gani katika hali ya kawaida!! Hizo hela mnazotumia kupuyanga huko kwa wenzenu si mngezitumia kujenga kilomita za kutosha tu za barabara za mitaa, badala ya kujenga barabara ya km 1.2!! Halafu nina wasiwasi kama hiyo lami ya Sawala Luhunga kama serikali inahusika kwenye ujenzi wake, kiasi cha kuja kujisifia hapa! Na kama inahusika, basi yatakuwa ni matumizi mabaya ya fedha za serikali.

Ukienda Dodoma ambako ni Jiji, barabara nyingi za mitaa hazipitiki! Na zimegeuka kuwa mabwawa.
 
Tayari kipande Cha makambako hadi mgololo wapo kwenye upembuzi kwaaji ya kuweka lami soma maelezo hapo utaona 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇Mufindi ya Samia inasonga Mbele tunakuombea kheri Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan unapoanza safari yako Nchini Uturuki, Sisi wana Mufindi tunakupenda na hakika Mfupa ulioshindikana na wengine kwa Miaka 60, umeanza kuutafuna kwa kasi.
Leo nitataja mambo 5 tu:

1. MAJI: Kati ya Vijiji 71 Mwaka 2021 ni Vijiji 5 vilikuwa na maji, Leo Miradi ya Maji imepelekwa kwenye Vijiji zaidi ya 50.

2. Barabara za lami: Mpaka Mwaka 2021 Wananchi walifika mahala wakachoka na ahadi za lami, lakini leo hii:
•Nyololo-Mtwango Km 40.4 Mkandarasi yuko site,
•Sawala-Luhunga mkandarasi amemaliza Km 30 na anamalizia 10,
•Igowole inapata lami Mtaani km 1.2,
•Barabara ya Mafinga Mgololo Mkataba umesainiwa tunasubiri kazi ianze muda wowote taratibu zikikamilika. •Usanifu wa kina umeanza kwa barabara ya Makambako- Mgololo

3. Elimu: Ujenzi Chuo VETA unaendelea, Ujenzi shule mpya 3 za Sekondari na za Msingi zaidi ya 20.

4. Kilimo&Mifugo:
•Tunakushukuru kwa kututua mzigo wa bei za Mbolea toka 130,000 mpaka 70,000 kupitia ruzuku,
•Ujenzi kiwanda cha parachichi Nyololo,
•Ugawaji Vifaranga vya Samaki katika Mabwawa ya Nzivi, Ngwazi na Kihanga etc
•Animal Gift, Mradi wa wadau wa ugawaji wanyama hai kwa wananchi( Takribani Ng'ombe 600, Nguruwe na Kuku zaidi ya 4,000) Ili kufikia agenda yetu ya One Family one cattle.

5. Afya: Asante kwa Vituo vya Afya Mgololo, Mninga, Mtwango na Itandula,
•ukamilikaji Hospitali ya Wilaya Mufindi
Naona umetumwa ukatumika
 
Back
Top Bottom