Kunamahala mkuu inabidi tupafanye papitike tu maana kuna sasa na hapo baadae, kuliko kugawanyisha mikoa bora hiyo pesa wangeboresha hizi njia za kuiunganisha hii mikoa.Naunga mkono hojaa, hii barabara ijengwe haraka sanaa.
Kupunguza adha ya usafiri kwa wananchi wa maeneo husika.
NI SAHIhi hii ni moja ya njia ya kukuza uchumi sio kutegemea njia moja na umuhimu wakuwa na njia nyingi umeonekana mwaka huu baada baadhi ya Barabara kukata mawasiliano kukiwa na njia nyingi inasaidi kuwa mbadalaMimi binafsi nakubaliana na mleta mada kabisa tunapashwa kuzitengeneza njia nyingi zinazoiunganisha Nchi pande zote hiyo ndio njia mojawapo nzuri ya kuleta maendeleo ya ndani ya Nchi. Kuto kuzijenga itakuwa sawa sawa na kile wanachokipata DRC maana upande mmoja hakutani na mwingine kwa urahisi.
Mkoa wa Morogoro nafikiri Ni mkubwa sana, unapaswa kugawanywa ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa jamii hususani ujenzi wa miundombinu ya barabara ili kuunganisha na mikoa mingine yote inayopakana nayo.Ni Muda mwafaka tanroad kuifungua Barabara ya makambako hadi mlimba kuungana na iliyotoka Ifakara kwa ni wananchi wengi kipande hichi wamekuwa wakitumia treni kama ndo usafiri wao na kwanini wafungue hii Barabara kwanza ni Barabara itakayo kuwa na km chache kama 160 ukilinganisha na ya lupembe km 224 mbili itasaidia kuwaunganisha wakazi wa ifakara mlimba nk na mikoa ya nyanda za juu kUsini iringa, Njombe ,ruvuma,mbeya ,songwe ,rukwa nk tatu itakuwa ndo njia mbadala ya kwenda dsm itapunguza msongamano tazam road ,
Itawarahisishia kutanuka kwa soko la mazao yao wananchi wa mlimba na mwisho naona juhudi zimeanza kuonekana ya kupanganfa kukifungua kipande Cha uchindile hadi mlimba na ndo kipande kilicho kuwa kimesalia hongereni tarura kwa maono hayo👇♨️♨️♨️♨️👇
Nao wakurugenzi wa halmashauri za mkoa huo akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mlimba Mhandisi Stephano Kaliwa wamekiri uboreshaji wa miundombinu katika halmshauri zao huku akimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassa kupitia TARURAna kwamba Halmashauri ya mlimba inatarajia kuchonga barabara ya Mlimba - Uchindile yenye km 80 ambayo itawasaidia kuondokana na adha ya kuzunguka View attachment 2972329View attachment 2972330View attachment 2972331View attachment 2972332
Ni km ngapi?Hii nadhani ndiyo itakayojengwa sababu lupembe ni eneo muhimu kiuchumi kwa mkoa wa njombe na lianhitaji kufunguliwa mapema mno
Ile Ina 224kmNi km ngapi?
Mamba wahame waende wapi wakati wanajua nyama ya binadamu inapatikana kwa urahisi na kwa wingi katika ukanda huoHivi hilo daraja kwenye picha, bado kuna mamba kwenye huo mto?
Pale kitete mpaka mgororo hali yake kiuchumi ikoje sasa?
Handaki 14 je?