Wazo la Leo: Aliyeumwa na Nyoka...

Wazo la Leo: Aliyeumwa na Nyoka...

Nani wamefilisi hizo bank? Salama ya NBC ni awamu ya tano. It was going down the drain.....pengine kufunga
Maduka ya kubadili pesa...pengine kudhibiti wakopaji wenye agenda za kutolipa...ila hatuna cha kujivunia kwenye uwekezaji so far.
Salama ya NBC kitu gani?
Mbona unaongea kama hujielewi?
NBC sio bank ya serikali...awamu ya tano imesaidia nini?
Hizo bank zote zimekufa wakati wa awamu ya tano mbona hawakuzisaidia hizo zisife??
NBC ilibinafsishwa wakati wa Mkapa ..ndo imesalimika
Hizo zilizokufa zote zimekufa awamu ya tano
 
Nchi zote za Afrika zimeuzwa na madictator. Kama unataka kutufanya tuone dhalimu alikuwa wa maana basi umekwama. Yeye ndio aliliweka bunge hili lililopitisha uuzwaji huu wa bandari.
Lakini huyo dhalimu dictator hayupo tena, anayeuza bandari hivi sasa si dictator na bunge halijapitisha huo uuzwaji kwa kumfurahisha dictator aliyewaweka ambaye hayupo tena.

Narudi pale pale tu kwamba tuchague moja udikteta au huu mfumo uliyopo sasa?
 
Kushindwa ni sehemu ya kujifunza. Lets just be positive kuwa this time around tutapatia tutalamba dume.
Tulambe dume kwa mikataba ya kijinga namna hiyo isiyo na ukomo, wala kufanyiwa tathimini?
Dume gani linalambwa na kuingia kichwa kichwa na kutoa bandari zote za nchi kwa kampuni ambayo hata hatuijui na hatujawahi kufanya nayo biashara? Labda kama ni kulamba jike, hilo ndilo nasikia watu wanaingia kichwa.
 
Lakini huyo dhalimu dictator hayupo tena, anayeuza bandari hivi sasa si dictator na bunge halijapitisha huo uuzwaji kwa kumfurahisha dictator aliyewaweka ambaye hayupo tena.

Narudi pale pale tu kwamba tuchague moja udikteta au huu mfumo uliyopo sasa?
Kwani demokrasia ndio imeuza raslimali zetu?
 
Kwani demokrasia ndio imeuza raslimali zetu?
Hata sijataja demokrasia nimeita tu mfumo, sasa labda wewe ndio useme kuwa huu mfumo uliyopo sasa ni mfumo wa kidemokrasia maana uongozi uliyotoka ulikuwa mfumo wa kidikteta na wote tumeuona ulivyokuwa.
 
Hii nchi ni ya watanzania wote, wenye elimu na wasio na elimu, wenye uwezo wajuu kiuchumi na wale wachini kabisa kiuchumi. Niwakati sasa makundi yote haya yafikiwe nakujulishwa umuhimu wa mikataba mikubwa ambayo serikali inaingia.
Kuna mtanzania mmoja juzi aliamua kutumia Uhuru wake wakujieleza kwa kutuhumu kundi la watu aliowaita masikini kulalamikia sakata la bandari.Kwamtazamo wake anaona mtu ambae hana uwezo wakuagiza bidhaa kupitia bandari hatakiwi kulalamika badala yake asubiri wenye direct interests ndo waamue uhalali au uharamu wa sakata hili.
Hayo nimawazo yake yanabaki kama yalivyo, ila kwangu naona nimuhimu wananchi tufahamishwe nini faida na hasara za mikataba ya nchi ili hata ikitokea matokeo yasiyo mazuri tuwe tayari kubeba gharama.
Kuna wakati natamani ningemuona mbunge wangu nimuulize anachokitetea/kutokitetea kuhusu huu mkataba ni msimamo wa sisi wapiga kura wake au ni msimamo wa chama chake.
Nikweli serikali inafanya maamuzi kwa niaba ya wananchi lakini(kwa maoni yangu)sio busara jambo kubwa la kitaifa kama mikataba kuamuliwa na watu wasiozidi wanne(4),huku watu zaidi ya milioni50 wakibaki hawaelewi pakusimamia.
NB:Hao watu wanne niwale saini zao zinazoonekana kwenye mikataba.
 
Mkataba hauna limit na hautupi favor ss wazawa kabisa ila Kuna nafsi ya mikataba midogo midogo ambayo itakua Ina sainiwa.. ambayo haitakua na nguvu
Kifungu gani hakikupi favor Tanzania? Favor gani unazizungumzia?
 
Salama ya NBC kitu gani?
Mbona unaongea kama hujielewi?
NBC sio bank ya serikali...awamu ya tano imesaidia nini?
Hizo bank zote zimekufa wakati wa awamu ya tano mbona hawakuzisaidia hizo zisife??
NBC ilibinafsishwa wakati wa Mkapa ..ndo imesalimika
Hizo zilizokufa zote zimekufa awamu ya tano
Wewe ndio hujielewi. Maandishi yako yanasifia wizi na upigaji.
Shida ya bank zetu zinafilisika sababu wakopaji hawalipi. Na hao wakopaji ni kina nani?
Angalia bank zote hizo mitaji ilipoteaje. Kwahiyo unataka na bandari iende kama hizo bank zilivyoenda.
 
Back
Top Bottom