Salama ya NBC kitu gani?Nani wamefilisi hizo bank? Salama ya NBC ni awamu ya tano. It was going down the drain.....pengine kufunga
Maduka ya kubadili pesa...pengine kudhibiti wakopaji wenye agenda za kutolipa...ila hatuna cha kujivunia kwenye uwekezaji so far.
Lakini huyo dhalimu dictator hayupo tena, anayeuza bandari hivi sasa si dictator na bunge halijapitisha huo uuzwaji kwa kumfurahisha dictator aliyewaweka ambaye hayupo tena.Nchi zote za Afrika zimeuzwa na madictator. Kama unataka kutufanya tuone dhalimu alikuwa wa maana basi umekwama. Yeye ndio aliliweka bunge hili lililopitisha uuzwaji huu wa bandari.
Tulambe dume kwa mikataba ya kijinga namna hiyo isiyo na ukomo, wala kufanyiwa tathimini?Kushindwa ni sehemu ya kujifunza. Lets just be positive kuwa this time around tutapatia tutalamba dume.
Kwani demokrasia ndio imeuza raslimali zetu?Lakini huyo dhalimu dictator hayupo tena, anayeuza bandari hivi sasa si dictator na bunge halijapitisha huo uuzwaji kwa kumfurahisha dictator aliyewaweka ambaye hayupo tena.
Narudi pale pale tu kwamba tuchague moja udikteta au huu mfumo uliyopo sasa?
Ugumu wake nini lazima ukanywe kahawa na tende Dubai kama wabunge wetu walivyo kwenda huko 😂😂Hii iko tofauti sana masharti yake ni magumu mno .
Hata sijataja demokrasia nimeita tu mfumo, sasa labda wewe ndio useme kuwa huu mfumo uliyopo sasa ni mfumo wa kidemokrasia maana uongozi uliyotoka ulikuwa mfumo wa kidikteta na wote tumeuona ulivyokuwa.Kwani demokrasia ndio imeuza raslimali zetu?
Kifungu gani hakikupi favor Tanzania? Favor gani unazizungumzia?Mkataba hauna limit na hautupi favor ss wazawa kabisa ila Kuna nafsi ya mikataba midogo midogo ambayo itakua Ina sainiwa.. ambayo haitakua na nguvu
Wewe ndio hujielewi. Maandishi yako yanasifia wizi na upigaji.Salama ya NBC kitu gani?
Mbona unaongea kama hujielewi?
NBC sio bank ya serikali...awamu ya tano imesaidia nini?
Hizo bank zote zimekufa wakati wa awamu ya tano mbona hawakuzisaidia hizo zisife??
NBC ilibinafsishwa wakati wa Mkapa ..ndo imesalimika
Hizo zilizokufa zote zimekufa awamu ya tano
Ndo maana nkasema mm sio mtaalamu wa Sheria lkn I can read between the linesKifungu gani hakikupi favor Tanzania? Favor gani unazizungumzia?
Jibu swaliNdo maana nkasema mm sio mtaalamu wa Sheria lkn I can read between the lines
Hakuna muda maalum wa kujifunza, tunajifunza kwa makosa, hivyo sasa tutakuwa makini zaidi.
P
Kwamba hakuna ukomo wa mkataba kuisha ndo sharti gumu?Hii iko tofauti sana masharti yake ni magumu mno .