Wazo la leo: Tumia JF kumjua mwanamke mwenye akili (mke bora)

Umeshaharibu tayari maana watahamia huko siri hii tulikuwa tunaijua na jukumu la kuwapepeta kwa kuanzisha nyuzi hizo tulimkabidhi mshana Junior ili tuwajue na kuzichangia kuwapima
 
Aisee
 
Hakuna kama Evelyn Salt

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Wengine hata hatupo serious na JF kama unavvyodhani.
 
Nashinda jukwaa la biashara na hakuna mutu kaja kupropose, hii ni tabia gani eti????
 
Mleta Uzi mungu akubarik Sana
Uzi umenisaidia mno kifikra by the way sikuwa addicted na mmu ila ilikua ni first priority Kila nikiingia jf na Sasa ni last priority na nnaweza nisguse mmu for even a monthπŸ˜‚. Well done umeokoa jahazi mtoto wa mama mkwe saiv anaona changes Kwa mke wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…