Wazo la leo: Tumia JF kumjua mwanamke mwenye akili (mke bora)

hilo wao hawajali maana wengi hufuata upepo unapovumia
 
Kwamba wewe ndio ulitumia mbinu hizo? Na ukafanikiwa?
Kama sivyo una uhakika gani na unayoyasema?
google hii sentensi mkuu,"what your favourite TV network can tell you more about your personality" ni utafiti uliofanywa huko marekani na wanasaikolojia nadhani mleta thread hayupo mbali sana na ukweli, mfano kwenye huo utafiti wameelezea kwanini baadhi ya watu wazima hupenda kuangalia katuni za watoto.
 
Duhhh! Sawa
 
Unampa huyo kaka mzuri kazi ngimu ya kukukokota tu kila siku, akifa utatesa familia.
Ndio maana tunataks wanawake wanaojirlewa wawe wasaidizi bora sio wa kukokotwa tu
Mimi nimesema kuongoza, kukokota unasema wewe.

Unadhani kuna mwenye akili atakubali kuwa na kilaza? Kaka mzuri anajua zaidi, umbea haumtoi mtu akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…