Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Pale wapo wanawake kadhaa ndugu yangu!Kwenye huu uzi namjua mwanamke mmoja tu [emoji846][emoji846]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale wapo wanawake kadhaa ndugu yangu!Kwenye huu uzi namjua mwanamke mmoja tu [emoji846][emoji846]
DuuuhAsilimia 99 ya wanawake wa Jf wanaangukia kwenye hiyo point No 1
Yawezekana, halafu kila mtu anawakufanana nayeKwa hiyo na wanaume wanaoshinda MMU, chitchat na cereblity forum nawao hawana akili?
Mtoa mada wewe ndio unashida.
Anamaanisha wanawake hawana uchaguzi yeyote tuMtoa mada vibaya hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli bwana hebu abalansi stori 😂Anamaanisha wanawake hawana uchaguzi yeyote tu
Hii wewe umemaanisha sio mimi.Anamaanisha wanawake hawana uchaguzi yeyote tu
Hatukuuwi, tunakusimanga tu😅😂😂😂😂niueni bas
We jamaa umeona mbali sana, ndio ukweli wenyewe huu ingawa ni machungu sana1. Ukiona mwanamke mara kwa mara au 90% ya muda wake hapa JF yupo jukwaa la chitchat, jukwaa la mapenzi jukwaa la celebrite au jukwaa lingine linalofanana na hayo jua huyo ana akili ndogo achana nae.
😂😂😂😝 na mnanisimanga kweli aisee🙌Hatukuuwi, tunakusimanga tu😅
Bado hujasema😂😂😂😝 na mnanisimanga kweli aisee🙌
Watakwambia upuuzi unalipa wengi wanapenda upuuzi upuuzi tu2. Ukiona mwanamke walau asilimia 70 mpaka 90 ya muda wake hapa JF anautumia katika majukwaa kama biashara, intelijensia, international forum, ujenzi, technolojia, dini na majukwaa mengine ambayo yanahitaji utumie "akili" ili uchangie jua huyo ana akili na unaweza weka ndani maana hakuna mwanamke mwenye akili ndogo atasogelea haya majukwaa!
Yaan bado...😪😢Bado hujasema
Huo uzi una comment yangu..Hizi sifa , Wengi utawapata hapa | Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?
Ni lazima tuseme ukweli.We jamaa umeona mbali sana, ndio ukweli wenyewe huu ingawa ni machungu sana
Yuko sahihi alichoandika.
Ogopa sana mwanamke mpenda umbea na kuongelea mapenzi kila wakati
Huu utafiti wako ni feki Mkuu, kwanza humu hakuna Mwanamke ila kuna I'd zenye majina ya kike na avatar tu 😂😂😂Wahenga wanashauri oa mke mwenye akili, sasa akili ya mtu unaweza ipima kutokana na vitu mtu anafanya au anapenda kufanya.
Unaweza tumia JF kujua huyu mtu anapenda nini na baada ya hapo ndio utajua huyu mwanamke ana akili au ni wale wanaotumia makalio badala ya akili kuishi hapa duniani!
Sasa fwata huu mwongozo kumjua mwanamke mwenye akili.
1. Ukiona mwanamke mara kwa mara au 90% ya muda wake hapa JF yupo jukwaa la chitchat, jukwaa la mapenzi jukwaa la celebrite au jukwaa lingine linalofanana na hayo jua huyo ana akili ndogo achana nae.
2. Ukiona mwanamke walau asilimia 70 mpaka 90 ya muda wake hapa JF anautumia katika majukwaa kama biashara, intelijensia, international forum, ujenzi, technolojia, dini na majukwaa mengine ambayo yanahitaji utumie "akili" ili uchangie jua huyo ana akili na unaweza weka ndani maana hakuna mwanamke mwenye akili ndogo atasogelea haya majukwaa!
Yangu ni hayo, sasa kazi kwako usije sema hatujakwambia!
Upepo wa Pesa.
Sasa we ulitaka akakae kwenye majukwaa ya kilimo na mtu anaetafuta mke yuko huku kwenye mapenzi....hii formula ni mbovu kuliko unavyoona mkuu,mkewako mara nyingi anatoka maeneo ambayo mwili na macho yako huzuru mara kwa mara,wewe upo Tz unapataje mke toka kenya na hujawai tembea huko hata netwk ya huko huna?Wahenga wanashauri oa mke mwenye akili, sasa akili ya mtu unaweza ipima kutokana na vitu mtu anafanya au anapenda kufanya.
Unaweza tumia JF kujua huyu mtu anapenda nini na baada ya hapo ndio utajua huyu mwanamke ana akili au ni wale wanaotumia makalio badala ya akili kuishi hapa duniani!
Sasa fwata huu mwongozo kumjua mwanamke mwenye akili.
1. Ukiona mwanamke mara kwa mara au 90% ya muda wake hapa JF yupo jukwaa la chitchat, jukwaa la mapenzi jukwaa la celebrite au jukwaa lingine linalofanana na hayo jua huyo ana akili ndogo achana nae.
2. Ukiona mwanamke walau asilimia 70 mpaka 90 ya muda wake hapa JF anautumia katika majukwaa kama biashara, intelijensia, international forum, ujenzi, technolojia, dini na majukwaa mengine ambayo yanahitaji utumie "akili" ili uchangie jua huyo ana akili na unaweza weka ndani maana hakuna mwanamke mwenye akili ndogo atasogelea haya majukwaa!
Yangu ni hayo, sasa kazi kwako usije sema hatujakwambia!
Upepo wa Pesa.