Wazo la leo: Tumia JF kumjua mwanamke mwenye akili (mke bora)

Wazo la leo: Tumia JF kumjua mwanamke mwenye akili (mke bora)

Kwenye dini hapo uongo, kuna ile mikokole iko mingi huko, Topic sensitive za kutumia akili wao wanatumia hisia na mahaba ya imani zao za kijinga.

Kiufupi mtu mwenye akili huwezi kumuhusisha na topics za kidini

Kibaya zaid huu mtandao midangaji ni mingi sana, na ukitaka kuamini utawaona tu humu wakitukana na wengine kumlalamikia mtoa thread
 
Jamani msituchanganye
Mnataka tuweje
Sasa mnataka tukajazane huko kwenye majukwaa ya vitabu sijui technology halafu huku MMU mtabebishana na kina naniii

Wengine hayo matechnology sijui vitabu tunashinda nayo kila siku
Tukija huku tunataka kurefresh tu

Wengine kusoma vitabu sio hobby kabisa
Hebu mtupumzishe au mnataka jf mubaki wanaume tupu
 
Hata wakihamia huko watakua na la kuchangia hao wamezoea kujibebisha na '''basi sawa...sa itakuaje...jomooni...basi tyuuu[emoji23][emoji23] ''' Sa mtu wa hivyo hata ukimpeleka site akasimamie mafundi si wanampiga na yeye kakaa hapo hapo hajui hata mfuko mmoja wa cement fundi anatakiwa ajengee tofali ngapi i
Unaweza kuta anaeshinda huko MMU, akawa na ujuzi kuliko huyo anaeshinda jukwaa la ujenzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wahenga wanashauri oa mke mwenye akili, sasa akili ya mtu unaweza ipima kutokana na vitu mtu anafanya au anapenda kufanya.

Unaweza tumia JF kujua huyu mtu anapenda nini na baada ya hapo ndio utajua huyu mwanamke ana akili au ni wale wanaotumia makalio badala ya akili kuishi hapa duniani!

Sasa fwata huu mwongozo kumjua mwanamke mwenye akili.

1. Ukiona mwanamke mara kwa mara au 90% ya muda wake hapa JF yupo jukwaa la chitchat, jukwaa la mapenzi jukwaa la celebrite au jukwaa lingine linalofanana na hayo jua huyo ana akili ndogo achana nae.

2. Ukiona mwanamke walau asilimia 70 mpaka 90 ya muda wake hapa JF anautumia katika majukwaa kama biashara, intelijensia, international forum, ujenzi, technolojia, dini na majukwaa mengine ambayo yanahitaji utumie "akili" ili uchangie jua huyo ana akili na unaweza weka ndani maana hakuna mwanamke mwenye akili ndogo atasogelea haya majukwaa!

Yangu ni hayo, sasa kazi kwako usije sema hatujakwambia!

Upepo wa Pesa.

Yan wanaume wa jf sijui wanataka nn [emoji23][emoji23]
 
Mkuu wewe ulitumia hiyo mbinu na ulifanikiwa kupata mdada mwenye akili Anayeshinda jukwaa la vita? Vipi na wakaka tunaokua nao kwenye hayo majukwaa ya MMU nao ni hawafai kuoa ama?
Kushinda MMU haimanaanishi hamna akili ni katika kujifunza maisha mengine upande wa mahusiano na mapenzi sometimes kurefresh, maisha yana stress haya so where to refresh ? Ni jukwaa la chitchat na MMU bana ebu tuache
 
Back
Top Bottom