financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Au tuhamie jukwaa la vita sasa Israel na Palestine 😀 aah jukwaa halina hata vibe bana ni vita vita tu, tubaki zetu MMU tuburudike😀mno yaaani kwisha habari yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au tuhamie jukwaa la vita sasa Israel na Palestine 😀 aah jukwaa halina hata vibe bana ni vita vita tu, tubaki zetu MMU tuburudike😀mno yaaani kwisha habari yetu
vibe lipo MMU ni bandika banduaAu tuhamie jukwaa la vita sasa Israel na Palestine 😀 aah jukwaa halina hata vibe bana ni vita vita tu, tubaki zetu MMU tuburudike😀
😀vibe lipo MMU ni bandika bandua
We cheki wanachangia mada zipi then jiongezeKuna wadada kila mada wanachangia wanakua online asububi mpaka saa sita usiku. Hua nashindwa kuwaelewa aisee[emoji848][emoji848]
Jamani msituchanganye
Mnataka tuweje
Sasa mnataka tukajazane huko kwenye majukwaa ya vitabu sijui technology halafu huku MMU mtabebishana na kina naniii
Wengine hayo matechnology sijui vitabu tunashinda nayo kila siku
Tukija huku tunataka kurefresh tu
Wengine kusoma vitabu sio hobby kabisa
Hebu mtupumzishe au mnataka jf mubaki wanaume tupu
Tunataka ukweli usemwe.Yan wanaume wa jf sijui wanataka nn [emoji23][emoji23]
Mkuu wewe ulitumia hiyo mbinu na ulifanikiwa kupata mdada mwenye akili Anayeshinda jukwaa la vita? Vipi na wakaka tunaokua nao kwenye hayo majukwaa ya MMU nao ni hawafai kuoa ama?
Kushinda MMU haimanaanishi hamna akili ni katika kujifunza maisha mengine upande wa mahusiano na mapenzi sometimes kurefresh, maisha yana stress haya so where to refresh ? Ni jukwaa la chitchat na MMU bana ebu tuache
Pole sanaNani alikuambia tunataka ndoa za huku wewe unakip8 hadi watu wabadilishe mfumo wa maisha yao kwendraa
Hata wewe polePole sana
Mkuu hebu zoom hiyo avatar yakoSisi watu wa JF ni wa hovyo tu sio ME wala KE. Tafuteni huko twita repabliki na mitandao mingine. JF wote ni wehu tu.
Alisikika mtu mmoja.
Nitasimama hapa hadi ufungue mlango wako.Nimeshaufunga zamani, kaka mzuri yupo ndani tayari.
Ili iwejeMkuu hebu zoom hiyo avatar yako
Hata sijui nilipo me popote napojisikia kuchangia wazo nafanya hivyoPole sana bibie, je umeangukia kundi gani? La kwanza ua la pili?