Wazo la leo wakuu!!!

Wazo la leo wakuu!!!

1. Hata Pundamilia ana MISTARI ila hajawahi kuingia studio kurekodi nyimbo.
2. Hata uwe na dada baunsa kiasi gani hawezi kutembea kifua wazi.
3. Hata kama unampenda mpenzi wako kiasi gani, mtaishia kuoga pamoja lakini si kunya pamoja.

Aha ha ha haaaaaaa! Umetisha mkuu.
 
Mdudu wa masala umeniacha hoi mchaga haweZ tunga sentens kwa kutumia neno pesa hhahahahh hawajiamini na pesa walizonazo au? Hhahah kaazi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
1. Hata uwe MSAFI vipi huwezi kunawa mikono wakati wa KULA rushwa.
2. Hata uwe na haraka kiasi gani huwezi kwenda zanzibar kwa JAHAZI la mzee Yusuph.
3. KICHWA cha mb** na chenyewe ni kichwa ila hakina mawazo.
4. Siku utakayokufa ndani ya maji ndipo utakapojua kua MAJI SIYO UHAI.
5. Dobi hata apige PASI vipi hawezi kupata namba BARCELONA.
 
1. Hata uwe MSAFI vipi huwezi kunawa mikono wakati wa KULA rushwa.
2. Hata uwe na haraka kiasi gani huwezi kwenda zanzibar kwa JAHAZI la mzee Yusuph.
3. KICHWA cha mb** na chenyewe ni kichwa ila hakina mawazo.
4. Siku utakayokufa ndani ya maji ndipo utakapojua kua MAJI SIYO UHAI.
5. Dobi hata apige PASI vipi hawezi kupata namba BARCELONA.

haha umetisha!
 
Back
Top Bottom