Tanganyika jeki
JF-Expert Member
- Jun 12, 2011
- 243
- 87
Kama waona ubahili kula embe unalohisi limeanza kuoza, kula gizani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maprosoo uko juu sana hhhahahah
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hahahaha........ na hii je?
Hata uzame kwenye DIMBWI la mapenzi vipi, huwezi kuibuka na SAMAKI.
1. Hata Pundamilia ana MISTARI ila hajawahi kuingia studio kurekodi nyimbo.
2. Hata uwe na dada baunsa kiasi gani hawezi kutembea kifua wazi.
3. Hata kama unampenda mpenzi wako kiasi gani, mtaishia kuoga pamoja lakini si kunya pamoja.
Hata uwe na HARAKA vp huwezi kuomba lifti gari la TAKA!
Ugali hata uwe wa moto vipi huwezi kuwashia sigara!
1. Hata uwe MSAFI vipi huwezi kunawa mikono wakati wa KULA rushwa.
2. Hata uwe na haraka kiasi gani huwezi kwenda zanzibar kwa JAHAZI la mzee Yusuph.
3. KICHWA cha mb** na chenyewe ni kichwa ila hakina mawazo.
4. Siku utakayokufa ndani ya maji ndipo utakapojua kua MAJI SIYO UHAI.
5. Dobi hata apige PASI vipi hawezi kupata namba BARCELONA.