Wazo la leo wakuu!!!

Wazo la leo wakuu!!!

1. Vyombo vya habari navyo ni vyombo lakini havioshwi.
2. Cheti cha kupewa bure bila kufanya mitihani ni cheti cha ndoa,mitihani inakuja baadae!
3. Rape is not a crime,it's just a suprise sex
4. Nguo chakavu ndio dekio jipya.

mtihani wa cheti cha ndoa upo kitandani
 
1. HATA UWE NA DAMU TAMU KIASI GANI MBU HAWEZI KUJA NA VITAFUNIo
2. MTOTO ANAWEZA KUCHEZEA MATITI YA MAMA YAKE LAKINI PIGA UWA GARAGAZA,SI MAP*MB* YA BABA YAKE.
3. HATA UWE NA HESHIMA KIASI GANI HUWEZI KUPIGA HODI KWENYE MLANGO WA FRIJI.
 
WAZO LA LEO: Hata kama nyani ana akili kiasi gani,hawezi kurukia TAWI la benki.
 
Hata kama Nyerere ni babu yako lakini kamwe huwezi kuwa mjukuu wa Taifa.
 
Hata uwe na meno kama ngiri huwezi kutafuna maji.

hata chupi ichakae vipi kamwe huwezi kuifanya dekio
 
Godzoo umetisha namba moja wangu haha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hata uwe na huruma kiasi gan huwez kumsaidia mkeo kubeba mimba.
 
Back
Top Bottom