Wazo lenye mantiki: Kama mabeberu ni watu wema wamshinikize rais Samia kutengeneza katiba mpya

Wazo lenye mantiki: Kama mabeberu ni watu wema wamshinikize rais Samia kutengeneza katiba mpya

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Jambo ambalo mabeberu huwa wanapigia kelele kwa muda mrefu ni kushirikiana na mataifa yenye tawala zenye demokrasia.

Mkiwa kwao mabeberu tayari mmetoa ujumbe kuwa kumbe demokrasia yetu hapa nchini ina mapungufu makubwa. Kwa hiyo tunahitaji katiba mpya ili kuondoa hayo mapungufu.

Sasa kama kweli mabeberu ni watu wema andamaneni ili wamshinikize tupate katiba mpya.

Lakini sababu wao wapo tu kuona anatengeneza mazingira ya makampuni yao kuja kuinyonya Tanzania hawawezi kugusia hili suala.

Hayati JPM alijitenga mbali na mabeberu maana alijua ni watu wanafiki.
 
Katiba mpya ni shida yenu. Si shida yao.
Hawana time na matatizo yenu
 
Mabeberu Wana akili kwenye mambo ya msingi,ila penye maslahi yao wanavua akili zao
 
Mbona hukusema kipindi Cha kichaa wamshinikize!!
 
Back
Top Bottom