Vunjeni bungu twende field Kama hapo bungeni ccm mtapata viti 5 ,KWA nini kuandikia mate na wino upo, chadema ni Oxygen, daily watu wanaivuta, and it is in air free for inhalation any time you need, chezea CHADEMAChadema hii ni imara kama ya Dk Slaa? Pesa za kuendeshea chama mnazo?
Habari za Ccm zimeingia wapi?Vunjeni bungu twende field Kama hapo bungeni ccm mtapata viti 5 ,KWA nini kuandikia mate na wino upo, chadema ni Oxygen, daily watu wanaivuta, and it is in air free for inhalation any time you need, chezea CHADEMA
Mkuu si unasema chadema haina nguvu Kama ile dr slaa, nami nasema ili tukubali usemi wako vunja bunge twende field tuone ccm Kama watapata viti vitano maana ndo wajazana bungeni hukoHabari za Ccm zimeingia wapi?
Ukitaka uzima wa yanga acha wapimane na simba ,ukitaka kuona uzima wa chadema tuletee ccm tulidi fieldJibu swali Ccm inaingia vipi kwenye hii mada?
Pesa akabidhiwe nani?. Kumpa huyu mtu pesa ni sawa na kumpa fisi kondoo awalinde.Ni wakati sasa kwa Chadema kurudisha imani kwa wananchi ili iwe na nguvu kama ilivyokuwa wakati wa Dk Slaa.
Inaonekana wakati wa awamu ya tano walikuwa hawapambani na CCM bali na mtu mmoja ambae kwa sababu alikuwa na ushawishi mkubwa kisiasa aliwamaliza kabisa kisiasa. Huyo ni hayati JPM, sasa hayupo nafikiri Chadema wanao uwanja wa kurudisha nguvu zao.
Waweke hadharani akauti ya Chama na namba za M pesa, Tigo pesa ,Airtrl money ili tuwachangie. Pesa zote akabidhiwe mwekiti Mbowe azitunze maisha yasonge mbele.
Mataga, msitupangie namna ya kufanya shoghuli zetuNi wakati sasa kwa Chadema kurudisha imani kwa wananchi ili iwe na nguvu kama ilivyokuwa wakati wa Dk Slaa.
Inaonekana wakati wa awamu ya tano walikuwa hawapambani na CCM bali na mtu mmoja ambae kwa sababu alikuwa na ushawishi mkubwa kisiasa aliwamaliza kabisa kisiasa. Huyo ni hayati JPM, sasa hayupo nafikiri Chadema wanao uwanja wa kurudisha nguvu zao.
Waweke hadharani akauti ya Chama na namba za M pesa, Tigo pesa ,Airtrl money ili tuwachangie. Pesa zote akabidhiwe mwekiti Mbowe azitunze maisha yasonge mbele.
Hebu tuambieni ile deficit ya 1.5 trillion aliyowaumbua nayo Assad mlipeleka wapi?Watupe taarifa ya matumizi ya mabilioni ya kodi zetu kwanza. Bila taarifa ya fedha kwanza hachangi mtu!
Wewe ni taga la hovyo dunianiJibu swali Ccm inaingia vipi kwenye hii mada?
CCM CHAMA CHA MAZEZETAHuna akili timamu.
Wangekuwa imara na wana hela wangesusia Uchaguzi Mdogo wa Muhambwe? Huyo dogo anajidanganya.Chadema hii ni imara kama ya Dk Slaa? Pesa za kuendeshea chama mnazo?