CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Hivi nyie wasukuma mbona mnadhalilisha wasukuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni sikio la kufa.Tunawapa mawazo waweze kupata pesa za kuendesha chama, wanaleta ubishi.
Huu Uzi ulioanzisha ni udhalilishaji tosha.Udhalilishaji unatoka wapi?
Chadema wangekuwa vizuri wangekimbia uchaguzi wa MahambweVunjeni bungu twende field Kama hapo bungeni ccm mtapata viti 5 ,KWA nini kuandikia mate na wino upo, chadema ni Oxygen, daily watu wanaivuta, and it is in air free for inhalation any time you need, chezea CHADEMA
Mwaka 2020 ccm haikushindaChadema hii ni imara kama ya Dk Slaa? Pesa za kuendeshea chama mnazo?
Alisikika mjumbe mmoja wa ccm kwenye kura za maoni moshi,akitaka funika mlima kilimanjaro, na kuwaomba wajumbe wacheke ,hahahahaha Sasa, nami ngoja nikucheke hahaha.....................Chadema wangekuwa vizuri wangekimbia uchaguzi wa Mahambwe
Kwa hiyo wewe unataka tuchange tu bila kujua pesa inatumikaje?Hebu tuambieni ile deficit ya 1.5 trillion aliyowaumbua nayo Assad mlipeleka wapi?
CDM inahitajika mno sasa kama ilivyo kuwa hapo kabla.Ni wakati sasa kwa Chadema kurudisha imani kwa wananchi ili iwe na nguvu kama ilivyokuwa wakati wa Dk Slaa.
Inaonekana wakati wa awamu ya tano walikuwa hawapambani na CCM bali na mtu mmoja ambae kwa sababu alikuwa na ushawishi mkubwa kisiasa aliwamaliza kabisa kisiasa. Huyo ni hayati JPM, sasa hayupo nafikiri Chadema wanao uwanja wa kurudisha nguvu zao.
Waweke hadharani akauti ya Chama na namba za M pesa, Tigo pesa ,Airtrl money ili tuwachangie. Pesa zote akabidhiwe mwekiti Mbowe azitunze maisha yasonge mbele.
Wataaminishwa na Viongozi waoWachangiaji wataamini vipi kama michango yao itafanya kilicholengwa?