Mcheza Piano
JF-Expert Member
- Mar 2, 2024
- 562
- 1,339
Bangi ni zao lenye thamani kubwa kutokana na faida zake lukuki ukilinganisha na mimea mingine. Watu wengi wamekaririshwa upande wapili tu wa zao hili (madhara ya matumizi haramu ya bangi)
Naomba tuelewane kuwa hata petrol ni bidhaa muhimu sana katika uchumi wetu lakini wapo watu ambao huitumia kama madawa ya kulevya na imewaharibu, swali; je, tuache kutumia petroli kwasababu hiyo?
Turudi kwenye bangi, kwanza bangi ni mboga tamu mno na yenye manufaa mengi mwilini (ukiitumia kama mboga tafadhali kula siku hiyo hiyo uliyopika vinginevyo utakuja kuniambia).
Pili ni zao linalotumiwa na viwanda vya dawa za binadamu kutengeneza dawa mbalimbali kwaajili ya tiba ya mwanadamu... Swali je, hivyo viwanda vinatumia bangi toka wapi? Jibu, nchi zenye watu wenye akili kama Jamaica zinalima na kuwauzia.
Tatu mbegu za bangi hutengeneza bidhaa mbalimbali kama vile biskuti na bidhaa hizi hutumika sehemu nyingi tu duniani.
Kwakifupi faida za bangi ni nyingi ukilinganisha na madhara yake endapo itatumika vibaya.
Pendekezo: Wale vijana waliopelekwa Dodoma kufanya shughuli za kilimo wasimamiwe walime bangi kwa majaribio kisha tuone pato litakalo patikana, endapo fedha nyingi zitapatikana basi kila mtanzania alazimishwe kulima ekari 1 ya bangi.
Baada ya mwaka 1 mtaandaa hafla ya kitaifa ya kunishukuru japo mimi sitaki.
==========
Majarida makubwa yanasemaje?
1. Business Inside: All The Reasons Pot Is Good For You
2. Forbes: Health Benefits Of Cannabis, According To Experts
Naomba tuelewane kuwa hata petrol ni bidhaa muhimu sana katika uchumi wetu lakini wapo watu ambao huitumia kama madawa ya kulevya na imewaharibu, swali; je, tuache kutumia petroli kwasababu hiyo?
Turudi kwenye bangi, kwanza bangi ni mboga tamu mno na yenye manufaa mengi mwilini (ukiitumia kama mboga tafadhali kula siku hiyo hiyo uliyopika vinginevyo utakuja kuniambia).
Pili ni zao linalotumiwa na viwanda vya dawa za binadamu kutengeneza dawa mbalimbali kwaajili ya tiba ya mwanadamu... Swali je, hivyo viwanda vinatumia bangi toka wapi? Jibu, nchi zenye watu wenye akili kama Jamaica zinalima na kuwauzia.
Tatu mbegu za bangi hutengeneza bidhaa mbalimbali kama vile biskuti na bidhaa hizi hutumika sehemu nyingi tu duniani.
Kwakifupi faida za bangi ni nyingi ukilinganisha na madhara yake endapo itatumika vibaya.
Pendekezo: Wale vijana waliopelekwa Dodoma kufanya shughuli za kilimo wasimamiwe walime bangi kwa majaribio kisha tuone pato litakalo patikana, endapo fedha nyingi zitapatikana basi kila mtanzania alazimishwe kulima ekari 1 ya bangi.
Baada ya mwaka 1 mtaandaa hafla ya kitaifa ya kunishukuru japo mimi sitaki.
==========
Majarida makubwa yanasemaje?
1. Business Inside: All The Reasons Pot Is Good For You
2. Forbes: Health Benefits Of Cannabis, According To Experts