Wazo: Tanzania Ishirikiane na Cuba kwenye Suala la Chanjo

Wazo: Tanzania Ishirikiane na Cuba kwenye Suala la Chanjo

Hivi, Mkuu, kwa nini unaona raha sana kusema uongo mbele ya jamii? Sasa teknolojia inakuumbua. Baki na aibu yako kwa sasa baada ya kumaliza kutazama clip hii hapa chini.
===

Magufuli aliwahi kuvaa barakoa? kwenye vikao vyake ikulu aliwahi kuruhusu watu kuvaa barakoa? hakuwahi kumzuia spika Ndugai asivae barakoa kisa Mungu ameondoa corona?

 
Magufuli aliwahi kuvaa barakoa? kwenye vikao vyake ikulu aliwahi kuruhusu watu kuvaa barakoa? hakuwahi kumzuia spika Ndugai asivae barakoa kisa Mungu ameondoa corona?


Kwa hiyo unachagua yale tu unayotaka kusikia kutoka kwake. Mkuu, chutama watoto wapite! Nakutakia siku njema.
 
Kwa hiyo unachagua yale tu unayotaka kusikia kutoka kwake. Mkuu, chutama watoto wapite! Nakutakia siku njema.
hamna video yoyote ambayo Magufuli amehimiza watu kuvaa barakoa, wala kuchanja, bali msimamo wake ni maombi yaliondoa covid tanzania.
hiyo video uliyoweka hapo lengo lake ilikuwa ni ku discourage watu kuvaa barakoa kwa kuwaambia kuwa zimetiwa infection
 
video uliyoweka hapo lengo lake ilikuwa ni ku discourage watu kuvaa barakoa
Yaani anasema mvae barakoa zinazotengenezwa na wizara ya afya, ikishindikana mvae za kutengeneza na vitenge, kama aliyokuwa amevaa Mama wakati anasema maneno hayo. Lakini, bado unasema Hayati Dr Magufuli alikuwa ana discourage watu wasivae barakoa.

Mimi nadhani uwe wazi kuwa alikuwa anadiscourage barakao zenu mulizoziingiza nchini kibiashara huku hamjui zina madhara gani, na sasa aliwatia hasara kwa kuzuia wananchi kuzitumia. Hivi mwanzoni nilikutakia siku njema ama mchana mwema? Okay, nakutakia Siku njema kwa mara nyingine.
 

Mojawapo ya mijadala mikubwa si kwa Tanzania tu bali hata nchi nyingine ni suala hili la chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Nchi mbalimbali zimejaribu na zile tajiri zimefanikiwa kwa haraka kujitengenezea chanjo zao na kujinufaisha wao wenyewe kwanza kabla ya wengine. Cuba ni miongoni mwa nchi zinazojitegemea kwa kiasi kikubwa sana linapokuja suala la afya na utaalamu wa tiba.

Kujitegemea huku kumeifanya Cuba kuwa miongoni mwa taifa yaliyofanikiwa sana linapokuja suala la tiba na afya. Kwenye suala la corona Cuba iliamua kutumia uwezo wake wa ndani wa kupambana na gonjwa hili na hili limekuwa kweli pia katika chanjo.

Nimefuatilia toka mwanzo walipoanza kutanganza kuwa wanatengeneza chanjo yao wenyewe Soberana 2. Serikali yao imetangaza jana kuwa tayari chanzo yao inaenda kufanyiwa majaribio ili kupima usalama wake na uwezo wake (safety and efficacy) katika kupambana na virusi vya corona. Wamesema wanaenda kujaribu kati ya watu wenye umri wa miaka 2-18. Ikumbukwe hii chanjo ni kwa ajili ya vijana na watoto. Kwa watu wazima Cuba inatumia chanjo iitwayo Abdala ambayo inaonesha mafanikio ya karibu asilimia 92 (inakaribiana na zile za Pfizer, Moderna na Astrazeneca na hata Sputnik ya Warusi.

Kutokana na ushirikiano wetu na udugu wa kihistoria kati ya Tanzania na Cuba; serikali ione jinsi gani inaweza kuzungumza na Cuba kuruhusu majaribio ya chanjo yao na endapo inafanya kazi ipasavyo kutumia njia hiyo badala ya kutumia njia ya COVAX na mitego mingine ambayo inaacha maswali kama ni suala la afya au ni mtaji fulani.

Kama tuna lengo la kuwalinda Watanzania tuone namna ya rahisi na salama zaidi kwa kushirikiana na Cuba. Na nina uhakika Cuba hawatochukua muda mrefu kushirikiana naasi hata kuzalisha chanjo hiyo hapa hapa nyumbani na kuwa namna ya kusaidia chanjo kwa bara letu badala ya kuwasubiri wakubwa watuamulie.

Ni wazo tu. Hakuna kujitegemea kwa maana zaidi kama kule kwa mawazo. Vinginevyo, wakubwa hawa watatubana na hatutajua nini... si tuna msemo "rafiki wakati wa shida..." Ninajua kuna masuala ya vikwazo vya kiuchumi ambavyo vimewekwa na wakubwa uhusiana na Cuba... tuna uthubutu wa kushirikiana nao licha ya vikwazo?

Habari zaidi:

Nimesikia Waziri Mkuu ameagiza hili..asanteni
 

Mojawapo ya mijadala mikubwa si kwa Tanzania tu bali hata nchi nyingine ni suala hili la chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Nchi mbalimbali zimejaribu na zile tajiri zimefanikiwa kwa haraka kujitengenezea chanjo zao na kujinufaisha wao wenyewe kwanza kabla ya wengine. Cuba ni miongoni mwa nchi zinazojitegemea kwa kiasi kikubwa sana linapokuja suala la afya na utaalamu wa tiba.

Kujitegemea huku kumeifanya Cuba kuwa miongoni mwa taifa yaliyofanikiwa sana linapokuja suala la tiba na afya. Kwenye suala la corona Cuba iliamua kutumia uwezo wake wa ndani wa kupambana na gonjwa hili na hili limekuwa kweli pia katika chanjo.

Nimefuatilia toka mwanzo walipoanza kutanganza kuwa wanatengeneza chanjo yao wenyewe Soberana 2. Serikali yao imetangaza jana kuwa tayari chanzo yao inaenda kufanyiwa majaribio ili kupima usalama wake na uwezo wake (safety and efficacy) katika kupambana na virusi vya corona. Wamesema wanaenda kujaribu kati ya watu wenye umri wa miaka 2-18. Ikumbukwe hii chanjo ni kwa ajili ya vijana na watoto. Kwa watu wazima Cuba inatumia chanjo iitwayo Abdala ambayo inaonesha mafanikio ya karibu asilimia 92 (inakaribiana na zile za Pfizer, Moderna na Astrazeneca na hata Sputnik ya Warusi.

Kutokana na ushirikiano wetu na udugu wa kihistoria kati ya Tanzania na Cuba; serikali ione jinsi gani inaweza kuzungumza na Cuba kuruhusu majaribio ya chanjo yao na endapo inafanya kazi ipasavyo kutumia njia hiyo badala ya kutumia njia ya COVAX na mitego mingine ambayo inaacha maswali kama ni suala la afya au ni mtaji fulani.

Kama tuna lengo la kuwalinda Watanzania tuone namna ya rahisi na salama zaidi kwa kushirikiana na Cuba. Na nina uhakika Cuba hawatochukua muda mrefu kushirikiana naasi hata kuzalisha chanjo hiyo hapa hapa nyumbani na kuwa namna ya kusaidia chanjo kwa bara letu badala ya kuwasubiri wakubwa watuamulie.

Ni wazo tu. Hakuna kujitegemea kwa maana zaidi kama kule kwa mawazo. Vinginevyo, wakubwa hawa watatubana na hatutajua nini... si tuna msemo "rafiki wakati wa shida..." Ninajua kuna masuala ya vikwazo vya kiuchumi ambavyo vimewekwa na wakubwa uhusiana na Cuba... tuna uthubutu wa kushirikiana nao licha ya vikwazo?

Habari zaidi:

Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Yaani kukaa kote US bado upo na ukomunist? Something good coming out of Cuba!!!!!!!!!!!!!! Hii Mindset kweli imetuganda ubongoni
 
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Yaani kukaa kote US bado upo na ukomunist? Something good coming out of Cuba!!!!!!!!!!!!!! Hii Mindset kweli imetuganda ubongoni
Castro aliwahi kumwambia Pope John Paul ii kuwa if Jesus came today, he would land in Cuba. Socialism is irreplaceable.
 
Back
Top Bottom