"Wazo zuri, ila kampuni haina budget"

"Wazo zuri, ila kampuni haina budget"

Bata Boy Official

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
259
Reaction score
309
Habari wakuu?

Ninapopeleka proposal kwenye makampuni mbalimbali nimekua nikipata mrejesho wa namna hii mara nyingi kuwa, "Wazo ni zuri, lakini hatuna bajeti"

Kwa upande mmoja naamini kweli huenda hakuna bajeti, lakini kwa upande mwingine naona kama vile ni namna waliyoamua kutumia watu wa makampuni mbalimbali kumkataa mtu, au pia huenda ni namna ya fitina inayofanywa na watu wanaokua kwenye kitengo ulichopeleka project yako kwamba endapo wazo lako kwa namna lilivyo zuri/bora huenda kampuni ikakuangalia kwa jicho la karibu halii ambayo huenda ikapelekea baadhi ya wenye vitengo kwenye kampuni kuwa mashakani....au sababu nini??
Yani mtu yupo radhi kampuni isikue ilimradi tu asitumie wazo lako.

Mawazo mazuri yanaozea kwenye makaratasi, Kampuni hazikui inavyotakiwa, sababu tu ya watu baadhi....Wakuu naomba tushirikishane tatizo hasa ni nini? Na mbinu zipi za kuepuka hili tatizo.
 
Tafuta mtaji uifanye ndoto yako iwe kweli. Vinginevyo makampuni mengi yanafocus na primary objective yao na plan ya miaka 3, 5, 10 nk
Hata mimi natamani kufanya kazi yangu mwenyewe mkuu, hapo kwenye mtaji ndo kuna shida
 
Habari wakuu?

Ninapopeleka proposal kwenye makampuni mbalimbali nimekua nikipata mrejesho wa namna hii mara nyingi kuwa, "Wazo ni zuri, lakini hatuna bajeti"

Kwa upande mmoja naamini kweli huenda hakuna bajeti, lakini kwa upande mwingine naona kama vile ni namna waliyoamua kutumia watu wa makampuni mbalimbali kumkataa mtu, au pia huenda ni namna ya fitina inayofanywa na watu wanaokua kwenye kitengo ulichopeleka project yako kwamba endapo wazo lako kwa namna lilivyo zuri/bora huenda kampuni ikakuangalia kwa jicho la karibu halii ambayo huenda ikapelekea baadhi ya wenye vitengo kwenye kampuni kuwa mashakani....au sababu nini??
Yani mtu yupo radhi kampuni isikue ilimradi tu asitumie wazo lako.

Mawazo mazuri yanaozea kwenye makaratasi, Kampuni hazikui inavyotakiwa, sababu tu ya watu baadhi....Wakuu naomba tushirikishane tatizo hasa ni nini? Na mbinu zipi za kuepuka hili tatizo.
Mkuu,Kama wazo lako ni zuri haliwezi kukosa bajeti.Lakini si lazima wewe ushiriki katika kulitekeleza.Kwa ufupi ni kwamba Unapopeleka Proposal ukaambiwa hamna bajeti basi tatizo sio wao tatizo ni wewe.A Good proposal always comes with resources.

Kama huamni nicheck PM with any idea ambayo imewahi kukataliwa kwa sababu ya kukosa bajeti na nitakuonyesha kwamba haikuwa idea bora.GOOD IDEAS will always have resources.
 
Hata mimi natamani kufanya kazi yangu mwenyewe mkuu, hapo kwenye mtaji ndo kuna shida
Mkuu Mtaji ni nini?Kwa nini mtaji uwe shida,Binafsi nimeshafanya biashara za aina nyingi sana na ktu kimoja ambacho nina uhakika nacho hata usingizini ni kwamba Mtaji hauwezi kuwa tatizo.NEVER.Tatizo nililokutana nalo ambalo ni kubwa ni LACK of DISCIPLINE OF EXECUTION and LACK OF STRATEGY
 
Moja kati ya kazi ambayo nimeifanya kwa muda mrefu ni ya kuuza idea.I will tell you one thing.Mara zote nilipofikiri kwamba nimepata brilliant idea nilipoiweka mezani ijadiliwe ilikuwa na matobo mengi sana.Nikajifunza.

Ukimpa mtu idea akakwambia THAT is a GOOD idea basi ujue uko na IDEA mbaya sana.Ukiwa na GOOD idea people jump to it and take action to implement it because wanajua any one atakeykutana nayo will take it and reap the benefits.Keep searching and you will get some one who will support you.
 
Habari wakuu?

Ninapopeleka proposal kwenye makampuni mbalimbali nimekua nikipata mrejesho wa namna hii mara nyingi kuwa, "Wazo ni zuri, lakini hatuna bajeti"

Kwa upande mmoja naamini kweli huenda hakuna bajeti, lakini kwa upande mwingine naona kama vile ni namna waliyoamua kutumia watu wa makampuni mbalimbali kumkataa mtu, au pia huenda ni namna ya fitina inayofanywa na watu wanaokua kwenye kitengo ulichopeleka project yako kwamba endapo wazo lako kwa namna lilivyo zuri/bora huenda kampuni ikakuangalia kwa jicho la karibu halii ambayo huenda ikapelekea baadhi ya wenye vitengo kwenye kampuni kuwa mashakani....au sababu nini??
Yani mtu yupo radhi kampuni isikue ilimradi tu asitumie wazo lako.

Mawazo mazuri yanaozea kwenye makaratasi, Kampuni hazikui inavyotakiwa, sababu tu ya watu baadhi....Wakuu naomba tushirikishane tatizo hasa ni nini? Na mbinu zipi za kuepuka hili tatizo.
Poposal yako ni ya kibiashara au ni zile za 'Non profit'?
 
Mkuu,Kama wazo lako ni zuri haliwezi kukosa bajeti.Lakini si lazima wewe ushiriki katika kulitekeleza.Kwa ufupi ni kwamba Unapopeleka Proposal ukaambiwa hamna bajeti basi tatizo sio wao tatizo ni wewe.A Good proposal always comes with resources.Kama huamni nicheck PM with any idea ambayo imewahi kukataliwa kwa sababu ya kukosa bajeti na nitakuonyesha kwamba haikuwa idea bora.GOOD IDEAS will always have resources.
Somehow I doubt that mkuu, kuna dogo namfahamu siwezi kumtaja aliwahi kupeleka proposal kwenye moja ya mitandao ya simu akaambiwa kama nilivo ambiwa mimi kuwa "Wazo zuri lakini hakuna bajeti" ila baada ya muda ule mtandao ukaibuka na ile idea lakini wakiwa wameitwist kidogo na kubadili jina.
 
Mkuu Mtaji ni nini?Kwa nini mtaji uwe shida,Binafsi nimeshafanya biashara za aina nyingi sana na ktu kimoja ambacho nina uhakika nacho hata usingizini ni kwamba Mtaji hauwezi kuwa tatizo.NEVER.Tatizo nililokutana nalo ambalo ni kubwa ni LACK of DISCIPLINE OF EXECUTION and LACK OF STRATEGY
Basi niseme ukosefu wa pesa ya kutekeleza strategy
 
Nahitaji partner wa biashara ya nataka na unga, zaidi nahitaji mtu wa mauzo, PM
Japo sio sehemu sahihi uliyotumia kuuliza swali, ila kwa faida ya watu watakao pita kwenye huu uzi, una duka/store na unataka mtu wa kukaa dukani au unataka mtu wa kutafuta soko la nafaka na unga wako?
 
Somehow I doubt that mkuu, kuna dogo namfahamu siwezi kumtaja aliwahi kupeleka proposal kwenye moja ya mitandao ya simu akaambiwa kama nilivo ambiwa mimi kuwa "Wazo zuri lakini hakuna bajeti" ila baada ya muda ule mtandao ukaibuka na ile idea lakini wakiwa wameitwist kidogo na kubadili jina.
So unakubaliana na mim kwamba GOOD IDEA haiwezi kukosa PESA ila inaweza kufanyika bila wewe kushiriki.So unapopeleka IDEA sehemu jiandae juu ya namna utahakikisha kwamba IDEA yako ikitumika unakuwa na NGUVU ya Kuwashtaki.na kudai wakulipe.
 
So unakubaliana na mim kwamba GOOD IDEA haiwezi kukosa PESA ila inaweza kufanyika bila wewe kushiriki.So unapopeleka IDEA sehemu jiandae juu ya namna utahakikisha kwamba IDEA yako ikitumika unakuwa na NGUVU ya Kuwashtaki.na kudai wakulipe.
Kwahiyo nawewe unakubaliana na mimi kuwa wanaposema hakuna bajeti inakuwa sio kweli bali ni jibu lenye mambo meusi nyuma yake
 
Back
Top Bottom