"Wazo zuri, ila kampuni haina budget"

"Wazo zuri, ila kampuni haina budget"

Mkuu usinilaumu mimi. Mimi nimekuhabarisha tu uhalisia na hulka za wabongo. Ukiwa na idea nzuri anakukatisha tamaa au kujidai kukusifia kinafki ila kiujumla huwa hapendi ufanikiwe.
Nmekuelewa mkuu ila inaumiza sana na kuua ubunifu, halafu mwisho wa siku hao hao ndo wanaenda kwenye media na kusema vijana wa kitanzania acheni kukaa tu, mjiajiri ,akati mifumo yetu ya kujiajiri wanaiua wao wenyewe.
 
Back
Top Bottom