Wazoefu: Nini nifanye ili niweze kupata mkopo benki kwa dhamana ya nyumba/kiwanja?

Wazoefu: Nini nifanye ili niweze kupata mkopo benki kwa dhamana ya nyumba/kiwanja?

Miss Natafutwa

Senior Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
190
Reaction score
593
Habari. Ni utaratibu upi hufuatwa ili mtu aweze kupata mkopo wa fedha benki kwa kutumia nyumba au kiwanja kama dhamana?

Risk zake zipoje.
Faida na hasara zake je, na kama kuna watu/kikundi/taasisi/mtu aliyefanikiwa kupata pesa ya mkopo benki kwa njia ya dhamana ya nyumba/kiwanja alifanyaje?
 
Unahitaji biashara/ kazi yenye kipato itakayo onesha unaweza rejesha mkopo huo, ukiambatanisha na details kama ulipaji wako wa kodi, kama una mauzo kwa mfumo watakuja kureview etc
 
Habari. Ni utaratibu upi hufuatwa ili mtu aweze kupata mkopo wa fedha benki kwa kutumia nyumba au kiwanja kama dhamana?

Risk zake zipoje.
Faida na hasara zake je, na kama kuna watu/kikundi/taasisi/mtu aliyefanikiwa kupata pesa ya mkopo benki kwa njia ya dhamana ya nyumba/kiwanja alifanyaje?
Uwe na biashara yenye umri usiopungua miezi sita
Uwe na leseni ya biashara
Uwe na nyaraka halisi za nyumba
 
Tanzania hatuna biashara za kuaminika kiasi cha kuweka nyumba yako collateral bank.

Biashara itakufa na nyumba itauzwa.
Kuna jirani yangu alichukua mkopo bank, akaweka nyumba collateral.
Biashara zake;
1. Duka la jumla
2. Duka la rejareja
3. Kukopesha
4. Financial services eg. Mpesa, tigo pesa, nmb, crdb nk.

Jamaa alisitawi sana.
Ghafla mambo yakaharibika, ntumba kali iliuzwa na bank kwa 18m tu.

Jirani wa pili, nyumba ilichorwa na madalali kuwa inauzwa na itapigwa mnada, yeye aliona huu ni ujinga akajifia kwa presha, jspo nyimba yake hsikuuzwa familia iliingilia kati kulipa madeni.
 
Habari. Ni utaratibu upi hufuatwa ili mtu aweze kupata mkopo wa fedha benki kwa kutumia nyumba au kiwanja kama dhamana?

Risk zake zipoje.
Faida na hasara zake je, na kama kuna watu/kikundi/taasisi/mtu aliyefanikiwa kupata pesa ya mkopo benki kwa njia ya dhamana ya nyumba/kiwanja alifanyaje?
Mkopo ni kwa ajili ya kukuza biashara au kuanzisha biashara?
Kama kuanzisha biashara tafuta namba ya kukopa bila kuweka nyumba dhamana.

Kama kukuza biashara vigezo ni
BIASHARA (6 months+)
BUSINESS LICENCE
HATIMILIKI YA NYUMBA
 
Unahitaji biashara/ kazi yenye kipato itakayo onesha unaweza rejesha mkopo huo, ukiambatanisha na details kama ulipaji wako wa kodi, kama una mauzo kwa mfumo watakuja kureview etc
Na kama sina kazi?
 
Mkopo ni kwa ajili ya kukuza biashara au kuanzisha biashara?
Kama kuanzisha biashara tafuta namba ya kukopa bila kuweka nyumba dhamana.

Kama kukuza biashara vigezo ni
BIASHARA (6 months+)
BUSINESS LICENCE
HATIMILIKI YA NYUMBA
Hapa nina nyaraka tu.

Sina biashara yangu ila nimeajiriwa kwa mtu.

Na sina leseni ya biashara
 
Sawa mkuu Mshana Jr kwa ushauri wako.
Na je nikijaribu kwa hizi kampuni za mikopo labda Letshegho au zingine ambazo si benki naweza kufanikiwa?

Na kama hutajali, naomba nishauri kitu cha kufanya ili niweze fanikisha lengo langu
Huko kwingine hapana ni majambazi..yatakufilisi tumia njia ya kuomba mkopo wa kuboresha makazi hapo unaweza kutoboa
 
Back
Top Bottom