Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Yeah ni riba yake ni ndogo na marejesho ni ya muda mrefu.. Wajaribu ACB wako njemaKwahiyo kupata mkopo wa kuboresha nyumba ni rahisi na haufuati vigezo hivo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ni riba yake ni ndogo na marejesho ni ya muda mrefu.. Wajaribu ACB wako njemaKwahiyo kupata mkopo wa kuboresha nyumba ni rahisi na haufuati vigezo hivo?
Kama milioni 3 tu mkuuUnataka PESA KIASI gani?
KAZI ni kipimo cha utu
Sawa mkuu.Yeah ni riba yake ni ndogo na marejesho ni ya muda mrefu.. Wajaribu ACB wako njema
Mkuu iki kupendeza Kama kuna nyumba ziko vizuri, na zina uzwa kisa mambo hayo basi tuwe tuna juzana.Tanzania hatuna biashara za kuaminika kiasi cha kuweka nyumba yako collateral bank.
Biashara itakufa na nyumba itauzwa.
Kuna jirani yangu alichukua mkopo bank, akaweka nyumba collateral.
Biashara zake;
1. Duka la jumla
2. Duka la rejareja
3. Kukopesha
4. Financial services eg. Mpesa, tigo pesa, nmb, crdb nk.
Jamaa alisitawi sana.
Ghafla mambo yakaharibika, ntumba kali iliuzwa na bank kwa 18m tu.
Jirani wa pili, nyumba ilichorwa na madalali kuwa inauzwa na itapigwa mnada, yeye aliona huu ni ujinga akajifia kwa presha, jspo nyimba yake hsikuuzwa familia iliingilia kati kulipa madeni.
Kuna moja iko hapa Morogoro Kihonda benki ya NMB inaiuza kwa 18M.Mkuu iki kupendeza Kama kuna nyumba ziko vizuri, na zina uzwa kisa mambo hayo basi tuwe tuna juzana.