Mr mgeni
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 1,222
- 805
Ni mchumba bado sijamuoa sasa basi, kuna sherehe tumealikwa inabidi niende naye sasa ananilazimisha nivae sare na yeye. anishonea shati la kitenge
Sasa wadau hii ishu siielewi nimekataa kanuna mbaya?
Wazoefu wa kupigilia sare za vitenge nipeni uzoefu kwa mke nahisi ni sahihi lakini kwa mchumba kwangu bado ni utata.
Sasa wadau hii ishu siielewi nimekataa kanuna mbaya?
Wazoefu wa kupigilia sare za vitenge nipeni uzoefu kwa mke nahisi ni sahihi lakini kwa mchumba kwangu bado ni utata.