Mr mgeni
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 1,222
- 805
- Thread starter
- #21
Ndio hivyo mkuu ,tumejifunzaNilikuwa sijui haya Mambo ya dare ya vitenge Yana maana gani. Mchepuko wangu ulikomaa kinoma tushone Sare Sare, ila Mimi sio muumini wa hizi swaga. So, nikakataa. Kumbe ningeshona Tu, ingekula kwangu Kwa mother house. Shati la kitenge Kwa mwanaume kumbe halivaliwi hovyohovyo.