Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ukinipata jiandae kuvaa sare za vitenge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wakati Kama huo ndio tunawakumbuka wale panya wanaokula nguo..[emoji23]
Unatamani atokee aitafune kwenye mgongo au kwenye kola au kwenye mabega! Na sahivi watokee wapi wakati ulishawauwa..[emoji28]
Mkuu kama unatumeno twa panya ifanye hiyo kazi mwenyewe.. tatua tatizo .