Wazoefu nipeni ushauri. Shati la kitenge limeleta utata huku

Ndio hivyo mkuu ,tumejifunza
 
Usivae kama huyo siyo chaguo lako, kuvaa share ina kubwa kwenye mahusiano, haivalini tu ili mradi mpendeze bali unaijulisha jamii inayowazunguka kwamba nyinyi mapenzi yenu ni kitu kimoja
 
Hakuna kitu nisichokipenda kama kuvaa na mpenz wangu shati la kitenge
 
Kubaliana yaishe, vaa tu hakuna tatizo kawaida ya mapenzi kuridhishana nawe mridhishe, wapuuze kwa muda wanaosema unabuluzwa🤣🤣🤣🤣 kwani ukibuluzwa siku moja Kuna shida😂😂😂😂..palilia penzi mkuu.
Jamaa anawaza atawezaje kuomba namba za simu za visu vikali kwenye sherehe 🤣🤣🤣
 
Sasa wakati Kama huo ndio tunawakumbuka wale panya wanaokula nguo..😂
Unatamani atokee aitafune kwenye mgongo au kwenye kola au kwenye mabega! Na sahivi watokee wapi wakati ulishawauwa..😅

Mkuu kama unatumeno twa panya ifanye hiyo kazi mwenyewe.. tatua tatizo .
 
Mkuu umeamua kuja kunisema [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siipendi hii minguo ya vitenge
 
Mi binafsi sipendi nguo yoyote ya kitenge kwa mwanaume nacsitakaa Nivae kitenge ila kama anataka sare mnaweza mkapiga took flani mkali tu ila mka match color either ya shat or suruale . Mwanaume sio kuendeshwa mwanaume ni kuwa na msimamo ila msimamo wenye suluhu . Toa alternative ya kitenge
 
Vaa tu
Tena mtapendeza mno,ndio fasheni mpya siku hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…