Ndio hivyo mkuu ,tumejifunzaNilikuwa sijui haya Mambo ya dare ya vitenge Yana maana gani. Mchepuko wangu ulikomaa kinoma tushone Sare Sare, ila Mimi sio muumini wa hizi swaga. So, nikakataa. Kumbe ningeshona Tu, ingekula kwangu Kwa mother house. Shati la kitenge Kwa mwanaume kumbe halivaliwi hovyohovyo.
Haha aisee sitovaa hiyo kitu kamweKuna kauli nilisikia mahala" ukiona wapenz wamevaa sare iliyoshonwa kwa vitenge,kaa ukijua hapo mwanaume anaburuzwa!!".
Jamaa anawaza atawezaje kuomba namba za simu za visu vikali kwenye sherehe 🤣🤣🤣Kubaliana yaishe, vaa tu hakuna tatizo kawaida ya mapenzi kuridhishana nawe mridhishe, wapuuze kwa muda wanaosema unabuluzwa🤣🤣🤣🤣 kwani ukibuluzwa siku moja Kuna shida😂😂😂😂..palilia penzi mkuu.
Atulie tu Hana ujanja😂😂Jamaa anawaza atawezaje kuomba namba za simu za visu vikali kwenye sherehe 🤣🤣🤣
Mkuu umeamua kuja kunisema [emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha mbali mkuu, kuna jamaa mmoja (classmate) wangu tumepiga nae chuo, alikuwa na manzi wake yan alikuwa akija kwa msela (kutoka mkoani) anakuja ameshona sare za vitenge na bwana ake, asiee huyo jamaa alikuwa hahemi kwa dem wake, boom likiingia lote dem ndo anamiliki ATM card, jamaa alitoka chuo weupe hana hata mia.na walishaachana mpaka.sasa.
We jamaa visendo vya manyoya tena [emoji23]Mkuu usikubali upuuzi huo,
,wanawake wanaanzaga hivyo,,
kesho atakwambiya uvae visandle vya manyoya..
Ni mchumba bado sijamuoa sasa basi, kuna sherehe tumealikwa inabidi niende naye sasa ananilazimisha nivae sare na yeye. anishonea shati la kitenge
Sasa wadau hii ishu siielewi nimekataa kanuna mbaya?
Wazoefu wa kupigilia sare za vitenge nipeni uzoefu kwa mke nahisi ni sahihi lakini kwa mchumba kwangu bado ni utata.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119]Ameisha kuadd kwenye group la cousins kwanza?
Sasa kama anakupangia cha kuvaa atashindwaje kukwambiya vaa vi sandal vya manyoya?We jamaa visendo vya manyoya tena [emoji23]
Si kweliKuna kauli nilisikia mahala" ukiona wapenz wamevaa sare iliyoshonwa kwa vitenge,kaa ukijua hapo mwanaume anaburuzwa!!"