Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ukinipata jiandae kuvaa sare za vitenge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wakati Kama huo ndio tunawakumbuka wale panya wanaokula nguo..[emoji23]
Unatamani atokee aitafune kwenye mgongo au kwenye kola au kwenye mabega! Na sahivi watokee wapi wakati ulishawauwa..[emoji28]
Mkuu kama unatumeno twa panya ifanye hiyo kazi mwenyewe.. tatua tatizo .
ππ Ukitaka niwe mfugaji wa panya leta vitenge vyako tu..Ukinipata jiandae kuvaa sare za vitenge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nina dawa za panya za kutosha[emoji23][emoji23] Ukitaka niwe mfugaji wa panya leta vitenge vyako tu..
Ntajifunza mwenyewe kuzitafuna Kama panya!..Nina dawa za panya za kutosha
Ole wako[emoji23]Ntajifunza mwenyewe kuzitafuna Kama panya!..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]eti kipande kingine ameshona mtu wake duhhh watu wanamahesabuHehehe mimi nkiona kaka kavaa shati la kitenge moja kwa moja napata picha ana mtu wake aliyeshona kipande kilichobaki...hivyo dada hapo anajihami asiibiwe.
Hahaha, wewe ni mtata....kuna miaka fulani Katibu Mkuu wa W/Viwanda na Biashara alikuwa anawataka wafanyakazi wa wizara yake wavae mavazi kama vitenge siku ya Ijumaa. Wenzako walilazimika kufanya hivyo. "Kaka" wa kutoka hapo wizarani nahisi kipande kingine kitakuwa kwa Katibu MkuuHehehe mimi nkiona kaka kavaa shati la kitenge moja kwa moja napata picha ana mtu wake aliyeshona kipande kilichobaki...hivyo dada hapo anajihami asiibiwe.
π€£π€£π€£ Huo uonevu dah! Yani likitenge mama nilivae!.. yesu na aone hili..Ole wako[emoji23]
Ukinipenda Mimi jiandae kupenda Yesu ni mwamba
Kuna kauli nilisikia mahala" ukiona wapenz wamevaa sare iliyoshonwa kwa vitenge,kaa ukijua hapo mwanaume anaburuzwa!!"
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti unajipigia debe hapaJitahidi usome nilichoandika,nimeelezea wapenzi( couple) na sio single kama unavyojipigia debe hapa jf.
Tena nakushonea mwenyewe [emoji847][emoji4][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huo uonevu dah! Yani likitenge mama nilivae!.. yesu na aone hili..
π€£π€£ We si ndo utaweka na mifuko mikubwa ya kuwekea na Bible! Kama ni hivyo walahi we mwanamke bora ubaki kuwa mtumishi wa bwana tu usiolewe mtumikie yesu tu..πTena nakushonea mwenyewe [emoji847][emoji4][emoji2960]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] We si ndo utaweka na mifuko mikubwa ya kuwekea na Bible! Kama ni hivyo walahi we mwanamke bora ubaki kuwa mtumishi wa bwana tu usiolewe mtumikie yesu tu..[emoji23]
ππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakushonea zurizuri utapenda mwenyewe [emoji2960]
Tutamtumikia Bwana pamoja[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]Mimi na nyumba yangu
Unaenda wapi babe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125]
Kutafuta panya.Unaenda wapi babe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu ukitaka suruali pia nitakushonea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kutafuta panya.
ππβ·οΈβ·οΈππHalafu ukitaka suruali pia nitakushonea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au kaptura[emoji125][emoji125][emoji3555][emoji3555][emoji470][emoji470]