Wazoefu wa Forex

Wazoefu wa Forex

dranx

Senior Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
190
Reaction score
84
Habari zenu wadau

Kwa wale ma-trader wa Forex. Je, kutrade Manual na kutrade kupitia EA (Expert Advisor) kipi kizuri? Na kina profit?
 
Habari zenu wadau
Kwa wale matrader wa forex je kutrade manual Na kutrade kupitia EA(Expert Advisor) kipi kizuri Na kina profit.
Wale wanaotrade Kama business huwa wanafanya wenyewe.

Wale wanaotrade Kama hobby huwa wanatumia hiyo njia nyingine.
 
Ni Jambo la kufikirisha Sana! tengeneza algorithm yako (EA) aka robot li optimize kwenye pair chache kwa setting tofauti.

Fungulia robot kwenye soko, though faida inaweza kuwa ndogo Ila Ipo consistent.

Nafikiri high frequency trading ndio future ya fx.
 
Trade mwenyewe acha mteremko utapigwa uanze lia buree.
Habari zenu wadau
Kwa wale matrader wa forex je kutrade manual Na kutrade kupitia EA(Expert Advisor) kipi kizuri Na kina profit.
 
forex ni biashara iko complex sana inaendeshwa na matukio mengi ya kila siku hasa politics na mambo ya uchumi sasa hayo marobot ni ya hasara tu yatakuletea better to trade mwenyewe .
Ni Jambo la kufikirisha Sana! tengeneza algorithm yako (EA) aka robot li optimize kwenye pair chache kwa setting tofauti.

Fungulia robot kwenye soko, though faida inaweza kuwa ndogo Ila Ipo consistent.

Nafikiri high frequency trading ndio future ya fx.
 
Robot linaweza kuwa simple kwa kuweka;

Harmonic scanner (pattern),
+
ichimoku(trend), confirm kwa Holly channel..
+
RSI (signal)
+
ATR kuweka SL, TP

Robot linaweza kutaarifiwa kuepuka news etc.

Robot linaweza kutengenezwa litafute pips 10 za faida kwa each trade Kama linatrade pair 5 kwa accuracy ya 75% wewe upo vema, linaweza kufika pips 1000/day.

AI (EA) ndio kila kitu.
 
Robot linaweza kuwa simple kwa kuweka;

Harmonic scanner (pattern),
+
ichimoku(trend), confirm kwa Holly channel..
+
RSI (signal)
+
ATR kuweka SL, TP

Robot linaweza kutaarifiwa kuepuka news etc.

Robot linaweza kutengenezwa litafute pips 10 za faida kwa each trade Kama linatrade pair 5 kwa accuracy ya 75% wewe upo vema, linaweza kufika pips 1000/day.

AI (EA) ndio kila kitu.
Dah nimekuelewa sana mkuu
 
guys nimefungua ambroker account nauliza kama ni mzuri kuliko templer watu wanasema nikiboko sana
 
guys nimefungua ambroker account nauliza kama ni mzuri kuliko templer watu wanasema nikiboko sana
Kwa mimi naona mabroker wazuri ni xm,tickmil,templer hao wako fast kwenye withdraw,deposit,order execution.
 
Jifunze forex Kwa kiswahili kupitia group hili la telegram. t.me/Forexcartelcommunity
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer https://secure.templerfx.com/main?rid=107946
 
Nyie jamaa hamchoki tu
Kwa wale ambao hawana mitaji ya kutrade forex
Kuna kitu kinaitwa BONUS
, Hii Ni hela ambayo broker anakupa bure ili uweze kutrade na ukipata faida unaitoa Kama kawaida endapo utakidhi vigezo na masherti ya bonus hiyo..

Sasa TEMPLERFX anatoa $30 Kama bonus kwa wale ambao wamekosa mtaji wa kufund account zao .
Inaitwa $30 NON DEPOSIT BONUS

Vigezo na masherti ya kupata NON DEPOSIT BONUS KUTOKA TEMPLERFX.

1.Unatakiwa ujisajili na broker TEMPLERFX.

2. Kisha uverify Taarifa zako Kama EMAIL, NAMBA YA SIMU na KITAMBULISHO CHAKO .
Ndani ya masaa 72 baada ya kuwatumia picha ya kitambulisho chako watakuwa wameverify account yako.

3.Bonus Request
Baada ya kumaliza kujisajili pamoja na Mambo ya verification , utaclick BONUS , Hafu Utaclick "Request NDB $30"
Baada ya hapo utapokea email yenye Login details ya account yako mpya ambayo imepatiwa hiyo $30 , utacopy zile details hafu utaenda kwenye platform ya mt4 utazi-paste . Anza kutrade.

ILI UWEZE KUWITHDRAW BONUS BAADA YA KUTRADE Inatakiwa ufuate masherti yafuatayo.
1.Bonus utakayopewa Ni valid kwa siku 30 tu, baada ya hapo haitakuwa valid Tena. Kwa hiyo itabidi utrade ndani ya siku hizo 30.

2. Unaruhusiwa kutoa faida utakayoipata baada ya kutrade kwa trades zenye volume lot size 5 (5 lots) ndani ya hizo siku 30.
Hapa naomba nielekeze kidogo .
Sio kwamba unalatakiwa Kutumia 5 lotsize utakavyoopen trade yako .
Bali lotsize yoyote unaruhusiwa Ila baada ya siku 30 lotsize ulizokuwa unatumia jumla zifikie sawa na Lot size 5 au zaidi.

Tuchukulie utatumia lotsize ya 0.01 itabid utrade na hiyo lotsize Mara 500 ndani ya siku hizo 30.

Kama utaamua Kutumia lotsize ya 0.05 itabidi utrade kwa Kutumia hiyo lotsize Mara 100 ndani ya hizo siku 30.

Kama utatumia lotsize ya 0.10 itabidi utrade na hiyo lotsize Mara 50 ndani ya hizo siku 30.

Unaruhusiwa kubadilisha lotsize kadri ya utakavyoona opportunity yako imekaaje sokoni ,sio kwamba ukianza na lotsize ya 0.05 ndo utumie hiyohyo tu Hadi siku 30 hapana , unaruhusiwa kubadilisha , Ila baada ya siku 30 jumla ya lotsize ulizotumia zifikie sawa na 5 lotsize.

[emoji1485]Kumbuka BONUS hii unapewa Mara moja tu .
[emoji1485] Yeyote aliyejisajiri TEMPLERFX anaruhusiwa kuomba bonus hii na anapata endapo Taarifa zake zimeshaverified
[emoji1485] Profit na bonus ndo unaweza kuwithdraw pamoja na kufanya internal transfer Kama umekidhi vigezo na masherti.

Kama hujajisajiri TEMPLERFX unaweza kujisajili Sasa kwa kubonyeza link hii ili kupata bonus Sign up - TemplerFX members area
Pigeni analysis mpige pips,
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer TemplerFX | Promo
 
Nina templer account,ila naitumia kimachale sana kwa kuzingatia kuwa usajili wao upo questionable!! Yaani ni kama black market hivi, hawajasajiliwa popote na taasisi yoyote inayotambulika kimataifa,hawana customer service ya kueleweka na hata ukituma Email kwao hawa respond in time,ila nawatumia kwa cent account kama tu Demo account,siwezi kuweka 500$ zangu kwa templer!! Its a risk.
 
Nina templer account,ila naitumia kimachale sana kwa kuzingatia kuwa usajili wao upo questionable!! Yaani ni kama black market hivi, hawajasajiliwa popote na taasisi yoyote inayotambulika kimataifa,hawana customer service ya kueleweka na hata ukituma Email kwao hawa respond in time,ila nawatumia kwa cent account kama tu Demo account,siwezi kuweka 500$ zangu kwa templer!! Its a risk.
Mkuu Templer gani iyo unayosema wewe? Na utawatumiaje email then unataka kujibiwa haraka?

Ingia kwenye chat room yao ile ya online kwenye account yako uone, wako fasta kweli na wana customer service nzuri sana.
 
Mkuu hebu acha kupotosha Umma bila sababu ya msingi , kwa bongo hamna broker aliye na customer care nzuri kama Templer , huyu broker anajibu haraka na unaweza kumpata mpaka mtandao wa WhatsApp anakujibu hapo hapo!!

Kuhusu wewe kuweka mtaji wako wa $500 unachekesha watu maana watu wana mitaji mirefu templer mpaka $10000 huko na kuendelea na hawajawahi kupata shida ,broker ana operate since mwaka 2004 kama ni kutapeli angeshatapeli watu muda mrefu ,wewe umemjua Leo 2019 wenzio wanamtumia toka kitambo tu
 
Back
Top Bottom