Mkuu hebu acha kupotosha umma bila sababu ya msingi ,TemplerNina templer account,ila naitumia kimachale sana kwa kuzingatia kuwa usajili wao upo questionable!! Yaani ni kama black market hivi, hawajasajiliwa popote na taasisi yoyote inayotambulika kimataifa,hawana customer service ya kueleweka na hata ukituma Email kwao hawa respond in time,ila nawatumia kwa cent account kama tu Demo account,siwezi kuweka 500$ zangu kwa templer!! Its a risk.
Mgeni uyo mkuu kwenye anga izo msamehe tMkuu hebu acha kupotosha Umma bila sababu ya msingi , kwa bongo hamna broker aliye na customer care nzuri kama Templer , huyu broker anajibu haraka na unaweza kumpata mpaka mtandao wa WhatsApp anakujibu hapo hapo!!
Kuhusu wewe kuweka mtaji wako wa $500 unachekesha watu maana watu wana mitaji mirefu templer mpaka $10000 huko na kuendelea na hawajawahi kupata shida ,broker ana operate since mwaka 2004 kama ni kutapeli angeshatapeli watu muda mrefu ,wewe umemjua Leo 2019 wenzio wanamtumia toka kitambo tu
Afadhali umempa elimu.Mkuu Templer gani iyo unayosema wewe? Na utawatumiaje email then unataka kujibiwa haraka?
Ingia kwenye chat room yao ile ya online kwenye account yako uone, wako fasta kweli na wana customer service nzuri sana.
To lose not loosedo not trade the money that you can not afford to loose
asanteJifunze forex Kwa kiswahili kupitia group hili la telegram. t.me/Forexcartelcommunity
Hafai huyo broker utaingiza watu mkenge+255767913761 fungua link ya super fores minimum deposit $1 Bonus Super IB - La meilleure offre pour les partenaires Forex
broker mwizi huyo anaiba pesa za watu angalia usije kufungwa+255767913761 fungua link ya super fores minimum deposit $1 Bonus Super IB - La meilleure offre pour les partenaires Forex
Hahaha 😂 unaongea utadhani ni rahisi, hakuna mtu mwenye trading algorithm ambayo inaguarantee faida, unamwambia mtu ambaye hana hata background yoyote atengeneze algorithm ya trading? Haha unataka apoteze hela zake zote?Ni Jambo la kufikirisha Sana! tengeneza algorithm yako (EA) aka robot li optimize kwenye pair chache kwa setting tofauti.
Fungulia robot kwenye soko, though faida inaweza kuwa ndogo Ila Ipo consistent.
Nafikiri high frequency trading ndio future ya fx.
Mkuu kwani mtanange wa templer na bot umefikia wapi aise?Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.
Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.
Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.
Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.
BAADA YA KUJISAJILI
Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.
JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.
TemplerFX | Promo
BOT wameshindwa biashara, acha pesa zipelekwe Kenya maana hakuna namna, sasa hivi zinatumika Line za Safaricom na E-wallets kama Skrill Via Bank/Mastercard. kama ni bank tumia Equity wao ni fasta hawana longolongo kwa Online transactionsMkuu kwani mtanange wa templer na bot umefikia wapi aise?
Sasa mbona unasema kuwa templerfx anapokea na kutuma pesa kwa mpesa? Unataka kumkamata nani? Ninavyojua huduma kwa mpesa zilisitishwa kitambo tu, mimi kuna senti zangu nyingi tu nimeziacha templer baada ya sekeseke hilo,nimejaribu kwa kuwatumia mawakala ila bado siyo salama sana,sasa hivi nipo na pesafxBOT wameshindwa biashara, acha pesa zipelekwe Kenya maana hakuna namna, sasa hivi zinatumika Line za Safaricom na E-wallets kama Skrill Via Bank/Mastercard. kama ni bank tumia Equity wao ni fasta hawana longolongo kwa Online transactions
M Pesa bado unaweza kutumia kupitia Safaricom ambapo bado ni njia rahisi kulinganisha na nyingine zilizopo, hao PesaFx hawafai achana nao mkuu, ana spread kama barabara na manipulation za kufa mtu, watu wengi wanamlalamikiaSasa mbona unasema kuwa templerfx anapokea na kutuma pesa kwa mpesa? Unataka kumkamata nani? Ninavyojua huduma kwa mpesa zilisitishwa kitambo tu, mimi kuna senti zangu nyingi tu nimeziacha templer baada ya sekeseke hilo,nimejaribu kwa kuwatumia mawakala ila bado siyo salama sana,sasa hivi nipo na pesafx
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huwezi toa hela nicheki PM nitakusaidia. Au kama unamuamini mtu yeyote mwenye Safaricom atakutolea. Unakwama wapi muda wote huo, au nyinyi ndo traders ambao mkishajua vizuri mnajifungia hamtaki habari yeyote.Sasa mbona unasema kuwa templerfx anapokea na kutuma pesa kwa mpesa? Unataka kumkamata nani? Ninavyojua huduma kwa mpesa zilisitishwa kitambo tu, mimi kuna senti zangu nyingi tu nimeziacha templer baada ya sekeseke hilo,nimejaribu kwa kuwatumia mawakala ila bado siyo salama sana,sasa hivi nipo na pesafx
Sent using Jamii Forums mobile app