Wazoefu wa kuchepuka hii imekaaje?

kuna jamaa (mshikaji kijiweni enzi hizo) alijua mkewe anatoka nje, akaanza kumpa dozi ati hadi kichubuke na kuvimba kabisa. demu si akaanza kulalamika,yakatoka nje.
 
Niliacha kushindana ama ligi za kingono nafanya maandalizi kutimiza majukumu ya game na kuhakikisha nashiba na nafurahia, wanawake hawanisumbui sihangaiki na mtu anaenipa sex for money, never mwanamke wqjibu wake aniridhishe akifeli tupa kule
 
Mbona rahisi tu, hapo ni kuwa jamaa hana pakumalizia mambo yake sasa anarudi nayo yote nyumbani.

mzunguko wa jamaa itakuwa ulikuwa ni Kazini kwa mchepuko then nyumbani, na sasa ni kazini nyumbani. Hayo lazima yatokee tu.
 

Mada ifungwe….. umemaliza kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…