Wazoefu wa kuchepuka hii imekaaje?

Wazoefu wa kuchepuka hii imekaaje?

Eti hii imekaaje?

Umeolewa labda tuseme miaka 5 nyuma miaka yote hiyo mmeo ni wa kimoja cha sekunde 2 kamaliza umejitahidi kila namna kumpikia vyakula vyakuboost tendo wapi na akimaliza unajitahidi tena aende roundi nyingine lkn hamna bàsi unazoea hayo maisha.

Lkn baada ya miaka 5 unamfumania anafanya mapenzi na rafiki yako yaani rafiki wa mke tena jamaa anaonekana kafa kaoza kwa rafiki wa mke, baada ya mke kugundua jamaa anaomba sana msamaha.

Ila sasa chakushangaza jamaa kuanzia hapo anaanza kupiga mechi mpaka mke anashangaaa kwa mara ya kwanza mke anaanza kufika kileleni yaani tangu afumaniwe na aombe msamaha.

Anamuandaa mke mda mrefu na anahakikisha mke karidhika. Je, kwa nyie wazoefu wa kuchepuka hapa tatizo lilikua nini?

Pia, jamaa (mme) tangu afumaniwe amekua mtu wa mawazo sana, kapoteza furaha yaani yupoyupo tu.

Kuna nini?
kuna jamaa (mshikaji kijiweni enzi hizo) alijua mkewe anatoka nje, akaanza kumpa dozi ati hadi kichubuke na kuvimba kabisa. demu si akaanza kulalamika,yakatoka nje.
 
Niliacha kushindana ama ligi za kingono nafanya maandalizi kutimiza majukumu ya game na kuhakikisha nashiba na nafurahia, wanawake hawanisumbui sihangaiki na mtu anaenipa sex for money, never mwanamke wqjibu wake aniridhishe akifeli tupa kule
 
Mbona rahisi tu, hapo ni kuwa jamaa hana pakumalizia mambo yake sasa anarudi nayo yote nyumbani.

mzunguko wa jamaa itakuwa ulikuwa ni Kazini kwa mchepuko then nyumbani, na sasa ni kazini nyumbani. Hayo lazima yatokee tu.
 
Wanaume huwa tunawakinai Wanawake,full stop.Kama unadhani jamaa ni wa bao moja wewe MPE Mwanamke mwingine mpya utaona ataebda hadi bao 5.

Huyo huyo Mwanamke ukimgonga sana unamzoea na ile hashiki juu yake inapungua mwishowe tena wanakuwa wa bao mmoja-this is normal kwa Wanaume wengi.
Ndio maana kila Siku hatukosi kutamani wanawake wapya.

Mada ifungwe….. umemaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom