Wazoefu wa kuchepuka hii imekaaje?

Wazoefu wa kuchepuka hii imekaaje?

Eti hii imekaaje??
Umeolewa labda tuseme miaka 5 nyuma miaka yote hiyo mmeo ni wa kimoja cha sekunde 2 kamaliza umejitahidi kila namna kumpikia vyakula vyakuboost tendo wapi na akimaliza unajitahidi tena aende roundi nyingine lkn hamna bàsi unazoea hayo maisha.

Lkn baada ya miaka 5 unamfumania anafanya mapenzi na rafiki yako yaani rafiki wa mke tena jamaa anaonekana kafa kaoza kwa rafiki wa mke, baada ya mke kugundua jamaa anaomba sana msamaha.

Ila sasa chakushangaza jamaa kuanzia hapo anaanza kupiga mechi mpaka mke anashangaaa kwa mara ya kwanza mke anaanza kufika kileleni yaani tangu afumaniwe na aombe msamaha.

Anamuandaa mke mda mrefu na anahakikisha mke karidhika. Je, kwa nyie wazoefu wa kuchepuka hapa tatizo lilikua nini?

Pia, jamaa (mme) tangu afumaniwe amekua mtu wa mawazo sana, kapoteza furaha yaani yupoyupo tu.

Kuna nini?
Dada kama una mpango wa kuchepuka nicheck 😎 😎
 
Asali ni tamu kwa mwanaume ila kadiri unavyo endelea kulamba asali unazidi kuizoea na kuona asali haina utamu wowote na hatimae una hamia kwenye sukari...

Kama huamini wewe lamba asali kila siku kwa muda wa mwezi mmoja alafu gafla uje ulambe sukari utaniambia ladha yake
 
Huenda tatizo lilikuwa jamaa, alikuwa anaridhika mechi za nje akirudi nyumbani amechoka, ametumika sana anatimiza wajibu tu kupiga mechi.
Huenda tatizo lilikuwa la mke alikuwa hatoi ushirikiano vizuri sababu alijua hana mpinzani, sasa kaona ushindani kajiongeza kwa usafi, mahaba, heshima, nidhamu, na mautundu hivyo jamaa anafurahia mechi ya nyumbani.
Either way mwanamke ashukuru hilo fumanizi limewafungua wote wajue walikuwa wanakosea wapi.

Mwisho wanawake muache 'complacency' mkiwa ndani ya ndoa, wengi mmeridhika mnajiachia hovyo, wavivu kwenye 6x6, wanaume wengi huku kwenye vikao vyetu wanalalamika wake zao sasa wamekuwa wachafu inaweza kuwa usafi wa chumbani, nguo, na mwili, wengi wamejiachia mwili, majukumu yao mengi wamewaachia house girls. Wengine viburi baada ya kuhakikisha wamepiga pingu na wamezaa na wadau husika.
📌📌📌
 
Nimewahi kuwa na wanawake zaidi ya mmoja,...na kila mwanamke anataka gemu hivyo nilikuwa nikitoka kwa mchepuko nikipiga BAO tatu ili kuweka heshima, na nikifika nyumbani mke nae anataka najilazimisha napiga kimoja cha afya.

Tatizo la mwanaume mwenzetu ni kuwa na wanawake wengi ,hivyo kwa mke ilikuwa ni kujilazimisha tu!.
 
Eti hii imekaaje??
Umeolewa labda tuseme miaka 5 nyuma miaka yote hiyo mmeo ni wa kimoja cha sekunde 2 kamaliza umejitahidi kila namna kumpikia vyakula vyakuboost tendo wapi na akimaliza unajitahidi tena aende roundi nyingine lkn hamna bàsi unazoea hayo maisha.

Lkn baada ya miaka 5 unamfumania anafanya mapenzi na rafiki yako yaani rafiki wa mke tena jamaa anaonekana kafa kaoza kwa rafiki wa mke, baada ya mke kugundua jamaa anaomba sana msamaha.

Ila sasa chakushangaza jamaa kuanzia hapo anaanza kupiga mechi mpaka mke anashangaaa kwa mara ya kwanza mke anaanza kufika kileleni yaani tangu afumaniwe na aombe msamaha.

Anamuandaa mke mda mrefu na anahakikisha mke karidhika. Je, kwa nyie wazoefu wa kuchepuka hapa tatizo lilikua nini?

Pia, jamaa (mme) tangu afumaniwe amekua mtu wa mawazo sana, kapoteza furaha yaani yupoyupo tu.

Kuna nini?
huko nje jamaa alikuwa field training kupata ujuzi. wakati mwingine wanawake huwafundisha wanaume namna ya kushughulika kitandani
 
Kwa kifupi hakuna upungufu wa nguvu za kiume...isipokuwa wanaume wamezidiwa na michuchu mingi
Wanaonjaonja kila mahali, mwisho wa siku kwa mazahouse ni kugusa tu na kulala😁😁
 
Dem kama kweli unampenda utamfuck vzr mpk aridhike ukiona hauridhik bas ilo dume lishakuacha mda mrefu tu ni kwamba ww hujui
 
Eti hii imekaaje?

Umeolewa labda tuseme miaka 5 nyuma miaka yote hiyo mmeo ni wa kimoja cha sekunde 2 kamaliza umejitahidi kila namna kumpikia vyakula vyakuboost tendo wapi na akimaliza unajitahidi tena aende roundi nyingine lkn hamna bàsi unazoea hayo maisha.

Lkn baada ya miaka 5 unamfumania anafanya mapenzi na rafiki yako yaani rafiki wa mke tena jamaa anaonekana kafa kaoza kwa rafiki wa mke, baada ya mke kugundua jamaa anaomba sana msamaha.

Ila sasa chakushangaza jamaa kuanzia hapo anaanza kupiga mechi mpaka mke anashangaaa kwa mara ya kwanza mke anaanza kufika kileleni yaani tangu afumaniwe na aombe msamaha.

Anamuandaa mke mda mrefu na anahakikisha mke karidhika. Je, kwa nyie wazoefu wa kuchepuka hapa tatizo lilikua nini?

Pia, jamaa (mme) tangu afumaniwe amekua mtu wa mawazo sana, kapoteza furaha yaani yupoyupo tu.

Kuna nini?
Amepitia nyuzi za wadau Wa JF humu na pengine alishaniPM nikamshauri Cha kufanya.


Hata usipanik
 
Back
Top Bottom