Wazulu wa Imhambane, Kwalikunyu - Msumbiji katika kupigania Uhuru wa Tanganyika

Naam ! Ubongo umeshibakwa historia mujarab.
 
Chapwa...
Nakusoma.

Huna ulijualo.
 
Naam ! Ubongo umeshibakwa historia mujarab.
Mbawa...
Kapata mshtuko si wengi walikuwa wanajua historia ya kweli ya mapambano ya uhuru wa Tanganyika.

Majina anayosikia na kuyasoma hapa hajapata kuyaona popote.

Hajui vipi achanganye historia hii na hiyo inayoijua yeye.
 
huyu ni mdini na ni sumu na anaganga njaa hajawahi kua upande mmoja. anazeeka vibaya.
Bahati mbaya sana kaka, unajua achilia mbali hii historia ya juzi ya Mohamed said, bali hata ile ya Tanganyika ya Enzi hizo ilikuwa ya waislamu kabla ya kuja kina vasco dagama na hasadi zao kubomoa miji ya pwani, mimi nitaungana nawe ikiwa Mohamed said tutasikitika nae kwa kule kuwa wa Africa wa kizulu kuja kupambana na wa africa wenzao kama kina chief Mkwawa au Songea Mmbano n. K kwa hilo nitakuunga mkono ila bahati mbaya kwako ni kule kutokiri kwamba hao wakoloni ndio walikuwa wa dini wakubwa wakikristo
 
Mbawa...
Kapata mshtuko si wengi walikuwa wanajua historia ya kweli ya mapambano ya uhuru wa Tanganyika.

Majina anayosikia na kuyasoma hapa hajapata kuyaona popote.

Hajui vipi achanganye historia hii na hiyo inayoijua yeye.
Kaka uhuru ulipambaniwa na kina Mkwawa kaka si hawa wazulu, ndio maana karma ikajakuwaumiza tena jamaa zako pale watu kama kk(kitwana kondo) alipokuja nae kuwa kibaraka wa wakoloni dhidi ya hao uwaitao wapigania uhuru, uhuru ni kutofungwa na fadhila walizokufanyia jamaa badala yake kueleza ukweli ' ikiwa miaka sitini hii ya uhuru nawe badowahofia kueleza ukweli hakuna mantiki ya "The untold story"
 
Makala...
Huenda hujanisoma kwa ukamilifu.

Hilo nimeliandika kwingi na nimetoa jina makhsusi naita, "Changamoto za Ukoloni."

Babu yangu Mkuu, Abdallah Mwekapopo Samitungo Mwiyuka kaingia Tanganyika akiwa askari akitokea Belgian Congo.

Sisi vitukuu wa hawa Wazulu, Wanubi na Wamanyema hatuwezi kuikataa historia hii ya wazee wetu kwani huo ndiyo ukweli wenyewe.

Lakini babu yangu Salum Abdallah kapambana na Waingereza ndani ya TANU na ndani ya TRAU.

Fanya search hapa JF utapata historia yake.
 
Inhambane na beach zake nzuri ,Xai xai na viunga vyake,nai miss Msumbiji
 
kwahiyo Tanganyika ilikuwa ya waislam, wakristo woote wa bara hawakuwepo. kabla ya uislam ilikuwa nchi ya nani labda. tunashukuru wazungu walikuja na ukristo tukajengewa na shule, wasingekuja tungekuwa maboko haram wote wasio na elimu hata hii jf isingekuwepo manake watu wangekuwa wamesoma madrasa tu hawajasoma shule dunia.
 
Chapwa...
Wewe una mamlaka gani?
Serikali inajua.

Tosheka na ukweli huu.
tangu uanze kusambaza chuki katikati ya watanzania ukiwa na shehe ilunga kipindi kile, umefanikiwa kwa lolote? moyo unakuuma moyo una uchungu bure, utakufa kabla ya wakati wako kwa magonjwa ya moyo kwasababu ya chuki na hasira dhidi ya wale unaowaita makafiri. imagine wewe hapo ulisimama kwenye muhadhara ukaita wakristo wa tanzania makafiri. umeshazeeka na umechelewa kusambaza chuki, watu wanaelewa maisha yalivyo na huwezi kuwadanganya tena.
 
Chapwa...
Ikiwa unadhani tatizo ni kuwa Waislam hawapendi shule basi wala huna sifa ya kujadili chochote na mimi.
kwani waislam wamekatazwa kwenda shule? kujenga shule? orodhesha hapa nini unataka wakristo wa Tanzania wafanye ili uridhike pengine. unasema mimi sina sifa ya kujadili na wewe, umezeeka hivyo bado unashadadia na unajadili mambo ya kizamani wanayostahili kujadili boko haramu na al shabab? kume uzee sio nywele nyeupe aisee.
 
Chapwa...
Hayo mengine ulioanzanayo hayana maana sana ila hili la elimu.

Ukisoma historia ya elimu utakugundua kuwa Waislam ndiyo waliokuwa na ujuzi wa zile zinaitwa 3Rs yaani Writing, Reading and Arithmetic.

Na alphabet zilizokuwa zinatumika ni Arabic script.

Elimu yote hii ilikuwa ikitolewa kupitia madras.

Krapf alipofika kwa Chief Kimweri Vuga alishangaa sana kumkuta Chief Kimweri na wanae wote wanajua kuandika na kusoma wakitumia herufu za Kiarabu.

Hii ilitia hasad ndani ya nyoyo yake na wakoloni walipoingia katika Pwani ya Afrika ya Mashariki jambo la kwanza walilofanya ilikuwa kupiga marufuku matumizi ya herufi za Kiarabu.

Hapo ndipo wakajenga shule Wamishionari wakishirikiana na serikali.

Na elimu ikawa inatolewa kwa ubaguzi wa imani.

Yako mengi.
 
wewe ni msambaza sumu ya chuki kwa watanzania na ninaamini basi tu kwasababu upo tz, ungekkuwa nchi zingine ungeshajiunga na makundi ya kigaidi.

sasa rafiki, kwanini pale kwenye mhadhara uliwaita wakristo "makafiri", unajisikiaje ukiwaita watanzania wenzio "makafiri".
 

Chapwa...
Ingia Google fanya search utakuta maana nyingi.

Ukishazisoma rejea kwangu ikiwa hujaelewa.

Naona maelezo yangu ya historia ya elimu imekutuliza.

Jibiidishe kusoma utaelimika.

Hii kuja hapa upambane na mimi haitakusaidia kitu.

Wewe si wa kwanza.
 
Kwa hiyo kilwa ya karne ya tisa ile ya maghorofa na shilingi yake yenyewe ilijengwa na mzungu ewe mfia dini? Unazijua kweli Arabic numerals? Unaijua kweli historia ewe mfia dini? Hiyo hekaya kwamba hapakuwa na maendeleo kakudanganya nani? Ni kweli hufahamu kwamba mkoloni alipigana na Bwana heri upande wa pili akaingia makubaliano na makafiri? Ee masih mwana wa maryam
 
Makala,
Nina hulka moja nayo ni kuwa ninapoona mtu ameghadhibika lugha zinakosa adabu huacha mjadala.
 
Na ww hutaki waislamu wajue kama wanamchango mkubwa kwenye uhuru na jinsi nyerer alivyofanya hila kuwadhulu.Ukweli unatabia ya ajabu sana hata ikichukua miaka 400 kufichwa ila utajulikana tu.Swali muhimu watu wenye akili wanalojiuliza hv Nyerere ni peke yake aliyeleta uhuru wa nchi hii?Jibu hapana alikua na wenzake .
Swali wenzie ni akina nan hapo ndio kazi ilpo
 
ajabu ni kwamba mohamed said unajifeki na kujipachika jina la mwanamke. vipi tena shehke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…