Wazungu bado ni mabeberu na wanyonyaji. Ndo maana Magu aliwachana live

Wazungu bado ni mabeberu na wanyonyaji. Ndo maana Magu aliwachana live

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Hizi ndo akili za wazungu. Kwa nini tusiwaite mabeberu wao wanaamini Bado wanatutawala.


Napenda hii movie ingechezwa kipindi cha uncle tungeona rangi zote.


Ujinga huu huu ndo uliochelwesha bwawa la nyerere Kwa miaka nenda Rudi bila magu ingekuwa historia Hadi Leo.

Tunahitaji watawala jasiri ili kusonga mbele la sivyo tutalilia kila siku
 

Attachments

  • IMG-20220927-WA0001.jpg
    IMG-20220927-WA0001.jpg
    46 KB · Views: 2
Sasa huyo Jiweunamuita jasiri kaiba toka 1995 hadi mauti ilivyomchukua. Na katika uhai wake alivunja rekodi kwa kukomba Trillions za kutosha.au kwako ujasiri ni wizi uliokubuhu?;
Kuweni wasafi kabla ya kulala mnafua na kubadilisha shuka za vitanda vyenu kila mara na kuhakikisha vitanda na mnapolala ni pasafi. Mkiamka mnaingia jamvin na kuleta nyuzi za maana badala uharo na utopolo.
Siku hizi nawe umekuwa Mpuuziiiiiii Hivi unavuta cha wapi?
 
Hakuna beberu na mnyonyaji mkubwa kuliko CCM👇
 
Back
Top Bottom