Wazungu\Foregners wanatengeneza sana pesa hapa nchini kwa ujinga wetu

Wazungu\Foregners wanatengeneza sana pesa hapa nchini kwa ujinga wetu

Mkuu uko sahihi. Kuna ofisi ukienda watz wenzio wanakubania tena ukipeleka Bidhaa na gari binafsi wanaona wewe unawapita utajiri. Kuna sehemu tulikua tunapeleka boss mswahili akaaacha kununua akaenda kwa supplier mwingine kule akakuta bidhaa haina ubora na bei ni kubwa akaamua kuturudia na sisi tukampotezea.
Safi sana,watu wa aina hiyo wenye roho ya korosho hiyo ndio dawa yao

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Asili ya kanuni hii ya kufanikiwa kama chain imeasisiwa na wayahudi ndio wazungu, waarabu, wachina, wakinga,wachaga, uitumia hata mchaga alewi kwa bar isiyo ya jamaa yake.
Wachaga hawahawa??
Kwa wakinga nimeona wakiajiri wakinga wenzao ila wachaga wanabaguana wao kwa wao. Ile sijui mchaga wa machame, mchaga wa wapi na wapi inawatenganisha sometimes. Bond inakua kubwa akikutana na anaetoka nae eneo moja.

Kinachotufelisha ni hii mentality ya kua mtu akiwa mkubwa hataki wengine wawe kama yeye, atataka abaki yeye tu, aombwe misaada, apigiwe magoti sana na shukrani nyingi.
 
Wewe mjinga hizo kazi za kutembeza masufuria kuuza karanga ni kazi za vijakazi na watumwa .wananchi wa Tanzania hawakutakiwa kuishi maisha ya kiseng€ hivyo ,acha kuandika ufala hapa .
Tunaongelea real opportunities ambazo zitaleta impacts za kubadilisha maisha ya mwananchi na jamii nzima kwa ujumla ,
We unaongelea kuendesha boda boda na kuuza karanga ,una akili wewe au usaha kwenye hicho kichwa chako mpuuzi wewe ?
Ni nani ametoa maisha au kuwa tajiri kwa kufanya huo upuuzi ulioandika hapo ?
Tumia akili kufikiria usutumie matako kufikiri
naona hapo ndio uelewa wako unapoishia, endelea kuandika hivyo utafika mbali, ninarudia utabaki kulalamika na kuandika upuuzi huu wakati wenzio wanatengeneza fedha na wanapaa!,
JF Expert? or non sense, "matako kufikiri, " akili ina usaha" "wewe mpuuzi" ongeze mengine ndio uwezo wako huu
 
Ishu pia is hii serikali ina bureaucracy za ajabu na makodi ya ajabu tu na ndo umeanza biashara; madude ya kijinga kibao that's why most people give up au prefer to do things bila kuhusisha serikali na hao wageni wana hela za rushwa pia wana connections na izo international hotels among other places. Inauma but tunakuwa fucked kw kila kitobo; iwe nchini mwao hadi wakija uku. Bomu la nuclear tu na kuteketeza nusu ya watu ndo itaamsha watu.
 
naona hapo ndio uelewa wako unapoishia, endelea kuandika hivyo utafika mbali, ninarudia utabaki kulalamika na kuandika upuuzi huu wakati wenzio wanatengeneza fedha na wanapaa!,
JF Expert? or non sense, "matako kufikiri, " akili ina usaha" "wewe mpuuzi" ongeze mengine ndio uwezo wako huu
Katombwege huko ,sijibizani na mataahira mimi wasio na ubongo wala exposure kama wewe ,peleka huo undezi wako kwa vilaza wenzako .
Pumbavu .
 
Ishu pia is hii serikali ina bureaucracy za ajabu na makodi ya ajabu tu na ndo umeanza biashara; madude ya kijinga kibao that's why most people give up au prefer to do things bila kuhusisha serikali na hao wageni wana hela za rushwa pia wana connections na izo international hotels among other places. Inauma but tunakuwa fucked kw kila kitobo; iwe nchini mwao hadi wakija uku. Bomu la nuclear tu na kuteketeza nusu ya watu ndo itaamsha watu.
Mifumo yetu ni mibovu sana na sio rafiki kwa kukuza nguvu ya kiuchumi kwa mwananchi .Kuna jinga hapo lina argue kuhusu hili ,
Huwezi kuitoa kwenye equation serikali katika role ya kukuza nguvu ya kiuchumi ya mwananchi .Ni mambo kibao tu nchi hii unaweza fanya ,mara sera zinabadilika unakula loss ,mfano ni kilimo , mwananchi mkulima nchi hii hasa small scale farmer ni ngumu kuaccumulate wealth ,kutokana na sera zinazobadili la badilika na ambazo mara nyingi huishia kumuumiza .Uje kwenye masuala ya kodi ndio usiseme ,
Ni hivyo hivyo karibia kila sekta nchi hii .
Matokeo ndio hayo ,kuendelea kuwa na taifa la mamilioni ya watu mafukara na maisha duni , ndio hao vijakazi wa wahindi na wachina kufanya kazi za manyanyaso ,zisizo na staha wala usalama wa maisha au afya na kipato duni ,na wengine kubangaiza kufanya shughuli za kipuuzi zenye kipato duni na zisizoleta impact katika uchumi wa taifa.
We unafanya kazi ya kutembeza karanga sijui kama chupi za kichina ,huo upuuz unabenefit vipi uchumi wa nchi kama sio kuendeleza ufukara tu ?
Hilo liko wazi kabisa .
 
Back
Top Bottom