CCM inataka kuwafanya Watanzania kuwa mazombieWazungu siku zote hawajawahi kujali chochote kuhusu demokrasia bali wanacho jali wao ni usalama wa maslahi yao pekee.
View: https://x.com/USEmbassySyria/status/864144602584035328?t=1A5TRtPcP5OBMBvIE3lAow&s=19
View: https://x.com/BBCWorld/status/1866050983748370941?t=EJrShBe7s07doaM7Z4onDA&s=19
Ukweli ni huo, hawana adui wa kudumu, maslahi kuongoza dunia mpaka mwisho wa dunia, ndio kipaumbele chao.Wazungu siku zote hawajawahi kujali chochote kuhusu demokrasia bali wanacho jali wao ni usalama wa maslahi yao pekee.
View: https://x.com/USEmbassySyria/status/864144602584035328?t=1A5TRtPcP5OBMBvIE3lAow&s=19
View: https://x.com/BBCWorld/status/1866050983748370941?t=EJrShBe7s07doaM7Z4onDA&s=19
Mimi ndiyo CCM mwenyeweWewe una tofauti gani na zombie ?
Pale Ethiopia kuna kiongozi anayejitambua. USA, Egypt, EU, walimpiga mkwara akaituliza nchi haiwezekani watu wachache watawala nchi siku zote. Demokrasia ni nini?Kama walivyoleta ujinga wa kuwasapoti Tigirinya forces wa Ethiopian, wakala kichapo mpaka kuoba msamaha ....