Wazungu hawapendi wanawake wenye makalio makubwa. Haya mambo yako huku kwetu Afrika tu

Wazungu hawapendi wanawake wenye makalio makubwa. Haya mambo yako huku kwetu Afrika tu

Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.

Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio?

Nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiyaona.

Jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na makalio makubwa wao wanamchukulia kama ulemavu.


Hili suala limenishangaza kidogo.

Huku kwetu Africa baadhi wanawake wanaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
Umejishusha thamani ulivosema ulibahatika kupata ugeni wa wazungu hapo ofisini kwenu
 
Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.

Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio?

Nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiyaona.

Jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na makalio makubwa wao wanamchukulia kama ulemavu.


Hili suala limenishangaza kidogo.

Huku kwetu Africa baadhi wanawake wanaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
Hata Asians. Hawataki kabisa
 
Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.

Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio?

Nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiyaona.

Jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na makalio makubwa wao wanamchukulia kama ulemavu.


Hili suala limenishangaza kidogo.

Huku kwetu Africa baadhi wanawake wanaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
Hata huku kuna watu wanakula panya wengine hatuli. Kila mtu na mapendezi yake.

Huku kwetu mwanamke kupigwa pasi nyuma, kutokuwa na hips sio kawaida ni ulemavu. Ni muhimu awe na katako fulani kakuzugia asiwe kama wajapani.

Kuna mataifa mengine matiti mazuri ndio pride ya mwanamke.

Sisi tunaosoma Biblia anatajwa Rahel mke wa Yakobo kuwa alikuwa mzuri wa sura na umbo. Waafrika tunabaki hapo kwenye umbo
 
Wanawake wengi wenye makalio makubwa, akili hawana
Kwa sisi tuliosoma kwenye ushirika wa Mzukila enzi hizo pale Morogoro tuliwaona mabinti vipanga sana ila kichwani walikuwa na akili sana. Walikuwepo pia wazuri na Malaya sana wanaruka ukuta wa shule kule Moro Town wanahudhuria Disco chuo kilicho karibu na Changarawe. Ila likija paper wanabonda balaa.

Changamoto yao hao wenye makalio au wazuri sana wanaanza kusumbuliwa pindi wanapovunja ungo tu na kuanza kuonekana mabadiriko ya mwili. Wazee wenye ukwasi wanawapotezea muda wao mwingi wa kuwa shule na kuwaaminisha kuwa figure lao linaweza watoa kimaisha kuliko elimu. Ingawa wapo waliotoka kimaisha kwa njia hiyo
 
Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.

Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio?

Nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiyaona.

Jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na makalio makubwa wao wanamchukulia kama ulemavu.


Hili suala limenishangaza kidogo.

Huku kwetu Africa baadhi wanawake wanaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
Ni kweli
 
Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.

Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio?

Nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiyaona.

Jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na makalio makubwa wao wanamchukulia kama ulemavu.


Hili suala limenishangaza kidogo.

Huku kwetu Africa baadhi wanawake wanaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
Itakua wazungu wako washamba tu
 
Mizungu ndo standard ya maisha duniani? Ungewauliza kama wanasapoti ndoa za jinsia moja ili nawewe uwaige.

Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio?

Nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiyaona.

Watu wananenepa sababu ndo raha yenu kuwaona? What a nonsensical response! Biology ya wapi inayosema watu wananenepa sababu tu wengine wanaona raha kuwatazama? Kwahiyo sio ishu ya maumbile bali macho yenu ndo yanawanenepesha? Mkiacha kuona raha kuwatazama maumbile yao yatabadilika au? Hao mizungu wako wamekuona wewe kichwa maji ndo maana wamekuuliza maswali ya kipumbavu if they asked you at all.
 
Mizungu ndo standard ya maisha duniani? Ungewauliza kama wanasapoti ndoa za jinsia moja ili nawewe uwaige.



Watu wananenepa sababu ndo raha yenu kuwaona? What a nonsensical response! Biology ya wapi inayosema watu wananenepa sababu tu wengine wanaona raha kuwatazama? Kwahiyo sio ishu ya maumbile bali macho yenu ndo yanawanenepesha? Mkiacha kuona raha kuwatazama maumbile yao yatabadilika au? Hao mizungu wako wamekuona wewe kichwa maji ndo maana wamekuuliza maswali ya kipumbavu if they asked you at all.
Jikite kwenye hoja.
 
Back
Top Bottom