Wazungu hawapendi wanawake wenye makalio makubwa. Haya mambo yako huku kwetu Afrika tu

Wazungu hawapendi wanawake wenye makalio makubwa. Haya mambo yako huku kwetu Afrika tu

Sijui watu wanayapendea nini MATAKO MAKUBWA hayana hata mvuto kabisa!

TAKO KUBWA kama GUNIA LA CHUMVI, ukifunua tako unakutana na harufu ya kinyeo kama panya hayati. NEHII
Kweli ni mzigo yani Mzungu ukimwambie akuletee pis kali ya Kibongo utamcheka utaona hajui kuchagua Mwanamke mzuri, Na wewe Mtanzania akimleta Pisi kali yake Mzungu akimuona atasema hatujui kuchagua.kwakifupi Wazungu vigezo vyao na sisi ni tofauti kuhusu uzuri wa Mwanamke na Mwanaume kwenye Kuchagua Mpenzi.
 
tuwekane sawa, ni wazungu au wadhungu?. nyashi ni ulemavu!, hao watakuwa wadhungu tu
 
Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.

Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio?

Nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiyaona.

Jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na makalio makubwa wao wanamchukulia kama ulemavu.

Hili suala limenishangaza kidogo.

Huku kwetu Africa baadhi wanawake wanaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
Mbali na kuyashika shika huwaga hayo makalio makubwa hayana hata maana
 
Kwa hiyo huyu mlemavu
IMG-20250128-WA0006.jpg
 
Back
Top Bottom