Wazungu kwa mataifa Yao yote, hawana UPENDO na MTU mweusi

Wazungu kwa mataifa Yao yote, hawana UPENDO na MTU mweusi

MUWHWELA

Senior Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
167
Reaction score
238
Twime tubite 'Hakuna mfano nyuma mfano ,nyuma ya mfano Kuna Imani.
--------

Historia inaenda kujirudia Tena, wachache watakaosalia ni wale ambao hawajali sana watu wanawaonaje au wanawachukuliaje, wanaoishi maisha Yao kwa kufuata sheria za Asili.

Wazungu kwa mataifa Yao yote,hawana UPENDO na MTU mweusi, huo siyo mjadala hata tujipendekeze vipi Bado wanatuona sisi kama manyani tu flani wasiojitambua.

Kwanini Hawa jamaa wanataka kuondoka na wengi.

1: FOOD INDUSTRY - Biashara ya chakula ni biashara kubwa sana duniani, Lakini biashara hii Haina usawa na uhakika wa kiafya kwa watumiaji (wateja) kwanini hawakutazami wewe na Mimi kama kipande muhimu Cha biashara Yao, Bali Mimi na wewe tunachukuliwa kama bidhaa Yao.

Vyakula vinavyolimwa Katika Ardhi ya Ulaya na maabara zao, zina mapungufu ya madini kutokana na Asili ya Ardhi Yao iliyofunikwa na barafu kwa miaka mingi, chakula chao kinawafaa wao kutoka na melanini zao, genetics zao, vyakula hivyo havifai MTU mweusi atumie maana sisi na wao sote tu binadamu sawa Lakini Kuna utofauti mkubwa wa kijenetiki, kwa jinsi hiyo ni dhahiri shahiri kwamba hata operation za miili yetu ni tofauti.

Miili yetu inahitaji chakula, Ili ndani ya chakula hicho vipatikane virutubisho vyote inahitajika afya Bora ya udogo unaozalisha chakula hicho. Lakini tumeshindwa kulinda Ardhi yetu ambayo ndiyo msingi wa UHAI wetu na vizazi vyetu.

Tumeruhusu mbegu za kisasa zitamalaki na kuwapa mbegu zetu za Asili wakaweke kwenye maghala Yao Ulaya Ili wakimaliza ku-corrupt Ardhi yetu waje na masharti magumu maana wao ndiyo watakao kuwa na control ya mbegu zote za Asili.

Tumbo lenye njaa daima haliruhusu UBONGO ufanye kazi yake ya kufikiri ipasavyo, wazungu wanajua sisi waafrika tulipendelewa na Mungu, sisi ndiyo kizazi teule, kizazi Cha kwanza na wateule wa Mungu...wanacheza na akili zetu na tumekubali kuchezewa.

Nini tufanye, kama Bado unamiliki mbegu za Asili basi zitunze sana, kama unawaza biashara basi waza kwa kina biashara ya kilimo na chakula, hatuwezi kuwa huru na kuzalisha kizazi huru kama tunaruhusu kulishwa takataka, kulishwa vitu visivyoeleweka, huu ni mtego na tumenasi, ndio maana tuna matokea hasi Katika vitu vingi.

Elimu na maarifa yanayotolewa mengi yanatokana na mifumo Yao, hatuwezi kuwa huru au salama kwa kutegemea wasomi Hawa ambao Elimu Yao ni matakwa ya mzungu huyo huyo.. tuwatumie WAZEE wetu watupe Asili ya baba zao na Babu zao vizazi vitatu nyuma hapo walifanikiwaje Katika kilimo kwa kulinda Ardhi na mbegu Asili..

"USIPOJUA NINI UNALISHA JAMII YAKO USITEGEMEE MATOKEO CHANYA KATIKA LOLOTE"

(Next--- Pharmaceutical industry)
 
there is a spiritual behind it.
Si kwa akili źa kawaida
 
Kizazi teule kisicho na akili wewe nani amekwambia wwe ni mteule..
Ni aibu ni aibu kweli mpaka leo kumlaumu mzungu eti anakulimia chakula au anakupa mbegu ni aibu aibu aibu
Huwa nawashangaa sana hawa watu wanaosema mtu mweusi ni mteule, sijui mzungu anaujua ukweli hivyo anamharibu mweusi..

How comes mteule akawa kilaza kabisa, yaani hata kujikwamua kwa vitu vidogo hawezi...
Ni kawaida ya mtu mweusi kulaumu pale anaposhindwa jambo, hutafuta wa kumlaumu au kumuachia Mungu.
 
Huwa nawashangaa sana hawa watu wanaosema mtu mweusi ni mteule, sijui mzungu anaujua ukweli hivyo anamharibu mweusi..

How comes mteule akawa kilaza kabisa, yaani hata kujikwamua kwa vitu vidogo hawezi...
Ni kawaida ya mtu mweusi kulaumu pale anaposhindwa jambo, hutafuta wa kumlaumu au kumuachia Mungu.
ni kupenda kulaumu tu. yani mpaka kwenye mazao alaumiwe mtu mweupe elimu alaumiwe yeye hapo hapo tunasema sisi ni bora kuliko wao mana sisi ni wateule. eti ngozi yetu ni ngumu haisikii jua 🤣🤣🤣🤣kweli huu ni ujuha
 
ni kupenda kulaumu tu. yani mpaka kwenye mazao alaumiwe mtu mweupe elimu alaumiwe yeye hapo hapo tunasema sisi ni bora kuliko wao mana sisi ni wateule. eti ngozi yetu ni ngumu haisikii jua 🤣🤣🤣🤣kweli huu ni ujuha

🤣🤣🤣
 
Huyu ndio Mwafrika ninayemjua mimi sasa. Kazi kunyoshea vidole watu wakati ana nyenzo zote za kumkomboa kutoka hapo alipo.
 
ni kupenda kulaumu tu. yani mpaka kwenye mazao alaumiwe mtu mweupe elimu alaumiwe yeye hapo hapo tunasema sisi ni bora kuliko wao mana sisi ni wateule. eti ngozi yetu ni ngumu haisikii jua 🤣🤣🤣🤣kweli huu ni ujuha
Mtu mweusi ni tatizo mkuu. Eti mtu mweupe hampendi. Kwa nini ampende? Yeye mweusi anampenda mzungu?

Tulikuwa na mbegu zetu orijino leo kwa njaa zetu tumeruhusu kuletewa haya ma GMO na Monsanto halafu bado tunamlalamikia mzungu? Mbali na story eti ustaarabu ulianzia Afrika, mafarao waliojenga mapiramidi walikuwa weusi...hata Yesu na Musa walikuwa weusi, kuna nini ambacho tunaweza kujivunia as a people?

Na tutamlaumu mzungu mpaka lini wakati sisi kwa sisi hatujaliani na tunafanyiana vitendo vya kihayawani. Inawezekanaje mtu mmoja anaiba mabilioni ya shilingi yaliyopaswa kujengea hospitali; na kuwaacha walengwa wakiwa hawana hata Aspirin? Mtu anayefanya hivi kwa wenzake ni binadamu? Na huu ufisadi unaotumaliza nao ni kosa la mtu mweupe?

It is time that we blacks take responsibility for some of our shit! 🚮
 
Twime tubite 'Hakuna mfano nyuma mfano ,nyuma ya mfano Kuna Imani.
--------

Historia inaenda kujirudia Tena, wachache watakaosalia ni wale ambao hawajali sana watu wanawaonaje au wanawachukuliaje, wanaoishi maisha Yao kwa kufuata sheria za Asili.

Wazungu kwa mataifa Yao yote,hawana UPENDO na MTU mweusi, huo siyo mjadala hata tujipendekeze vipi Bado wanatuona sisi kama manyani tu flani wasiojitambua.

Kwanini Hawa jamaa wanataka kuondoka na wengi.

1: FOOD INDUSTRY - Biashara ya chakula ni biashara kubwa sana duniani, Lakini biashara hii Haina usawa na uhakika wa kiafya kwa watumiaji (wateja) kwanini hawakutazami wewe na Mimi kama kipande muhimu Cha biashara Yao, Bali Mimi na wewe tunachukuliwa kama bidhaa Yao.

Vyakula vinavyolimwa Katika Ardhi ya Ulaya na maabara zao, zina mapungufu ya madini kutokana na Asili ya Ardhi Yao iliyofunikwa na barafu kwa miaka mingi, chakula chao kinawafaa wao kutoka na melanini zao, genetics zao, vyakula hivyo havifai MTU mweusi atumie maana sisi na wao sote tu binadamu sawa Lakini Kuna utofauti mkubwa wa kijenetiki, kwa jinsi hiyo ni dhahiri shahiri kwamba hata operation za miili yetu ni tofauti.

Miili yetu inahitaji chakula, Ili ndani ya chakula hicho vipatikane virutubisho vyote inahitajika afya Bora ya udogo unaozalisha chakula hicho. Lakini tumeshindwa kulinda Ardhi yetu ambayo ndiyo msingi wa UHAI wetu na vizazi vyetu.

Tumeruhusu mbegu za kisasa zitamalaki na kuwapa mbegu zetu za Asili wakaweke kwenye maghala Yao Ulaya Ili wakimaliza ku-corrupt Ardhi yetu waje na masharti magumu maana wao ndiyo watakao kuwa na control ya mbegu zote za Asili.

Tumbo lenye njaa daima haliruhusu UBONGO ufanye kazi yake ya kufikiri ipasavyo, wazungu wanajua sisi waafrika tulipendelewa na Mungu, sisi ndiyo kizazi teule, kizazi Cha kwanza na wateule wa Mungu...wanacheza na akili zetu na tumekubali kuchezewa.

Nini tufanye, kama Bado unamiliki mbegu za Asili basi zitunze sana, kama unawaza biashara basi waza kwa kina biashara ya kilimo na chakula, hatuwezi kuwa huru na kuzalisha kizazi huru kama tunaruhusu kulishwa takataka, kulishwa vitu visivyoeleweka, huu ni mtego na tumenasi, ndio maana tuna matokea hasi Katika vitu vingi.

Elimu na maarifa yanayotolewa mengi yanatokana na mifumo Yao, hatuwezi kuwa huru au salama kwa kutegemea wasomi Hawa ambao Elimu Yao ni matakwa ya mzungu huyo huyo.. tuwatumie WAZEE wetu watupe Asili ya baba zao na Babu zao vizazi vitatu nyuma hapo walifanikiwaje Katika kilimo kwa kulinda Ardhi na mbegu Asili..

"USIPOJUA NINI UNALISHA JAMII YAKO USITEGEMEE MATOKEO CHANYA KATIKA LOLOTE"

(Next--- Pharmaceutical industry)
"Tuliwakataa, tuliwatenga na kuwaengua kabisa Watu weusi kwenye mchakato wa maendeleo ya nchi na ujenzi wake ni kwa sababu HAWANA AKILI NZURI, endapo kama tungewajumuisha, Basi wangetuharibia mambo yetu mazuri yaliyopo Afrika ya Kusini leo hii."

Pieter W. Botha, Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini enzi za ubaguzi wa rangi.
 
Twime tubite 'Hakuna mfano nyuma mfano ,nyuma ya mfano Kuna Imani.
--------

Historia inaenda kujirudia Tena, wachache watakaosalia ni wale ambao hawajali sana watu wanawaonaje au wanawachukuliaje, wanaoishi maisha Yao kwa kufuata sheria za Asili.

Wazungu kwa mataifa Yao yote,hawana UPENDO na MTU mweusi, huo siyo mjadala hata tujipendekeze vipi Bado wanatuona sisi kama manyani tu flani wasiojitambua.

Kwanini Hawa jamaa wanataka kuondoka na wengi.

1: FOOD INDUSTRY - Biashara ya chakula ni biashara kubwa sana duniani, Lakini biashara hii Haina usawa na uhakika wa kiafya kwa watumiaji (wateja) kwanini hawakutazami wewe na Mimi kama kipande muhimu Cha biashara Yao, Bali Mimi na wewe tunachukuliwa kama bidhaa Yao.

Vyakula vinavyolimwa Katika Ardhi ya Ulaya na maabara zao, zina mapungufu ya madini kutokana na Asili ya Ardhi Yao iliyofunikwa na barafu kwa miaka mingi, chakula chao kinawafaa wao kutoka na melanini zao, genetics zao, vyakula hivyo havifai MTU mweusi atumie maana sisi na wao sote tu binadamu sawa Lakini Kuna utofauti mkubwa wa kijenetiki, kwa jinsi hiyo ni dhahiri shahiri kwamba hata operation za miili yetu ni tofauti.

Miili yetu inahitaji chakula, Ili ndani ya chakula hicho vipatikane virutubisho vyote inahitajika afya Bora ya udogo unaozalisha chakula hicho. Lakini tumeshindwa kulinda Ardhi yetu ambayo ndiyo msingi wa UHAI wetu na vizazi vyetu.

Tumeruhusu mbegu za kisasa zitamalaki na kuwapa mbegu zetu za Asili wakaweke kwenye maghala Yao Ulaya Ili wakimaliza ku-corrupt Ardhi yetu waje na masharti magumu maana wao ndiyo watakao kuwa na control ya mbegu zote za Asili.

Tumbo lenye njaa daima haliruhusu UBONGO ufanye kazi yake ya kufikiri ipasavyo, wazungu wanajua sisi waafrika tulipendelewa na Mungu, sisi ndiyo kizazi teule, kizazi Cha kwanza na wateule wa Mungu...wanacheza na akili zetu na tumekubali kuchezewa.

Nini tufanye, kama Bado unamiliki mbegu za Asili basi zitunze sana, kama unawaza biashara basi waza kwa kina biashara ya kilimo na chakula, hatuwezi kuwa huru na kuzalisha kizazi huru kama tunaruhusu kulishwa takataka, kulishwa vitu visivyoeleweka, huu ni mtego na tumenasi, ndio maana tuna matokea hasi Katika vitu vingi.

Elimu na maarifa yanayotolewa mengi yanatokana na mifumo Yao, hatuwezi kuwa huru au salama kwa kutegemea wasomi Hawa ambao Elimu Yao ni matakwa ya mzungu huyo huyo.. tuwatumie WAZEE wetu watupe Asili ya baba zao na Babu zao vizazi vitatu nyuma hapo walifanikiwaje Katika kilimo kwa kulinda Ardhi na mbegu Asili..

"USIPOJUA NINI UNALISHA JAMII YAKO USITEGEMEE MATOKEO CHANYA KATIKA LOLOTE"

(Next--- Pharmaceutical industry)


WE BWEGE SANA UNATAKA UPENDWE ILI IWEJE? JIPENDE MWENYEWE KWANZA. KILA MTU AJIPENDE MWENYEWE.
 
Mtu mweusi ni tatizo mkuu. Eti mtu mweupe hampendi. Kwa nini ampende? Yeye mweusi anampenda mzungu?

Tulikuwa na mbegu zetu orijino leo kwa njaa zetu tumeruhusu kuletewa haya ma GMO na Monsanto halafu bado tunamlalamikia mzungu? Mbali na story eti ustaarabu ulianzia Afrika, mafarao waliojenga mapiramidi walikuwa weusi...hata Yesu na Musa walikuwa weusi, kuna nini ambacho tunaweza kujivunia as a people?

Na tutamlaumu mzungu mpaka lini wakati sisi kwa sisi hatujaliani na tunafanyiana vitendo vya kihayawani. Inawezekanaje mtu mmoja anaiba mabilioni ya shilingi yaliyopaswa kujengea hospitali; na kuwaacha walengwa wakiwa hawana hata Aspirin? Mtu anayefanya hivi kwa wenzake ni binadamu? Na huu ufisadi unaotumaliza nao ni kosa la mtu mweupe?

It is time that we blacks take responsibility for some of our shit! 🚮
SISI MIJITU MYEUSI TUNA SHIDA. UNYAMA NA UFISADI TUNAOFANYIANA NI AIBU KUMSINGIZIA MZUNGU WALA MCHINA. NA NI UPUMBAVU KUTAKA WATUPENDE. ILI IWEJE? TUNAACHA KUJIPANGA TUNALILIA KUPENDWA. TUNAFANYA UFISADI WA KUTISHA KWA MALI ZA UMMA. BADALA YA KUBORESHA MAISHA TUNAENDA NUNUA MAGARI YA GHARAMA. ANGALIA SERIKALI INAYOSAFIRI KWENDA KUKOPA NA IDADI YA WAENDAJI.... HALAFU TUNAKUJA KUMLAUMU MZUNGU. SISI TULIROGWA. NI MASHETANI
 
Back
Top Bottom