Wazungu kwa mataifa Yao yote, hawana UPENDO na MTU mweusi

Wazungu kwa mataifa Yao yote, hawana UPENDO na MTU mweusi

unaposema wazungu hawana upendo na mtu mweusi unamaanisha nini? hata wao wameshikwa pia, hayo ulioyasema yote hata wao ni victims pia, usisahahu kuna wazungu wengi wamejitolea maisha yao kipigania haki ya mwafrika hata kama hawafaidiki na chochote mfano serikali yako ya mtu mweusi inawahamisha wananchi ktk kwenye ardhi yao ya asili kwa nguvu kupisha uwindaji, ni wazungu hao hao wanawatetea waafrika wanao onewa na serikali za watu weusi, kwanza naweza kusema bila ya baadhi wazungu mtu mweusi hana mtetezi dhidi ya uonevu wa mwafrika mwenzake …
 
Miafrika ndivyo tulivyo .Tukiacha kujiona victim ndo hiyo siku tutakuwa washindi. Kila kitu kibaya kwetu eti ni sababu ya wazungu"Stupid".
Umemaliza, hii victim mentality inatokea wapi?
 
Jamii zinazojitambua huwezi kusikia wakilalamikia mambo ya kijinga wala kutafuta visingizio kwa matatizo yao. Watu wanapambana kujikwamua kwenye hali zao sisi tumekalia kulia lia tu..
 
Inatokea kwenye zama za ujima umesahau zile damu za Babu zao waliopigana Vita ya majimaji bado zinazunguka kwenye miili yao
Kwamba ndio mpaka leo waafrika wakizingua wenyewe au wakifanyiana ubaya lawama kwa mzungu?
Its not 19th century anymore, its 20st century, mwafrika itabidi abadilike aache kulau laumu ni mentality ya kijinga sana
 
Kizazi teule kisicho na akili wewe nani amekwambia wwe ni mteule..
Ni aibu ni aibu kweli mpaka leo kumlaumu mzungu eti anakulimia chakula au anakupa mbegu ni aibu aibu aibu
Kuna mahala umeamua kutokuelewa vema ndugu yangu, unalieleza tatizo kama lilivyo Ili Kila mmoja achukue JUHUDI ya kutatua kwa kiwango chake Cha uelewa....

KUHUSU kizaze teule: ukiruhusu akili Yako ifanye kazi vizuri huhusu pigments, melatonin, melanin na Gene's...UTAELEWA TU JIPE MUDA
 
Kwamba ndio mpaka leo waafrika wakizingua wenyewe au wakifanyiana ubaya lawama kwa mzungu?
Its not 19th century anymore, its 20st century, mwafrika itabidi abadilike aache kulau laumu ni mentality ya kijinga sana
Kwamba huoni kama Hilo tatizo lipo au hutaki kuliona kama lipo..
 
unaposema wazungu hawana upendo na mtu mweusi unamaanisha nini? hata wao wameshikwa pia, hayo ulioyasema yote hata wao ni victims pia, usisahahu kuna wazungu wengi wamejitolea maisha yao kipigania haki ya mwafrika hata kama hawafaidiki na chochote mfano serikali yako ya mtu mweusi inawahamisha wananchi ktk kwenye ardhi yao ya asili kwa nguvu kupisha uwindaji, ni wazungu hao hao wanawatetea waafrika wanao onewa na serikali za watu weusi, kwanza naweza kusema bila ya baadhi wazungu mtu mweusi hana mtetezi dhidi ya uonevu wa mwafrika mwenzake …
Emotional intelligence Yako haiko imara, ona tatizo kwa kutimia akili na moyo wako siyo area Yako ulipo na nduguzo. Wapi mzungu amemtetea MTU mweusi...wapi? Unajua kwamba 20mil Congolese killed by white people....Rudi kapitie fasihi za matukio halisi ya ulimwengu
 
unaposema wazungu hawana upendo na mtu mweusi unamaanisha nini? hata wao wameshikwa pia, hayo ulioyasema yote hata wao ni victims pia, usisahahu kuna wazungu wengi wamejitolea maisha yao kipigania haki ya mwafrika hata kama hawafaidiki na chochote mfano serikali yako ya mtu mweusi inawahamisha wananchi ktk kwenye ardhi yao ya asili kwa nguvu kupisha uwindaji, ni wazungu hao hao wanawatetea waafrika wanao onewa na serikali za watu weusi, kwanza naweza kusema bila ya baadhi wazungu mtu mweusi hana mtetezi dhidi ya uonevu wa mwafrika mwenzake …
Emotional intelligence Yako haiko imara, ona tatizo kwa kutimia akili na moyo wako siyo area Yako ulipo na nduguzo. Wapi mzungu amemtetea MTU mweusi...wapi? Unajua kwamba 20mil Congolese killed by white people....Rudi kapitie fasihi za matukio halisi ya ulimwen
 
Huwa nawashangaa sana hawa watu wanaosema mtu mweusi ni mteule, sijui mzungu anaujua ukweli hivyo anamharibu mweusi..

How comes mteule akawa kilaza kabisa, yaani hata kujikwamua kwa vitu vidogo hawezi...
Ni kawaida ya mtu mweusi kulaumu pale anaposhindwa jambo, hutafuta wa kumlaumu au kumuachia Mungu.
Ielewe context siyo content, then utaanza kujishangaa wewe why unaona vitu na mambo kwa 1D na siyo 3D
 
SISI MIJITU MYEUSI TUNA SHIDA. UNYAMA NA UFISADI TUNAOFANYIANA NI AIBU KUMSINGIZIA MZUNGU WALA MCHINA. NA NI UPUMBAVU KUTAKA WATUPENDE. ILI IWEJE? TUNAACHA KUJIPANGA TUNALILIA KUPENDWA. TUNAFANYA UFISADI WA KUTISHA KWA MALI ZA UMMA. BADALA YA KUBORESHA MAISHA TUNAENDA NUNUA MAGARI YA GHARAMA. ANGALIA SERIKALI INAYOSAFIRI KWENDA KUKOPA NA IDADI YA WAENDAJI.... HALAFU TUNAKUJA KUMLAUMU MZUNGU. SISI TULIROGWA. NI MASHETANI
Ukiwa mzuri Katika kutoa hoja basi Jenga hoja zako kwa staha bila jazba,tumia LUGHA ya UPENDO! Wale wanaopaswa kufanya maamuzi watafanya maana wanaona nianya dhati Katika hoja Yako.
 
Emotional intelligence Yako haiko imara, ona tatizo kwa kutimia akili na moyo wako siyo area Yako ulipo na nduguzo. Wapi mzungu amemtetea MTU mweusi...wapi? Unajua kwamba 20mil Congolese killed by white people....Rudi kapitie fasihi za matukio halisi ya ulimwengu

kwa hiyo wazungu (wote) ndiyo wanaoiba kongo? vp kuhusu mtu mweusi wa kongo yeye kaifanyia nini kongo?
 
Ukiwa mzuri Katika kutoa hoja basi Jenga hoja zako kwa staha bila jazba,tumia LUGHA ya UPENDO! Wale wanaopaswa kufanya maamuzi watafanya maana wanaona nianya dhati Katika hoja Yako.
Mnataka sana kupendwa. Mna shida gani kila mara mnataka kupendwa. Staha unaifahamu? Muwe na staha katika akili zenu.
 
Emotional intelligence Yako haiko imara, ona tatizo kwa kutimia akili na moyo wako siyo area Yako ulipo na nduguzo. Wapi mzungu amemtetea MTU mweusi...wapi? Unajua kwamba 20mil Congolese killed by white people....Rudi kapitie fasihi za matukio halisi ya ulimwengu
Dogo kubali umechemsha . Ulitegemea watu nao wangekuja hapa kulalamika lalamika. Wanaume hatupo hivyo. Unataka upendwe wewe nani?
 
And they Say its the White Man I Should Fear..., But its my own Kind doing all the Killing Here....
 
Dogo kubali umechemsha . Ulitegemea watu nao wangekuja hapa kulalamika lalamika. Wanaume hatupo hivyo. Unataka upendwe wewe nani?
Kimsingi sijalalamika nimeliweka tatizo kama lilivyo Ili mwenye wajibu awajibike
 
Back
Top Bottom