Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #41
Hapan mkuu me sio MsukumaDuu hatari!!
Utakua msukuma wewe maana hawa jamaa nao ukiwapa wali wanauliza chakula saa ngp tunakula!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapan mkuu me sio MsukumaDuu hatari!!
Utakua msukuma wewe maana hawa jamaa nao ukiwapa wali wanauliza chakula saa ngp tunakula!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa huna hela njaa inauma Sana bwana.
Hot chair ya huku Ujerumani inatengenezwa vizuri sana ila kitimoto ya huko nyumbani ni tamuhapo kwenye hot chair siwezi ikosa acha tu nibaki hivi nilivyo
hahahaUkiwa huna hela njaa inauma Sana bwana.
Timua mkuu.
Mimi nilizihesabu nikamalizaUjinga huo nitafanya nchana ila sio usiku..kama unataka kujua hizo bati zime gongwa misumali mingapi, kula hivyo usiku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu wanakula hot chair?Hot chair ya huku Ujerumani inatengenezwa vizuri sana ila kitimoto ya huko nyumbani ni tamu
Huku ndio mbaga kuu mkuuWazungu wanakula hot chair?
Pole sanaa minyoo ndo rafiki zetuNadhani unaelewa mkuu yaani minyoo inakuuliza "ndugu yetu hata Wewe "??
Tuwaachie matajiri haya
Milo mitatu? Wanaekula milo mitatu kipindi hichi cha mpito ni wachache sanaWazungu wanakitu kinaitwa Snacks mbali na basic food, ukiwekewa ratiba ya mzungu katikati ya breakfast na lunch kuna snanks na katikati ya Lunch na Dinner kuna snanks pia ndio maana hawali sana Basic food ila sisi latiba zetu ni basic food aka Milo mitatu tu ndio maana ukimisi mmoja njaa.
Portfolio | 2020
Kiukweli najiuliza matajiri na wazungu wamewezaje kula matunda tu kama msosi wa jumla hasa usiku?
Yaani eti anakula matunda tu analala!
Nikaona isiwe ishu, acha name nijaribu.
Saa 2 nikala matunda nikaelekea kulala.
Yaani usiku nipo kitandani nasikia watu ndotoni wanasema RIP. Nikaamka nikaanza kutazama bati, mpaka kufikia kumkosoa fundi aliyepaua.
Wadudu nao tumboni wanaulizana huyu jamaa leo vipi? Hali ama?
Nikaona isiwe kesi nisije pelekwa hospital bure kutundikiwa dripu wakadhani mie mgonjwa. Ikabidi tuu nisonge ugali usiku.
Najiuliza hawa watu tajwa wanaishije kwa kula hivyo vijitunda kisha wanalala vizuri tu?
Nimekoma aseeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Milo mitatu? Wanaekula milo mitatu kipindi hichi cha mpito ni wachache sana
Inategemea una fanya shughuli gani, ulaji wa mbeba zege definately utakua tofauti na wa karani, pia kula matunda sio kwa wazungu na watu wenye pesa ondoa hizo fikra ndugu yanguKiukweli najiuliza matajiri na wazungu wamewezaje kula matunda tu kama msosi wa jumla hasa usiku?
Yaani eti anakula matunda tu analala!
Nikaona isiwe ishu, acha name nijaribu.
Saa 2 nikala matunda nikaelekea kulala.
Yaani usiku nipo kitandani nasikia watu ndotoni wanasema RIP. Nikaamka nikaanza kutazama bati, mpaka kufikia kumkosoa fundi aliyepaua.
Wadudu nao tumboni wanaulizana huyu jamaa leo vipi? Hali ama?
Nikaona isiwe kesi nisije pelekwa hospital bure kutundikiwa dripu wakadhani mie mgonjwa. Ikabidi tuu nisonge ugali usiku.
Najiuliza hawa watu tajwa wanaishije kwa kula hivyo vijitunda kisha wanalala vizuri tu?
Nimekoma aseeh