Wazungu na Waarabu Walichotufanyia Waafrika

ili la kulazimisha kuweka sheria tuoe mke mmoja kwa kweli hapa wazungu walituweza.
Ukimuuliza mchungaji/Padre nifungulie Bible nioneshe sehemu inayosema mwanaume lazima aoe mke mmoja anabaki kugwaya gwaya tu.
Wakaenda mbali wakasema ni dhambi


Kasome hii
 
Nimesoma yote Ila huyo muandishi ameandika kwa utashi wake binafsi hana strong evidence
 
Hili ni POVU mujarabu kabisa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Sawa Deep pond kwann wewe unatumia la kidhungu!?!?? Kiukweli hata Mimi ni shabiki wa majina ya asili
Ndenengo
Ndechilio
Ndemanisho
Ruwaichi
Rumisha
Mringi
Ndetalao
Ndewinga
Antanamtsu
....... Haya ni majina ya wachanga ila hawayataki
Wanaojiita
Oscar
Nancy
James
 
Hakuna relation bwana mafanikio ya mtu ni vile mtu alivyopangiwa na mungu hakuna jina linalompa mtu utajiri ?
Fanya jitihada zako za kimaisha kisha muombe na mungu utafanikiwa
 
Unakuta mtu anapinga majina ya kigeni ata simu unayoposti hapa ni mzungu huyo amekutengenezea
 
Hii ni bandiko zuri sana.

Hizi dini zimeprove failire na zimejidhihirisha kwamba ni utapeli mtupu na mafundisho yao kuhusu Mungu ni wizi mtupu.

Haiwezekani wewe mshwahili mtupu unakuwa na tabia za kiarabu alafu unaanza kujivuna eti wewe muislam, mara wewe umetoka saudia. Hivi unaanza je kuacha utamaduni wako ukakimbilia utamaduni wa wengine na kujiona uko salama?

Hapo kwenye majina nimegombana sana na ndugu, mwanangu hawezi itwa jina la kizungu eti kisa lipo kwenye kitabu chako wanachokiita kitakatifu. Nilikataa kata kata.

Kiukweli, kuna haja kubwa sana kuendeleza imani ya watu weusi na tujenge sehemu ya kuabudia, tuandike kitabu chetu kama muongozo wenye mafundisho yetu kama weusi.

Jina lako ndilo linabeba hatima ya maisha yako. Haya majamaa tuanze kuyapinga adharani, dini zao tuzikatae, tuendeleze imani zetu.
 
Black amerivcan ataku shoot ukimwambia wewe by default ni mwafrika! anaukimbia weusi maana ni laana kwa matendo yetu
Acheni ujinga. Black american ni watumwa wa fikra.

Na wazungu walifanya purposely kuwabadilisha majina na kuwasahaulisha walikotoka maana ilikuwa mtoto akizaliwa, wanampokonya na kumpeleka sehemu ya mbali na atakula uko.

Wazungu hawakutaka watoto walelewe na baba na mama ama sehemu ambapo ndugu zao wapo ili wasilithiswe chuki na kuwafundisha watoto wametoka wapi wasije wakatoroka.


Mtoto alizaliwa mfano songea na kukulia musoma.
 
Wazungu, waarabu na wahindi ni washenzi, washenzi tena washenzi tena!
Laana ya Mwenye Enzi Mungu iwe juu yao ambao wana tugandamiza kiuchumi na kwa njia yeyote mbaya!
Mapanga ya Mwenye Enzi Mungu yenye moto na yakatayo kuwili ukawa malize kabisa walahi!
 
evidence please, acha ujinga
 
Kipara cha umaskini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

manina nimecheka๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Hata nyumba za kuishi tunakopi tu, leo mtu anajenga nyumba eti iko na bafu, choo, jiko, sehemu ya kupata chakula na stoo. Nakumbuka kipindi chetu tunakula tukiwa tumekaa njee, choo kipo mita 30.

Ila Nancy umemnanga kweli hahahaaa....
Ha ha ha......[emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ