kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Kila siku nasali rozari, mzungu alinisifia kaniambia nifanye mara mbili kwa siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What about you being an authentic Moron and Mental Case since you came on Earth?Jppm he was a primitive and evil
Huna tofauti na zumaridi mwehu wewe..You're a damn Nut.
Same to the one who gave birth to you.Huna tofauti na zumaridi mwehu wewe..
Champion sisi wabobezi tunafanya reference ya CAFCL yaani CAF Champions lEAGUE anayoshiriki SSC sasa kifupi washindi bingwa wa mabingwa1. Wewe ni Empty Set
2. Wameshakudharau
3. Wanakusanifu
4. Wanafaidika nawe
5. Wamekutega na Umetegeka
6. Watapenda usiishie tu Kuwakaribisha Sebuleni Kwako bali watapenda hadi Chumbani ( Bedroom ) Kwako waingie.
7. Watakuambukiza Laana na Dhambi isiyosamehewa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu
Wabobezi wa Lugha ya Kiswahili hivi neno 'Champion' kwa Kiswahili Sanifu ni Bingwa au Mshindi? Huwa linanichanganya mno.
Na huo ndiyo ukweli, wazungu ni wa kwenda nao kinafiki nafiki tu.......maana hakuna namna.
Tatizo naye alijipigia sana hadi chato ikawa kama DubaiJpm alisimama imara kwaajili ya nchi hii,wahuni wakishirikiana na mabeberu wakafanya yao,sasa wanapongezana,rasilimali za nchi ziko rehani,ni mwendo wa kujipigia tu kila upande.
Alijipigia sana yaani aligeuka monita, kiranja na mwalimu mkuuJppm he was a primitive and evil
WTF?Alijipigia sana yaani aligeuka monita, kiranja na mwalimu mkuu
Hata paka anajiona binadamu na kumuona mbwa,ni mnyama Tena mbwa kabisa,kisa yeye anaishi ndani ya nyumba na kulala kwenye masofa,huku dog anapigwa na baridi nje [emoji137][emoji137][emoji137][emoji1787][emoji24]1. Wewe ni Empty Set
2. Wameshakudharau
3. Wanakusanifu
4. Wanafaidika nawe
5. Wamekutega na Umetegeka
6. Watapenda usiishie tu Kuwakaribisha Sebuleni Kwako bali watapenda hadi Chumbani ( Bedroom ) Kwako waingie.
7. Watakuambukiza Laana na Dhambi isiyosamehewa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu
Wabobezi wa Lugha ya Kiswahili hivi neno 'Champion' kwa Kiswahili Sanifu ni Bingwa au Mshindi? Huwa linanichanganya mno.
Wewe unapata faida gani unapotumia lugha ya maudhi kila Mara?Kwa kukupa Mimba zangu kila mara au?
Tafadhali siitwi hili parody GENTAMYCIME kama ulivyoandika hapa bali naitwa / ID yangu ( Brand ID tokea nijiunge rasmi JamiiForums mwaka 2013 Mwezi July ) ni GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sawa.?Hapa GENTAMYCIME kichwa ilitulia.
Mara nyingi hii kichwa inakuwa mbio sana