Wazungu ninaowajua Mimi ukiona wanakusifia Mwafrika jua yafuatayo...

Wazungu ninaowajua Mimi ukiona wanakusifia Mwafrika jua yafuatayo...

1. Wewe ni Empty Set

2. Wameshakudharau

3. Wanakusanifu

4. Wanafaidika nawe

5. Wamekutega na Umetegeka

6. Watapenda usiishie tu Kuwakaribisha Sebuleni Kwako bali watapenda hadi Chumbani ( Bedroom ) Kwako waingie.

7. Watakuambukiza Laana na Dhambi isiyosamehewa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu

Wabobezi wa Lugha ya Kiswahili hivi neno 'Champion' kwa Kiswahili Sanifu ni Bingwa au Mshindi? Huwa linanichanganya mno.
Champion sisi wabobezi tunafanya reference ya CAFCL yaani CAF Champions lEAGUE anayoshiriki SSC sasa kifupi washindi bingwa wa mabingwa
 
Mbona Waafrika tumezidi kulalamika hivi? Ukweli ni kuwa tuna akili za kawaida sana ndo maana tunawategemea wazungu kwa sehemu kubwa, aliyeanzisha elimu ni nani?, dini je, teknolojia, kila kitu kimetoka kwa Mzungu tusiishie kulalamika tu wakati tumeshindwa kuvumbua vya kwetu
 
Mie kinachonitia simanzi kwa nchi ya bongo ni marais wote waabudu dini ya waarabu ndio wanyonge wakubwa wa mabeberu kwa kuongoza kuachia mali za taifa, na marais waliosomeshwa tena na wamissionari ndio walikua ngangari sana kuzilinda mali za nchi.. hiki ni kizungumkuti kwa watu wanaoona wengine makafir halafu wao ndio wanaowabudu hao makafir! Nalemagha ghete ghete.
 
Jpm alisimama imara kwaajili ya nchi hii,wahuni wakishirikiana na mabeberu wakafanya yao,sasa wanapongezana,rasilimali za nchi ziko rehani,ni mwendo wa kujipigia tu kila upande.
Tatizo naye alijipigia sana hadi chato ikawa kama Dubai
 
1. Wewe ni Empty Set

2. Wameshakudharau

3. Wanakusanifu

4. Wanafaidika nawe

5. Wamekutega na Umetegeka

6. Watapenda usiishie tu Kuwakaribisha Sebuleni Kwako bali watapenda hadi Chumbani ( Bedroom ) Kwako waingie.

7. Watakuambukiza Laana na Dhambi isiyosamehewa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu

Wabobezi wa Lugha ya Kiswahili hivi neno 'Champion' kwa Kiswahili Sanifu ni Bingwa au Mshindi? Huwa linanichanganya mno.
Hata paka anajiona binadamu na kumuona mbwa,ni mnyama Tena mbwa kabisa,kisa yeye anaishi ndani ya nyumba na kulala kwenye masofa,huku dog anapigwa na baridi nje [emoji137][emoji137][emoji137][emoji1787][emoji24]
 
Hapa GENTAMYCIME kichwa ilitulia.
Mara nyingi hii kichwa inakuwa mbio sana
Tafadhali siitwi hili parody GENTAMYCIME kama ulivyoandika hapa bali naitwa / ID yangu ( Brand ID tokea nijiunge rasmi JamiiForums mwaka 2013 Mwezi July ) ni GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sawa.?
 
Back
Top Bottom