Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Baadhi ya shabiki wa 'kilabu' ya mpira wa miguu ya Aston Villa wameshikwa na hasira baada ya kupata habari kuna uwezekano wa mshambuliaji wa timu yao Mbwana Samatta kwenda kujiunga na timu ya Galatasaray ya Uturuki mwishoni mwa msimu 2019/2020.
Walirusha ujumbe wa kejeli na dharau kwenye kurasa za mtandao wa twitter ilipo taarifa za tetesi hizo.
Wasome hapo chini. Mmojawapo alimfananisha na panya wanaokimbia kwenye jahazi linalozama.
" Seems like Rats leaving a sinking ship to me... hey ho. "__Maca Brazier
Mwingine adai kwa maoni yake hana kiwango kizuri kutosha kucheza ligi kuu Uingereza
"I'll pack his bags. Weak, lack of movement and no killer instinct. Not good enough for the Prem IMO" __Johno
Samagoal baki Aston Villa kama watabaki ligi kuu kisha wapigie magoli ya kutosha wakutambue wewe ni nani, na kwanini walikutafuta na kulipa dau lile kwa Genk.
Heshima yako kubwa sana.
Walirusha ujumbe wa kejeli na dharau kwenye kurasa za mtandao wa twitter ilipo taarifa za tetesi hizo.
Wasome hapo chini. Mmojawapo alimfananisha na panya wanaokimbia kwenye jahazi linalozama.
" Seems like Rats leaving a sinking ship to me... hey ho. "__Maca Brazier
Mwingine adai kwa maoni yake hana kiwango kizuri kutosha kucheza ligi kuu Uingereza
"I'll pack his bags. Weak, lack of movement and no killer instinct. Not good enough for the Prem IMO" __Johno
Samagoal baki Aston Villa kama watabaki ligi kuu kisha wapigie magoli ya kutosha wakutambue wewe ni nani, na kwanini walikutafuta na kulipa dau lile kwa Genk.
Heshima yako kubwa sana.