Wazungu: "Samatta si mchezaji wa EPL", wamfananisha na panya

Wazungu: "Samatta si mchezaji wa EPL", wamfananisha na panya

Sasa unakimbia kwasababu meli inazama,halafu unakimbilia ndani ya maji ambao meli ndio inazama humohumo,sasa unakuwa imefanya nini?[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namnukuu baba wa samata"mtoto wangu huyu anabahati tu lakini kimpira sio sana ,lakini kaka yake yaani Mohamed Samata huyu ni mjuzi hasa wa mpira"mwisho wa kunukuu

Ndio atambue kuwa bora kuzaliwa mwenye bahati kuliko mwenye kipaji
 
Back
Top Bottom